Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Baada ya kushindwa vibaya kwenye chaguzi zote mmekosa hoja mnataka kuchonganisha Taifa kwa udini na ukabila .Imekula kwenu mmeishiwa agenda kifo cha Mende
Uchaguzi upi? Wapi huko? Maana Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani, imekula kwako mwenyewe kwani wanaolalamikia waislam kukosekana kwenye baraza la mawaziri ni miccm yenyewe usiwasingizie wapinzani uongo
 
Udini unaanzia wapi ndugu..we mwehu kweli..makamu wa Rais, waziri mkuu, Jaji mkuu.. top four..ikoje...acheni udini nyinyi wapumbaffff..
Bakwata ni Tawi la CCM wao ndiyo wametuma miccm kulalamika humu mitandaoni
 
Rais Mkristo
Makamu wa Rais Muislam
Waziri mkuu Muislam
Jaji Mkuu anaemuapisha Rais Muislam
Hata katibu mkuu wa CCM ni muislam lakini bado miccm hailiziki
 
Wewe una chuki ya muda mrefu dhidi ya Rais Magufuli, suala la baraza la mawaziri umelitumia kama nyenzo ya kumshambulia.
Mbona unazungumzia mawaziri tu lakini manaibu mawaziri huzungumzii? Au hivyo sio vyeo? Mbona huhoji kuhusu dini zingine kama budha, hindu, sikh na wapagani? Kwani nchi hii ina dini mbili tu? Baraza la mawaziri Zanzibar lina mkristo hata mmoja? Mbona huko huchambui?

Unadai wanawake ni wachache umeangalia na manaibu mawaziri? Baraza la mawaziri sio chombo cha uwakilishi bali ni chombo cha utendaji hivyo kinachoangaliwa ni ufanisi katika kutekeleza ilani na utendaji.

Hata kama wangeteuliwa watu wa hiyo dini na jinsia unayotaka bado mwingine angelalamika kuwa nchi ina makabila 120 hivyo theluthi mbili za makabila hawamo hivyo haiakisi demography ya nchi. Haya mambo yakiendekezwa ndiyo yanasababisha mlipa kodi kutwishwa mzigo mkubwa wa kodi ili kugharimia baraza kubwa la mawaziri ambalo limesheheni makabila yote. Rejea baraza la Sudani kusini kwa mfano, nchi ndogo masikini inakuwa na baraza kubwa sababu ya kuendekeza upuuzi wa ukabila, dini au jinsia.

Badala ya kukosoa tu hebu eleza mazuri ya JPM au kwa uelewa wako hajawahi kufanya zuri hata moja?
Hana chuki wewe ndiyo utakuwa na chuki nae lakini unajidai kumpenda kinafiki kwa kuwa unawinda uteuzi, mawaziri 23 lakini 11 wanatoka kanda ya ziwa huko kasikazini na kanda zingine kadonyoa kwa mbalii sana, kwa upande wa Zanzibar hakuna shida sana kwani Zanzibar na wao wana Serikali yao na hawana waziri tokea Tanganyika, walalamishi wa Uislam kupungua ni Bakwata Tawi la CCM wenyewe
 
Wewe ACT wazalendo masuala ya chama cha Mapinduzi unahusikaje, CCM ina namna yake ya kuwasilisha malalamiko lakini pia ujue dhamira halisi ya Rais wetu Mzalendo
Uzalendo ni kuteua mawaziri 11 tokea kanda ya ziwa pekee?
 
ondoeni mashaka , waislam watajengewa misikiti kupitia BAKWATA na Masheikh wa Bakwata watapewa hela taslimu hadharani
Bakwata ni Tawi la CCM na wao ndiyo wametuma watu kulalamika humu juu ya uchache wa waislam kwenye baraza la mawaziri
 
Nikiangalia hili baraza la mawaziri, by all standards haliakisi sura ya Taifa na kwa hiyo halisaidii kwa namna yoyote kuimarisha umoja wa Kitaifa.

