Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

What a scumbag,yaani Rais ndio unataka aanze kuchagua mawaziri kisa waislamu,hats hao ambao ni wakristo hawajachaguliwa kutokana na ukristo wao,mbona mnaendekeza sana udini
Acha kujidanganya,Kenya waliiharibu watu wajinga kama wewe,walichaguana kikabila halafu wakawa wanasema Rais hawezi kuzingatia kabila la mtu wakati wa uteuzi matokeo yake ukabila kenya umeota mizizi.

Wewe unajifanya ishu dini sio muhimu kwakuwa wewe ni mkristo na unajua mfumo upo upande wako
 
Baraza Hiki Limedhihirisha mambo mawili

1) Ubaguzi
jinsia ; kanda ; dini ( halina usawa wa kitaifa)

2) Dharau
mfano kitendo cha zanzibar kutopewa waziri hakijawahi tokea tangu uhuru

Kubwa RAIS AMEDHIHIRISHA ANAJUA “USHINDI “ WAKE ALIVYOUPATA HIVYO HANA DENI KWA YEYOTE HATA WAKE AMBAO KARATASI ZINAONYESHA WALIMPA KURA

kiongozi aliyepora ushindi kamwe hawezi kuheshimu yeyote zaidi ya waliomsaidia kuiba kura kama ma DED wenye viburi
 
Pitia orodha ya mawaziri waliopita na hawa wa sasa,pitia orodha ya wakuu wa mikoa wa sasa,pitia idadi ya ma DC wakurugenzi,mashirika,pitia wakuu wa idara kila halmashauri,wakuu wa vitengo utakuta wakristo ni zaidi ya 80% ,Bakwata hawawezi kulisema sio kwasababu hawajui ni kwasababu wananufaika na ubaguzi huu kupitia pesa wanazolipwa ili kuwanyamanzisha.

Tunayaona na hata wakijitahidi kuficha lkn wahusika watambue wanapanda mbegu mbaya.

Ile hoja kwamba waislaam hawakusoma haina nguvu maana kwa sasa kuna PHD zaidi ya maelfu za waislaam,

Uadilifu kwa waislaam ni mkubwa,mfano wa uadilifu wa waislaam ni Prof Asad,lkn kawekwa pembeni si kwasababu hakusoma au ni mbadhilifu,bali ni kwasababu ambazo hata wewe unazijua zipo wazi.

Matokeo ya kujaza wakristo wengi kwenye nafasi za juu ni upendeleo kwenye ajira,watu wakituma maombi ya kazi,wanaowajadili utakuta sehemu nyingine ni wakristo watupu,kijana wa kiislaam anaetaka ajira atapita wapi?

Nenda kasome orodha ya walimu waluoajiriwa juzi,halafu ujihoji kimoyomoyo kama ajira zile hazinuki udini,ni kwa sababu waliofanya maamuzi nani.aajiriwe na nani asiajiriwe ni parokia.


Mfano kama wa Asad upo kila Idara,lkn Kanisa linazidi kujichimbia mizizi kupitia vijana wao walioandaliwa vizuri kwenye makanisa.
Lakini ifahamike kuwa hii nchi ni yetu sote,hakuna wenye haki zaidi ya wenzao.
Nenda Msumbiji mkuu ukajiunge na wale wenzako mje kumpindua Magu
 
Missile of the Nation una wasiwasi na mapato kupungua Msikitini? Maghufuli atawapa mifweza na kuwasidia kuchangisha Kutoka Baraza hili hili Kama alivyofanya awali.

Pia una hofu na bajeti ya Ugaidi kupungua?

Sisi waislamu wastaarabu hatuna haja na vyeo vya kisiasa.
 
Mada mfu kabisa! Unataka kuchonganisha kwa kutumia dini, uzanzibara. Uzuri ni kwamba wananchi wameshachoka na propaganda zenu, wao wanafanyiwa wanachotaka.. angalia vituo vya afya, Hosp, barabara, shule, n.k nk
Ficha ujinga wako mkuu
 
Hebu tuache sera za udini, udini sio kigezo cha kumchagua mtu kushika nafasi fulani hao waliochaguliwa wana vigezo tosha kuliko hao unaofikiria walitakiwa kuchaguliwa na kumchagua mtu kisa ni dini fulani ni uvivu wa kufiri.
Sasa wa kuacha udini si angekua mteuaji ambae wakati wa kuteua amefuata udini?Au hilo milioni?
 
Hilo baraza si la kidini, na mambo ya kuteuwa baraza kwa kuzingatia uwiano wa kidini ni ujinga.
 
Rais angekuwa ni muislamu na akateua waislamu wakutosha (kama nusu tu ya baraza zima), leo jumapili makanisani zingesomwa nyaraka za maaskofu kuipinga serikali, mahubiri na maombi yangekuwa ni kuipinga serikali, wakristo wangeambiwa wafunge siku kadhaa dhidi ya uislamu kushamiri hapa Tz nk.

Viongozi wa kikristo nawajua vizuri.
wakristu HAWAKO HIVO JUA HILO
 
Tupe na demographic data za dini Tanzania bara. Yani wakristo ni % ngapi na waislam ni % ngapi? Hii itatupa mwanzo mzuri. Maana statistucs zinasema kwa Tanzania nzima Christianity ni 61%, Islam ni 36%. Hiyo ni ukijumlisha na Zanzibar/Tanzania visiwani ambao zaidi ya 95% ni waislam.

