Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Muislam wa kweli ni hayati kighoma malima wengine ni wasalam lkn anyway ipo siku mungu atatupa haki yetu inshaallah naamini kama alivotujaalia ktk ujuzi wa biashara ambapo leo hii matajiri na vinara wa biashara tz ni waislam siwataji wanajulikana basi na dola tuaikamata tu kwa uwezo wake allah
Yametimia sasa wameshika Dola.
 
jambo hili la kukosekana kwa "Uwiano" ktk nafasi za uteuzi halina afya kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.

tunaweza kujifanya hatuoni na tukapuuzia lkn ukweli ni kwamba kuna manung'uniko ambayo tukiyapuuza ynaweza yakaleta athari.

hili ni taifa la watanzania wote hivyo hukuna budi kila mmoja ashiriki kulijenga taifa, sio baadhi ya watu ndio wawe na umuhimu wa kulijenga kuliko wengine.

ni muhimu sana uteuzi/teuzi zozote zile ktk kila nafasi kuzingatia uwiano bila upendeleo lkn kwa kuzingatia weledi, uadilifu n.k

Uwiano ktk nafasi mbali mbali unajenga umoja wa Taifa na pia huchochea uzalendo kwani kila pande zinajihisi kuhusika ktk ujenzi wa taifa lao.
 
jambo hili la kukosekana kwa "Uwiano" ktk nafasi za uteuzi halina afya kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.

tunaweza kujifanya hatuoni na tukapuuzia lkn ukweli ni kwamba kuna manung'uniko ambayo tukiyapuuza ynaweza yakaleta athari.

hili ni taifa la watanzania wote hivyo hukuna budi kila mmoja ashiriki kulijenga taifa, sio baadhi ya watu ndio wawe na umuhimu wa kulijenga kuliko wengine.

ni muhimu sana uteuzi/teuzi zozote zile ktk kila nafasi kuzingatia uwiano bila upendeleo lkn kwa kuzingatia weledi, uadilifu n.k

Uwiano ktk nafasi mbali mbali unajenga umoja wa Taifa na pia huchochea uzalendo kwani kila pande zinajihisi kuhusika ktk ujenzi wa taifa lao.
Lakini japo kuwa mama ni muislam lakini bado teuzi zake, waislam hawazidi asilimia 30,rejea teuzi za majaji na wakuu wa mikoa
 
Lakini japo kuwa mama ni muislam lakini bado teuzi zake, waislam hawazidi asilimia 30,rejea teuzi za majaji na wakuu wa mikoa
samia ni mdini teuzi karibu zote wamejaa dini moja,tec msusiani kwenye dhifa zake kama kipindi cha jk mbeya
 
samia ni mdini teuzi karibu zote wamejaa dini moja,tec msusiani kwenye dhifa zake kama kipindi cha jk mbeya
Teuzi za Samia Wakiristo bado ni wengi kuliko Waislam.

Kama ulitaka naye afanye kama Magufuli kuteua waislamu kiduchu sana basi endelea kupiga debe ili awatoe waislamu aliowateua na badala yake aweke wakiristo kwa 80% kama Magufuli alivyokuwa akifanya
 
Back
Top Bottom