1. Hivi inawezekana vipi uje na baraza la Mawaziri la watu 23 lakini lenye Waislamu 3 tu?

Takwimu hizi ni 87% Wakiristo, na 13% Waislamu. Je, hii maana yake ni kwamba asilimia kubwa ya watu wanaoweza kufanya kazi ya kuendesha serikali yetu katika nchi yetu more than 80% ni watu wa dini moja? Hili linaacha maswali mengi. Lakini haya sishangai, inaonyesha tu kuhusu ujeuri wa mamlaka za uteuzi, Waislamu hili suala wamelilamikia sana, Mwaka 2016 Sheikh Khalifa alilisemea, Kisha mwaka huu kwenye Waraka wa shura ya maimamu Sheikh Ponda alilisema.

Binafsi sioni kama ni weledi wa kiungozi kutoheshimu demography za nchi yako katika kuunda timu ya kufanya nayo kazi. Naiona kama ni udini wa dhahiri tu ambao unashuhudiwa na aina ya teuzi zilizofanyika toka muhula wa kwanza wa serikali hii!. Je, Waislamu wanapenda haya? - La hasha, lakini pamoja na hayo Wa kulaumiwa pia ni viongozi wao, hawajitambui, hawajielewi, wanapigana mishale wao kwa wao badala ya kusimama kwa sauti moja ya kuangalia maslahi ya watu wao. Angalau Sheikh Ponda anajitambua, aliliona hili.

2. Baraza la Mawaziri halina Waziri hata mmoja kutoka Zanzibar
Zipo wizara za muungano, hakuna waziri hata mmoja wa wizara hizo ambaye ni Mzanzibar. Ni yaleyale niliyoyasema kwenye nukta ya juu. Huwezi kuunda timu ya mambo ya nchi isiyozingatia demography za kitaifa. Kwa mfano Huwezi mathalani ukachukua watu kutoka Kanda moja ukaunda baraza la mawaziri halafu ukasema eti hawa vigezo vyao vinatosha, Well hata kama vinatosha je wao peke yao ndo wenye vigezo? . Lakini katika hili Wazanzibar wa CCM nao wajilaumu wenyewe, Wameamua kuitoa nchi yao kwa Tanganyika "iwasimamie" basi wacha nchi yao igeuzwe mkoa, yaani hata mawaziri kutoka kwao ni hiyari tena kama ilivyo mawaziri kutoka Mtwara, Mwanza au Tanga

3. Idadi ya Wanawake ni ndogo katika baraza zima la Mawaziri

Sijajua kama ilikuwa ni vision ya kitaifa au ni maono ya kiuongozi tu wa serikali za awamu ya tatu na nne. Lakini kuna kipindi tumewahi kuwaza 50/50. Japo kwa maoni yangu hiyo siyo hoja, lakini kwangu hoja ya msingi ilikuwa ni kuwa lazima katika vyombo vya mamlaka na maamuzi jinsia zote zionekane vizuri siyo kuwa na mfumo uliolalia upande mmoja kupita kiasi (mfumo dume), Sasa wanawake wa kutosha wapo, kwa nini baraza la mawaziri liwe na wanawake kiduchu sana kwenye hili baraza?

Kwa hiyo ukiniuliza kuhusu hili baraza nitakwambia kuwa:
a)
Hili baraza linanuka udini, ni as if Magufuli katuletea parokia ya Mtakatifu Joseph, haliakisi demography ya kitaifa ya kwamba nchi hii ina watu wengi wa imani zote hizi mbili. Nilitegemea kuona baraza lenye sura ya kitaifa, lakini naona baraza lenye sura ya Tanzania ya Kikristo zaidi

b) Hili ni baraza la Tanganyika, yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?

4) Ni baraza la Mfumo dume - Ratio ya akina mama katika baraza hilo siyo wakilishi, sioni ni kwa namna gani baraza hilo linasaidia kuondoa mfumo dume

Namshauri Magufuli atengue hilo baraza kabla ya kuliapisha. La sivyo litampa tabu kwenye kubalance force za kijamii za kitaifa.

Katika kipindi hiki ambapo jumuia ya kimataifa inamnyooshea kidole juu ya aina ya utawala wake, ingekuwa busara kujaribu kubalance force za ndani, ingemsaidia sana.