Sasa ukiitoa Zanzibar unashangaa kukutana na 13%?? Unachotakiwa kujua ni kwamba kwa Tanzania bara waislam ni wachache sana. Usijione unakaa mikoa yako ya pwani kama Tanga, pwani na Dar (Dar ina mchanganyiko) ambayo ina waislam ukafikiri Tanzania yote iko hivyo. Sisi tumekaa mikoa mingine hata sikukuu ya Idi mnakuwa hamuijui kiasi kwamba siku yenyewe na shule mnaenda kama kawaida, mkishafika shule mwalimu ndo anawatangazia leo ni sikukuu ya waislam (Iddi) mrudi nyumbani.

Screenshot_20201206-085255_Wikipedia.jpg
 
Huwa mnaungana pamoja na kuteteana kwenye maslahi ya watu wa dini yenu.

Nahisi ningeishia kutaja wanawake na wazanzibar peke yake mgeunga mkono hoja, ila kitendo cha kutaja kuhusu umuhimu wa kuwepo kwa notable inclusiveness ya waislamu kwenye baraza mmeona hii mada haijakaa sawa hahaha

Kemeeni teuzi za udini, nchi hii ni yetu sote

Lakini tutaendelea kulisema hili maana halijakaa sawa
Mkuu mbona kama vile nchi hii dini ni Uislamu na Ukristo tu? Sijasikia ukilalamika kutokuwepo kwa wawakilishi wa wahindu.. Wabuddha na wapagani.. Wao Tanzania sio yao?
 
Wewe ndiye mdini, na haya Ni mawazo yako ya Udini.

Unapoteua watendaji wa kukusaidia kazi haungalii dini ya mtu. Unaangalia uwezo wa mtu katika kazi.

Kama hao walioteuliwa ndio wenye uwezo, Let it be.

Tufanye kazi, tuache fitna na ramli chonganishi.
 
Kwann akemee uteuzi, kwani kigezo mojawapo ni dini? So far Serikali haina dini. Acheni mawazo potofu.
Nimeandika kama hujanielewa usinikurupukie nilijua mtakuwepo ndio maana nikaandika hivyo
 
Tupe na demographic data za dini Tanzania bara. Yani wakristo ni % ngapi na waislam ni % ngapi? Hii itatupa mwanzo mzuri. Maana statistucs zinasema kwa Tanzania nzima Christianity ni 61%, Islam ni 36%. Hiyo ni ukijumlisha na Zanzibar/Tanzania visiwani ambao zaidi ya 95% ni waislam.

Sasa ukiitoa Zanzibar unashangaa kukutana na 13%?? Unachotakiwa kujua ni kwamba kwa Tanzania bara waislam ni wachache sana. Usijione unakaa mikoa yako ya pwani kama Tanga, pwani na Dar (Dar ina mchanganyiko) ambayo ina waislam ukafikiri Tanzania yote iko hivyo. Sisi tumekaa mikoa mingine hata sikukuu ya Idi mnakuwa hamuijui kiasi kwamba siku yenyewe na shule mnaenda kama kawaida, mkishafika shule mwalimu ndo anawatangazia leo ni sikukuu ya waislam (Iddi) mrudi nyumbani.[emoji2][emoji2]View attachment 1642857
Ila we jamaa japokua post yako inakera na ina takwimu za uongo ila umenichekesha sana fala wewe.Eti leo sikukuu rudini nyumbani😂😂😂😂
 

17 October 2020​

MAWASILISHO YA SEKRETARIATI YA PAMOJA YA SMT NA SMZ : HOJA ZA MUUNGANO TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAONDOLEWA



Uteuzi vyombo vya Muungano
Mikataba ya kimataifa
 
Watanzania tuwe na shukrani.

Hatufahamu ni vigezo vipi vimetumika kuunda wizara hizo na kuteua Mawaziri.

Hata hivyo Uwaziri ni nafasi ya heshima anayopewa mtu haijalishi dini yake, kabila, rangi na mahala gani anapotoka.

Hata hivyo bado ni mapema sana kuhukumu uteuzi wa mawaziri ama wanafaa au hawafai, cha muhimu ni sisi kuchapa kazi, tuwasaidie wateuliwa pale inapobidi na pale wanaposhindwa kazi mteuaji atawaondoa na kuweka wengine.

Lakini pia tukumbuke hakuna taasisi yeyote ya dini au majukwaa ya wanawake au kila mkoa kupeleka majina ya uteuzi wa nafasi za uwaziri kwa Mh.Rais ili achague yupi anafaa.

Ingelikuwa vema unapopinga walau kuweka orodha yako unayoipendekeza/uliyoona inafaa.
 
Kubali kuelimishwa kwa usilojua

Sio wewe tu wengi wenu mnadhan ikitajwa Cabinet basi Naibu waziri ni sehemu ya Cabinet

Naibu Waziri kutokuwa kwny Cabinet sio issue ya lugha kama unavyodhan, ni issue ya kisheria

Huu ni uwanja wa mijadala na kuelimishana, ukielimishwa ulilokuwa hujui unapaswa kushukuru badala ya kutafuta vichaka vya kubishia


Ni Kama vile kwenye kuunda Cabinet, Sheria inamtaka Rais ashirikiane na Waziri Mkuu wake sio Makamu wa Rais japo si kosa akimshirikisha Makamu wake
Lugha inakupa tabu?!?
 
Back
Top Bottom