Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Huo ni ukabila nyie watu wa huko ni wakabila Sana , Ukija uku kwetu Mbeya mwenyekiti anatoka sehemu yoyote Ile ya Tz ili mradi anaishi kijijini kwetu,Unachotaka kusema hapa ni sawa na kusema hii mitaa yetu ya Rombo tuwe na mwenyekiti wa mtaa kutoka Kigoma. Dadaa mbona hujiongezi?
Sent using Jamii Forums mobile app