Ila akizidi kukataliwa ndani ya nchi na nje ya nchi, basi ajiandae kutumia miguvu zaidi kutawala katika kipindi hiki cha miaka mitano, kwa sababu kutakuwa na silent rejection ya utawala wake ndani ya nchi na hii itamsumbua sana!
Hapa naona kunahaja yakurudi kwa muft na alhd waislam kilasiku hatufai tunafeli wapi au bado kilekigezo cha hawakusoma bado kinatutafuna lakini hata wangeteuliwa wangeleta faida gani kwenye uislam ukimtoa msabya hupati muislam mwingine shupavu nakuunadi waziwazi kama msambya alikubali kufamasikini kuliko kuiteketeza imani yake kwa waislam msambya ilifaa apambaniwe wengine wameingia wengi tu lakini wanapenda matumbo yao
Kuto wateua kwangi mimi naona sawa nakama muislam tunataka kupaza sauti ingepazwa wakati wa msambya
 
Hapa nilipo msibani na ni waislam mimi mkristo na tangu asubuhi tupo nao kwani kwangu cha muhimu ni utanzania kwanza.

Mada za kipuuzi kama hizi ndizo zinazogawa mataifa mengi ya kiafrika.
Bakwata ni Tawi la CCM na ndiyo walalamikaji wakuu
 
Hapa naona kunahaja yakurudi kwa muft na alhd waislam kilasiku hatufai tunafeli wapi au bado kilekigezo cha hawakusoma bado kinatutafuna lakini hata wangeteuliwa wangeleta faida gani kwenye uislam ukimtoa msabya hupati muislam mwingine shupavu nakuunadi waziwazi kama msambya alikubali kufamasikini kuliko kuiteketeza imani yake kwa waislam msambya ilifaa apambaniwe wengine wameingia wengi tu lakini wanapenda matumbo yao
Kuto wateua kwangi mimi naona sawa nakama muislam tunataka kupaza sauti ingepazwa wakati wa msambya
Waislam huwa hawapendani kipindi cha kampeni wakala pesa za CCM wakawa wanampinga Ponda sasa wamegeuka wanadai balance ya uislam na ukiristo kwenye baraza la mawaziri, wanasahau kuwa Bakwata ni Tawi la CCM na wanapokea ruzuku kila mwaka
 
Kukata mzizi wa fitina moyoni ni kutangaza baraza lako la mawaziri Tanzania ukiweza na kisha weka hapa mjumbe wa kamati ya ...
 
Nikiangalia hili baraza la mawaziri, by all standards haliakisi sura ya Taifa na kwa hiyo halisaidii kwa namna yoyote kuimarisha umoja wa Kitaifa.

1. Hivi inawezekana vipi uje na baraza la Mawaziri la watu 23 lakini lenye Waislamu 3 tu?

Takwimu hizi ni 87% Wakiristo, na 13% Waislamu. Je, hii maana yake ni kwamba asilimia kubwa ya watu wanaoweza kufanya kazi ya kuendesha serikali yetu katika nchi yetu more than 80% ni watu wa dini moja? Hili linaacha maswali mengi. Lakini haya sishangai, inaonyesha tu kuhusu ujeuri wa mamlaka za uteuzi, Waislamu hili suala wamelilamikia sana, Mwaka 2016 Sheikh Khalifa alilisemea, Kisha mwaka huu kwenye Waraka wa shura ya maimamu Sheikh Ponda alilisema.

Binafsi sioni kama ni weledi wa kiungozi kutoheshimu demography za nchi yako katika kuunda timu ya kufanya nayo kazi. Naiona kama ni udini wa dhahiri tu ambao unashuhudiwa na aina ya teuzi zilizofanyika toka muhula wa kwanza wa serikali hii!. Je, Waislamu wanapenda haya? - La hasha, lakini pamoja na hayo Wa kulaumiwa pia ni viongozi wao, hawajitambui, hawajielewi, wanapigana mishale wao kwa wao badala ya kusimama kwa sauti moja ya kuangalia maslahi ya watu wao. Angalau Sheikh Ponda anajitambua, aliliona hili.

