Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
Hizi mambo za udini zimekuwa nyingi sana siku hizi sijui shida ni kitu gani,ikiendelea hivi nafkiri tutavuna tulichokipanda mana ukizungumzia neno tu dini tayar ushagawa maelfu ya watu...
Huwa hizi fikra ndo zinaanza hiv hivi kama hapa jukwaani mwishoni yakilipuka hakuna wa kuzima yani hakuna kabisaaa wa kuzima huu mto nafikiri watu tuangalie vizuri hili tego na tunajua jinsi nchi za kiafrika zilivyo upuuzi mdogo tu unalipuka,mana hili jambo siyo chama kusema kuwa mtu ataliacha lipite ila dini inaishi moyoni kwa mtu ni hatari sana.
Leo hii vijana wadogo watakaosoma haya tuyaandikayo yatawaingia na kuanza kubaguana mana vjana Leo hii wanameza kila kitu,tutafakari vizuri kabla ya hatari kutokea
Huwa hizi fikra ndo zinaanza hiv hivi kama hapa jukwaani mwishoni yakilipuka hakuna wa kuzima yani hakuna kabisaaa wa kuzima huu mto nafikiri watu tuangalie vizuri hili tego na tunajua jinsi nchi za kiafrika zilivyo upuuzi mdogo tu unalipuka,mana hili jambo siyo chama kusema kuwa mtu ataliacha lipite ila dini inaishi moyoni kwa mtu ni hatari sana.
Leo hii vijana wadogo watakaosoma haya tuyaandikayo yatawaingia na kuanza kubaguana mana vjana Leo hii wanameza kila kitu,tutafakari vizuri kabla ya hatari kutokea