Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Katika utendaji hakuna udini ,ujinsia na uzanzibar au ubara

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app

Umewahi kusomea kozi yoyte ya uongozi au utawala?
Kuna kitu kinaitwa
1.Inclusiveness
2.Demography
3. Social forces

Hivyo vitu lazima uvizingatie kwenye kuunda timu za kiutawala, las sivyo unaweza kuishia kuunda serikali iliyojaa watu wa kijiji chako peke yake kisha ukajitetea kuwa "lakini ni watendaji wazuri"-Je hakuna watendaji wazuri kutoka sehemu nyingine za nchi?
 
Moja: Balaza la mawazili ni pamoja na manaibu, je manaibu wale hujawaona?!?

Mbili: Balaza la mawazili ni pamoja na Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu, Raisi wa Zanzibar, hawa nao ni makafiri?!? ewe uliyedini ya 'kweli'

Manaibu waziri siyo sehemu ya baraza la mawaziri
Hawahudhurii vikao vya baraza la mawaziri
 
Rais angekuwa ni muislamu na akateua waislamu wakutosha (kama nusu tu ya baraza zima), leo jumapili makanisani zingesomwa nyaraka za maaskofu kuipinga serikali, mahubiri na maombi yangekuwa ni kuipinga serikali, wakristo wangeambiwa wafunge siku kadhaa dhidi ya uislamu kushamiri hapa Tz nk.

Viongozi wa kikristo nawajua vizuri.
 
Rais angekuwa ni muislamu na akateua waislamu wakutosha (kama nusu tu ya baraza zima), leo jumapili makanisani zingesomwa nyaraka za maaskofu kuipinga serikali, mahubiri na maombi yangekuwa ni kuipinga serikali, wakristo wangeambiwa wafunge siku kadhaa dhidi ya uislamu kushamiri hapa Tz nk.

Viongozi wa kikristo nawajua vizuri.
Uko sahihi, Ukitaka kuona wakiristo wakiungana kuteteana ni katika vitu kama hivi-Hapa watamtea Magufuli kwa nguvu zote kwa sababu analinda maslahi yao kwa vitendo na bila haya!

Hoja nzima maadamu nimetaja waislamu tu basi hawana haja ya kuona kuwa nimetetea wanawake na Wazanzibar

Nchi hii kuna udini wa kimyakimya wa ajabu sana, haya anayofanya Magufuli ni pembe tu imeanza kuchomoza ya kilichojificha chini
 
Kimtokacho mtu ndio kilicho ujaza moyo wake.

Wewe 'unayewaza udini udini' ndio mdini
Wanaomkea Magufuli mara kwa mara kwa udikteta wake haimaanishi nao ni madikteta kwa sababu wanausema udikteta wake!
Si kila usemacho basi nawe wakiunga mkono, ingekuwa hivyo basi watu wasingeisema dhambi na kuikemea
 
b) Hili ni baraza la Tanganyika, Yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?

Naomba nifahamishwe pia kwenye Baraza la Mawaziri Zanzibar kuna mtanganyika alishawahi kuteuliwa nafasi ya uwaziri[emoji23]
Unachotaka kusema hapa ni sawa na kusema hii mitaa yetu ya Rombo tuwe na mwenyekiti wa mtaa kutoka Kigoma. Dadaa mbona hujiongezi?
 
Nawashangaa sana waislamu mnalalamika lalamika tu mnasahau kuwa top cream ya juu ya Serikali ni waislamu

Waziri mkuu muislam
Makamu wa Rais muislamu
Mkurugenzi wa usalama ni muislamu

Nenda kwa ma ded, ma das, wakuu wa wilaya na mikoa waislamu mbona wengi tu

Kipindi cha kikwete
Rais muislamu
Makamu muislamu
IGP (said mwema muislamu)
Mkurugenzi wa usalama ( othman muislamu)
Wakuu wa mshirika ya umma wengi walikuwa waislamu kina Ramadhani dau na wengine hukusikia wakristo wanalalamika you know why?

Hatumaindi vitu vidogo dogo kama hivi..

Nyinyi sasa kila kitu kwenu nongwa

Elimu Elimu Elimu
 
Nawashangaa sana waislamu mnalalamika lalamika tu mnasahau kuwa top cream ya juu ya Serikali ni waislamu....

Duh ukizungumzia MaDED, maDAS , wakurugenzi wa mashirika ya umma, makatibu wakuu, Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya Huko Waislamu idadi yao ni chache sana pia.

Kiufupi utawala huu unanuka udini ajabu
 
Unachotaka kusema hapa ni sawa na kusema hii mitaa yetu ya Rombo tuwe na mwenyekiti wa mtaa kutoka Kigoma. Dadaa mbona hujiongezi?
Ahahaha, hapo kwenye kipengele "b" nimenukuu tu kutoka kwenye uzi.
 
Nchi haiongozwi kwa hisia, rais ata kama angeweka 50/50 wewe na pingapinga wenzako bado mngekuja kushupaza shingo zenu.
 
Moja: Balaza la mawazili ni pamoja na manaibu, je manaibu wale hujawaona?!?

Mbili: Balaza la mawazili ni pamoja na Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu, Raisi wa Zanzibar, hawa nao ni makafiri?!? ewe uliyedini ya 'kweli'

Tatu: Nafasi za uongozi si zawadi, kwa dini, makabila, mikoa; hadi liwe ni swala la kufa na kupona, kwamba ni lazima dini, kabila, mkoa upate
Wewe seminari uliyosoma ilikua haifundishi somo la Uraia?Tangu lini Naibu Waziri akawa sehemu ya Baraza la Mawaziri wewe?
 
Hakika Zahanati; Vituo vya afya; Hospitali za wilaya, mikoa, kanda, & rufaa; Shule; Barabara na nk. ndio mambo ya msingi, anayopaswa kutumizwa na sio upuuzi wa kubalance dini
Hayo yanawezwa kufanywa hata na serikali ya kifamilia(ya kifalme), lakini hili ni Taifa la watu wa makundi mbalimbali ya kijamii hatutegemei kuona serikali inayoongozwa na watu wa imani moja kupita kiasi. Lazima serikali iakisi demography za watu wake
 
b) Hili ni baraza la Tanganyika, Yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?

Naomba nifahamishwe pia kwenye Baraza la Mawaziri Zanzibar kuna mtanganyika alishawahi kuteuliwa nafasi ya uwaziri[emoji23]
Uneambiwa wizara za muungano
 
Back
Top Bottom