2. Baraza la Mawaziri halina Waziri hata mmoja kutoka Zanzibar
Zipo wizara za muungano, hakuna waziri hata mmoja wa wizara hizo ambaye ni Mzanzibar. Ni yaleyale niliyoyasema kwenye nukta ya juu. Huwezi kuunda timu ya mambo ya nchi isiyozingatia demography za kitaifa. Kwa mfano Huwezi mathalani ukachukua watu kutoka Kanda moja ukaunda baraza la mawaziri halafu ukasema eti hawa vigezo vyao vinatosha, Well hata kama vinatosha je wao peke yao ndo wenye vigezo? . Lakini katika hili Wazanzibar wa CCM nao wajilaumu wenyewe, Wameamua kuitoa nchi yao kwa Tanganyika "iwasimamie" basi wacha nchi yao igeuzwe mkoa, yaani hata mawaziri kutoka kwao ni hiyari tena kama ilivyo mawaziri kutoka Mtwara, Mwanza au Tanga

3. Idadi ya Wanawake ni ndogo katika baraza zima la Mawaziri

Sijajua kama ilikuwa ni vision ya kitaifa au ni maono ya kiuongozi tu wa serikali za awamu ya tatu na nne. Lakini kuna kipindi tumewahi kuwaza 50/50. Japo kwa maoni yangu hiyo siyo hoja, lakini kwangu hoja ya msingi ilikuwa ni kuwa lazima katika vyombo vya mamlaka na maamuzi jinsia zote zionekane vizuri siyo kuwa na mfumo uliolalia upande mmoja kupita kiasi (mfumo dume), Sasa wanawake wa kutosha wapo, kwa nini baraza la mawaziri liwe na wanawake kiduchu sana kwenye hili baraza?

Kwa hiyo ukiniuliza kuhusu hili baraza nitakwambia kuwa:
a)
Hili baraza linanuka udini, ni as if Magufuli katuletea parokia ya Mtakatifu Joseph, haliakisi demography ya kitaifa ya kwamba nchi hii ina watu wengi wa imani zote hizi mbili. Nilitegemea kuona baraza lenye sura ya kitaifa, lakini naona baraza lenye sura ya Tanzania ya Kikristo zaidi

b) Hili ni baraza la Tanganyika, yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?

4) Ni baraza la Mfumo dume - Ratio ya akina mama katika baraza hilo siyo wakilishi, sioni ni kwa namna gani baraza hilo linasaidia kuondoa mfumo dume

Namshauri Magufuli atengue hilo baraza kabla ya kuliapisha. La sivyo litampa tabu kwenye kubalance force za kijamii za kitaifa.

Katika kipindi hiki ambapo jumuia ya kimataifa inamnyooshea kidole juu ya aina ya utawala wake, ingekuwa busara kujaribu kubalance force za ndani, ingemsaidia sana.

Ila akizidi kukataliwa ndani ya nchi na nje ya nchi, basi ajiandae kutumia miguvu zaidi kutawala katika kipindi hiki cha miaka mitano, kwa sababu kutakuwa na silent rejection ya utawala wake ndani ya nchi na hii itamsumbua sana!
Mkuu MISSILE of a nation, kwanza naheshimu mawazo yako, ila nina maswali manne kwako.
hoja ya msingi ya mteuzi, ni kabla ya uteuzi, ame set sifa na vigezo vya uteuzi,
  1. On Gender Balance, ikitokea, hakuna wanawake wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wanawake wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of gender balance?. Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!
  2. On Zanzibar Factor, ikitokea, hakuna Wazanzibari wa kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi wa Uwaziri kamili, jee ateue tuu Wanzanzibari wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of union balance?. Je, kunahitajika affirmative action ili Mzanzibari aweze tena kuwa Rais wa JMT?
  3. On Religious Factor: ikitokea, hakuna Waislamu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu Waislamu wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of religious balance?. Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni Dhana Tuu?."
  4. On Ukanda na Ukabila: ikitokea, kwenye kanda nyingine, na makabila mengine, hakuna watu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wowote kutoka kanda zote na makabila yote 120 ya Tanzania, hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of kanda na ukabila balance?. Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye Ukabila, Tatizo Ndio Walio Wengi!
P
 
