Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jee unamaanisha hawanauwezo na hawa deserve to be part of the central Government?Heri yetu tusie na Dini,lakin nimejiuliza sana mkuu umeanzaje kukaa na kuanza kuwaza suala la udini kwenye teuzi me nadhan wewe ndo mbaguz nambari moja.
Me nadhan teuzi zinafanyika kutokana na uwezo na weledi wa mtu na si dini,mkoa au kabila.
Hata lingejaa waislamu wote as long wana deserve me sion shida na wote n watanzania wanafanya kaz kwa maslahi ya taifa hili.
Afu izi din sio zetu mkuu achana na ayo mambo ni ujinga mtupu
Waislamu sio watendajiTumwache Rais wetu afanye kazi, Tuache uchonganishi alichofanya ni sahihi,,kwani tunataka watu wa kanisani au msikitini???Tunataka watendaji...Toeni udini wenu huko.
Ebu tuambie kwenye mashauriano we ulikuepoAlipomteua Kabudi na Mpango alishauriana na waziri mkuu yupi wakati hao watatu wote walikula kiapo siku moja?
Adam Mwakanjukib) Hili ni baraza la Tanganyika, Yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?
Naomba nifahamishwe pia kwenye Baraza la Mawaziri Zanzibar kuna mtanganyika alishawahi kuteuliwa nafasi ya uwaziri[emoji23]
Akili ndogo utaijua tu. Unaelewa baraza la huko ni rais wao ndo anateu ambaye siye rais wa JMT.Kwani ni lazima kuteua waziri toka huko wapi katiba imesema hivyo mbona wao hawateui toka bara!
Jinsi ulivyoandika tu unaonekana umejawa na udini, kwa nini haitokei hata kwa bahati mbaya siku moja waislam wakateuliwa wengi kuliko wakristo hata kwa 60% tu? Miaka ya nyuma mlikuwa mnajificha kwenye kichaka kua waislam wengi hawkuwa na elimu ya juu.. Lakini Leo waislam wengi wasomi.. Sura ya udini wakati huu haijifichi sema tu mhusika mkuu hujifanya hajali lolote anashupaza shingo kama farao wa misri.Kwani wameteuliwa kwenda kusoma Quran au biblia au kwenda kufanya kazi? Tufike mahali mtu ateuliwe kwa kufuata uwezo wake wa kutenda kazi na sio dini wala rangi yake wala jinsia yake. Ni wazi mtoa maada ilitakiwa ushitakiwe kwa kuonyesha ubaguzi hadharani kabisa. Unaonyesha ubaguzi wa kidini hadharani hao watu wameteuliwa wakafanye kazi na sio kwenda kuhubiri.
Hapo kwa jaji mkuu sio kweli, ni mkatoliki pure.. Hilo ni jina tu.Ndugu zangu Waislam bara na visiwani msiwe mashaka. Mwenyezi Mungu yupo na atayajibu. Ila niwakumbushe mnawatu imara Sana pale juu kuanzia Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Mam Samia. Msimsahau waziri Jafo Ila Jaji Mkuu embu ndugu wa Islam msimsahau huyu Mh ktk Salah zenu mwekeni mbele za Mungu Jaji Mkuu wa Taifa. Hili. Amin
Ajiandae kusomewa nyaraka za kutosha na kila misa za jmos na j2 agenda zitakuwa udini wa Rais Huyo. Hii nchi ngumu sana hii.Haina shida akiingia Raisi muislamu na yeye baraza lake la mawaziri litakuwa 80% waislam na 20% wakristo
Huo ndiyo ukweli wenyeweBaraza la Mawaziri lolote lililo chini ya Jiwe ni la geresha tu.
Jiwe mwenyewe ni waziri kwenye kila wizara.
Well saidJinsi ulivyoandika tu unaonekana umejawa na udini, kwa nini haitokei hata kwa bahati mbaya siku moja waislam wakateuliwa wengi kuliko wakristo hata kwa 60% tu? Miaka ya nyuma mlikuwa mnajificha kwenye kichaka kua waislam wengi hawkuwa na elimu ya juu.. Lakini Leo waislam wengi wasomi.. Sura ya udini wakati huu haijifichi sema tu mhusika mkuu hujifanya hajali lolote anashupaza shingo kama farao wa misri.
Huyu mtawala wetu ni mbaguzi haswa wa nyaja zotekila mahala uwiano ni muhimu sana ktk kujenga umoja na maelewano, ni vyema kila kiongozi aliye pewa dhamana akalitazama hilo kwa nia njema ya kujenga umoja wenye nguvu ya pamoja kwa taifa letu kwa kuzingatia taaluma weledi na uadilifu, tusipo litazama jambo hili kuna hatari ya kutugawa siku za mbeleni, sio tu kwenye nafasi za uwaziri bali ktk kila idara za serikali ni muhimu viongozi wake wakalitazama hilo bila kuona aibu kwa maslahi ya nchi yetu, Mungu ibariki Tanzania