Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wanawaiga chadema ambao hawataki wanawake waende bungeniWanawake si Katibu wake wa CCM na SUPIKA wamedai watapewa nafasi. Sasa kawageuka
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawaiga chadema ambao hawataki wanawake waende bungeniWanawake si Katibu wake wa CCM na SUPIKA wamedai watapewa nafasi. Sasa kawageuka
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Kwenye hoja ya udini hapo umekosea sana.
Hapo hakuna kuwaza ni uelewaHeri yetu tusie na Dini,lakin nimejiuliza sana mkuu umeanzaje kukaa na kuanza kuwaza suala la udini kwenye teuzi me nadhan wewe ndo mbaguz nambari moja.
Me nadhan teuzi zinafanyika kutokana na uwezo na weledi wa mtu na si dini,mkoa au kabila.
Hata lingejaa waislamu wote as long wana deserve me sion shida na wote n watanzania wanafanya kaz kwa maslahi ya taifa hili.
Afu izi din sio zetu mkuu achana na ayo mambo ni ujinga mtupu
Unaona idea zako ni udini udini,Uko sahihi, Ukitaka kuona wakiristo wakiungana kuteteana ni katika vitu kama hivi-Hapa watamtea Magufuli kwa nguvu zote kwa sababu analinda maslahi yao kwa vitendo na bila haya!
Hoja nzima maadamu nimetaja waislamu tu basi hawana haja ya kuona kuwa nimetetea wanawake na Wazanzibar
Nchi hii kuna udini wa kimyakimya wa ajabu sana, haya anayofanya Magufuli ni pembe tu imeanza kuchomoza ya kilichojificha chini
Huyo ndio ukweli wenyeweHayo ni mawazo yako (ama yenu)
Baraza la mawaziri Zanzibar limekaa kimsikitimsikiti mbona hulalamiki?
Itakuwa anataka waka sali na kuswali huko bungeniKwani tunahitaji Baraza la Mawaziri la kwenda Misikitini au Makanisani?
Mada ni hai kabisa. Hata wafu tunawaheshimu na kuwakumbuka. Vituo vya afya havina watumishi wala dawa za kutosha; barabara nyingi zimejengwa kwa misaada ya mabeberu; Shule zimefurika watoto wanakaa chini na walimu hawatoshi; biashara zimekabwa koo na machinga pamoja na TRA; raia wamenyang'anywa uhuru wa kuchagua viongozi wanaowataka; raia wanawaogopa watawala kuliko Mungu; uvunjifu wa katiba umetamalaki; imani ya raia kupata haki yao kwa njia ya mahakama imeshuka; n.k, n.k.Mada mfu kabisa! Unataka kuchonganisha kwa kutumia dini, uzanzibara. Uzuri ni kwamba wananchi wameshachoka na propaganda zenu, wao wanafanyiwa wanachotaka.. angalia vituo vya afya, Hosp, barabara, shule, n.k nk
Sipigi kura kwenye serikali ya mapinduzi ya Zanzibar sina interest napoBaraza la mawaziri Zanzibar limekaa kimsikitimsikiti mbona hulalamiki?
Unamatatizo kichwani si hivi hivi.Huwa mnaungana pamoja na kuteteana kwenye maslahi ya watu wa dini yenu.
Nahisi ningeishia kutaja wanawake na wazanzibar peke yake mgeunga mkono hoja, ila kitendo cha kutaja kuhusu umuhimu wa kuwepo kwa notable inclusiveness ya waislamu kwenye baraza mmeona hii mada haijakaa sawa hahaha
Kemeeni teuzi za udini, nchi hii ni yetu sote
Lakini tutaendelea kulisema hili maana halijakaa sawa
Au mkristo na mPaganib) Hili ni baraza la Tanganyika, Yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?
Naomba nifahamishwe pia kwenye Baraza la Mawaziri Zanzibar kuna mtanganyika alishawahi kuteuliwa nafasi ya uwaziri[emoji23]
Mufti na Masheikh wasiojitambua wanatumiwa kwa kupewa maslahi machache ili wawe Manyapara dhidi ya waislamu wenzao. Ni sheikh Ponda aliyeona picha pana na kuamua kumkataa Jiwe, kwa sababu Jiwe ni mdini wa kutishaKwa Islam mtanielewa, siku moja kabla ya uchaguzi Muft alikuwa Chamwino akifungua "msikiti" halafu huyo huyo aje akemee huu utezi kweli? Kwa hili Islam hatuna.mtetezi. kama kuna ambaye hajanielewa asinikurupukie
Hapangiwi lakini tutamueleza ukweli!Kashasema hapangiw