Mkuu MISSILE of a nation, kwanza naheshimu mawazo yako, ila nina maswali matatu kwako.
hoja ya msingi ya mteuzi, ni kabla ya uteuzi, ame set sifa na vigezo vya uteuzi,
  1. On Gender Balance, ikitokea, hakuna wanawake wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wanawake wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of gender balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...e-wenye-sifa-na-vigezo-vya-kuteuliwa.1186387/
  2. On Zanzibar Factor, ikitokea, hakuna Wazanzibari wa kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi wa Uwaziri kamili, jee ateue tuu Wanzanzibari wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of union balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...zanzibari-aweze-tena-kuwa-rais-wa-jmt.727564/
  3. On Religious Factor: ikitokea, hakuna Waislamu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu Waislamu wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of religious balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...na-ukabila-is-it-real-au-ni-dhana-tuu.374477/
  4. On Ukanda na Ukabila: ikitokea, kwenye kanda nyingine, na makabila mengine, hakuna watu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wowote kutoka kanda zote na makabila yote 120 ya Tanzania, hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of kanda na ukabila balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...enye-ukabila-tatizo-ndio-walio-wengi.1290353/
P
Mawaziri 11 tokea kanda ya ziwa pekee nusu nzima ya baraza kuu la mawaziri
 
Mawili tena,
  1. Ukaguzi wa kuangalia uzingatiwaji wa taratibu (compliance audit) unaanzia kwenye kigezo kilichotamkwa kama mwongozo wa tabia kabla ya zoezi la kufanya ukaguzi. Kwa hiyo, naona tunachanganya mtiririko wa kimantiki. Tuweke vigezo vya uteuzi kwanza, halafu tupime uzingatiwaje wake, na sio kinyume chake.
  2. Kuhusu nepotism: kila kiongozi analo kabila, dini, mbari, etc, lakini hilo halimaanishi kwamba ni mkabila, mdini, mbaguzi wa rangi, n.k. Lakini, hilo halituzuii kuweka vigingi vya kuzuia ukabila, undugunaizesheni, udini, urangi, nk. Wanadamu sio wakamilifu.

Mengine yanajadilika.
1. Nafasi za kisiasa kama za uwaziri zuna minimum requirements tu kwa mujibu wa katiba mfano huyo mtu awe mbunge, vigezo vingine anavijua mteuaji unless akwambie katumia vigezo gani yeye mwenyewe lakini unaweza kutumia ibductive na deductive reasoning kustudy aina ya teuzi zake na kupata picha nzuri kabisa vigezo alivyovitumia, kuna pattern za wazi kwenye hizi teuzi.

2. Hakuna kiongozi asiyekuwa na kabila, dini, ukoo etc ila kutokana na matendo yake tunaweza kumclassify kuwa huyu ni mdini na mkabila. Pattern ya teuzi zake inatosha kutoa picha kuwa huyu ana udini, ni mkabila au ana nepotism.

Kuhusu kuweka vigingi vya kuzuia ukabila na udini na nepotism hilo ni jambo zuri, so far tumeuwa tukitegemea hekima binafsi za kiongozi mkuu wa nchi kuwa fair na kuona kuwa hivyo vitu havifai.

Unfortunately tuna utawala hivi sasa, busara hizo umeweka pending na kwa hiyo tunashuhudia wazi teuzi tata kama hizi hii leo.

Ipo haja ya kuangalia umuhimu wa kuwa na katiba mpya, kusuka upya mifumo ya teuzi na fursa za ajira nchini hayo mambo tuyaepuke kwa kiwango kikubwa zaidi
 
