Katika baraza la kwanza la mawaziri la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Abeid Amani Karume alikuwa makamu wa kwanza wa rais na Rashidi Kawawa makamu wa pili wa rais.
Wazanzibari katika baraza hilo la Serikali ya Muungano wa Tanzania walikuwa ni pamoja na Aboud Jumbe, waziri wa nchi katika ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais; Abdulla Hanga, waziri wa viwanda, migodi na nishati; Abdulrahman Mohamed Babu, waziri wa nchi katika Ofisi ya Rais na Kurugenzi ya Mipango; Hassan Nassor Moyo, waziri wa sheria na Idrisa Abdul Wakil, waziri wa habari na utalii.
Asmara, Eritrea
Abdulrahman Mohammed Babu of Tanzania was friend of Eritrean struggle.
Wazanzibari katika baraza hilo la Serikali ya Muungano wa Tanzania walikuwa ni pamoja na Aboud Jumbe, waziri wa nchi katika ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais; Abdulla Hanga, waziri wa viwanda, migodi na nishati; Abdulrahman Mohamed Babu, waziri wa nchi katika Ofisi ya Rais na Kurugenzi ya Mipango; Hassan Nassor Moyo, waziri wa sheria na Idrisa Abdul Wakil, waziri wa habari na utalii.
Asmara, Eritrea
Abdulrahman Mohammed Babu of Tanzania was friend of Eritrean struggle.