Mkuu MISSILE of a nation, kwanza naheshimu mawazo yako, ila nina maswali matatu kwako.
hoja ya msingi ya mteuzi, ni kabla ya uteuzi, ame set sifa na vigezo vya uteuzi,
  1. On Gender Balance, ikitokea, hakuna wanawake wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wanawake wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of gender balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...e-wenye-sifa-na-vigezo-vya-kuteuliwa.1186387/
  2. On Zanzibar Factor, ikitokea, hakuna Wazanzibari wa kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi wa Uwaziri kamili, jee ateue tuu Wanzanzibari wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of union balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...zanzibari-aweze-tena-kuwa-rais-wa-jmt.727564/
  3. On Religious Factor: ikitokea, hakuna Waislamu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu Waislamu wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of religious balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...na-ukabila-is-it-real-au-ni-dhana-tuu.374477/
  4. On Ukanda na Ukabila: ikitokea, kwenye kanda nyingine, na makabila mengine, hakuna watu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wowote kutoka kanda zote na makabila yote 120 ya Tanzania, hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of kanda na ukabila balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...enye-ukabila-tatizo-ndio-walio-wengi.1290353/
P
Wanawezaje kuwapata wa kugombea ubunge alafu uwaziri washindwe?je uwaziri unasomewa chuo gani ambacho waislam niharam kufika huko
 
Mkuu MISSILE of a nation, kwanza naheshimu mawazo yako, ila nina maswali matatu kwako.
hoja ya msingi ya mteuzi, ni kabla ya uteuzi, ame set sifa na vigezo vya uteuzi,
  1. On Gender Balance, ikitokea, hakuna wanawake wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wanawake wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of gender balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...e-wenye-sifa-na-vigezo-vya-kuteuliwa.1186387/
  2. On Zanzibar Factor, ikitokea, hakuna Wazanzibari wa kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi wa Uwaziri kamili, jee ateue tuu Wanzanzibari wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of union balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...zanzibari-aweze-tena-kuwa-rais-wa-jmt.727564/
  3. On Religious Factor: ikitokea, hakuna Waislamu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu Waislamu wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of religious balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...na-ukabila-is-it-real-au-ni-dhana-tuu.374477/
  4. On Ukanda na Ukabila: ikitokea, kwenye kanda nyingine, na makabila mengine, hakuna watu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wowote kutoka kanda zote na makabila yote 120 ya Tanzania, hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of kanda na ukabila balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...enye-ukabila-tatizo-ndio-walio-wengi.1290353/
P
The issue ni kwamba scenario za maswali yako ni impossible kutokea, ndiyo maana ana zile nafasi 10 za ubunge. Zile nafasi ni multipurpose na hekima yake mojawapo ni pale anapoweza kumteua yeyote katika general population kushika nafasi hizo

Halafu the the other thing ni kuwa kama akitaka, au akiamua anaweza kuua ndege watatu kwa jiwe moja, kwa mfano akiteua Mzanzibar mmoja ambaye ni mwanamke na ambaye ni muislamu huoni kuwa atakuwa amesove issue ya inclusivenes kwa kiwango kikubwa?, Sasa imagine afanye hivyo kwa watu 7 (siyo lazima wote wawe wazanzibari lakini wawe na atleast sifa mbili kati ya zile tatu)

Scenario yako ni imposible kwenye jamii, maana ikiwa hivyo kwamba hakuna mwanamke mwenye vigezo, hakuna muislamu mwenye vigezo, na hakuna mzanzibar mwenye vigezo basi hilo Taifa litakuwa na Society ambayo ina division na imbalance ya kutisha, kutisha mno kiasi kwamba anytime hiyo imbalance inaweza kupelekea civil war, separatism, au social malaise ya kutisha, kiufupi hiyo itakuwa ni failed state!. Sisi hatujafika huko hii maana yake yanayofanyika TZ ni kwa makusudi, wanaoyafanya wanajua
 
The issue ni kwamba scenario za maswali yako ni impossible kutokea, ndiyo maana ana zile nafasi 10 za ubunge. Zile nafasi ni multipurpose na hekima yake mojawapo ni pale anapoweza kumteua yeyote katika general population kushika nafasi hizo

Halafu the the other thing ni kuwa kama akitaka, au akiamua anaweza kuua ndege watatu kwa jiwe moja, kwa mfano akiteua Mzanzibar mmoja ambaye ni mwanamke na ambaye ni muislamu huoni kuwa atakuwa amesove issue ya inclusivenes kwa kiwango kikubwa?, Sasa imagine afanye hivyo kwa watu 7 (siyo lazina wote wazae wazanzibar lakini wawe na atleast sifa mbili kati ya zile tatu)

Scenario yako ni imposible kwenye jamii, maana ikiwa hivyo kwamba hakuna mwanamke mwenye vigezo, hakuna muislamu mwenye vigezo, na hakuna mzanzibar mwenye vigezo basi hilo Taifa litakuwa na Society ambayo ina division na imbalance ya kutisha, kutisha mno kiasi kwamba anytime hiyo imbalance inaweza kupelekea civil war, separatism, au social malaise ya kutisha, kiufupi hiyo itakuwa ni failed state!. Sisi hatujafika huko hii maana yake yanayofanyika TZ ni kwa makusudi, wanaoyafanya wanajua
Mkuu uko vizuri sana kwa hoja
 
Bakwata ni Tawi la CCM na wao ndiyo wametuma watu kulalamika humu juu ya uchache wa waislam kwenye baraza la mawaziri
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Mkuu MISSILE of a nation, kwanza naheshimu mawazo yako, ila nina maswali matatu kwako.
hoja ya msingi ya mteuzi, ni kabla ya uteuzi, ame set sifa na vigezo vya uteuzi,
  1. On Gender Balance, ikitokea, hakuna wanawake wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wanawake wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of gender balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...e-wenye-sifa-na-vigezo-vya-kuteuliwa.1186387/
  2. On Zanzibar Factor, ikitokea, hakuna Wazanzibari wa kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi wa Uwaziri kamili, jee ateue tuu Wanzanzibari wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of union balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...zanzibari-aweze-tena-kuwa-rais-wa-jmt.727564/
  3. On Religious Factor: ikitokea, hakuna Waislamu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu Waislamu wowote hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of religious balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...na-ukabila-is-it-real-au-ni-dhana-tuu.374477/
  4. On Ukanda na Ukabila: ikitokea, kwenye kanda nyingine, na makabila mengine, hakuna watu wa kutosha, kukidhi sifa na vigezo vya uteuzi, jee ateue tuu wowote kutoka kanda zote na makabila yote 120 ya Tanzania, hata wasio na sifa na vigezo, just for the sake of kanda na ukabila balance?. https://www.jamiiforums.com/threads...enye-ukabila-tatizo-ndio-walio-wengi.1290353/
P
Bahati mbaya yeye ndio mwenyekiti wa Chama siamini kwamba hata sekretariati ilikosa uono tangu Mwanzo hasa suala la wazanzibar ni mistake kubwa sana kwa Muungano wetu huu
 
Time will tell..........

Hiki kiburi cha watawala wetu cha kutotaka kabisa kutosikiliza maoni ya wananchi wake waliowaweka madarakani ipo siku kitawatokea puani! OVA
Usikilizwe na wewe unajipya gani?

Kwa taarifa yako uchaguzi mkuu umekwisha alieshinda ni kama mwanafunzi kumuelewa mwalimu darasani .wanachi wako pamoja na wanawakubali viongoz wao.

Wewe nan?
 
Rais angekuwa ni muislamu na akateua waislamu wakutosha (kama nusu tu ya baraza zima), leo jumapili makanisani zingesomwa nyaraka za maaskofu kuipinga serikali, mahubiri na maombi yangekuwa ni kuipinga serikali, wakristo wangeambiwa wafunge siku kadhaa dhidi ya uislamu kushamiri hapa Tz nk.

Viongozi wa kikristo nawajua vizuri.
Nashauri misikiti yote ianze kutoa waumini wote wakutane misikitini Sala ya Isha siku ya jumaa tano, mashekhe watoa la kipinga uchaguzi wa mAgufuli na dharau yake ya dini, wanawake na mikoa, mashekhe waagize waumini kujazana misikitini siku ya ijumaa na baada ya swalit jumaa, yafanyike maandamano kila mkoa hadi office za CCM kuonyesha kutoridhika na uchaguzi. Askari wakijaribu kupiga watu, dawa yao ni kupigwa nao na kunyanganywa silaha
 
Back
Top Bottom