Baraza Jipya La Mawaziri hili hapa

Baraza Jipya La Mawaziri hili hapa

Jamani eeeeee sie tusubiri tu tusimlaumu sana jk.mi nadhani huyu chenge anayo ya kujibu mengi sana baada ya akina zitto nao kuwasilisha ripoti ya madini sie tusubiri..atajiuzulu mwenyewe kama akina karamagi.Yeye si ndio alikuwa mwanasheria mkuu kabla ya mwanyika ?
Aaaahhh aaaahhaa aaaahhhaa. Sometime Mh. Kikwete anatakiwa awe serious. Sasa kumrudisha mtu kama Chenge kwenye baraza hilo ina maana hakukuwa na watu wengine ambao wana-fit hiyo nafasi? Si huyu ametajwa kwenye baadhi ya scandal tena anarudi. Aliwahi kumtishia Mh. Slaa kuwa angekwenda mahakamani kwa kumzulia ufisadi na hadi mwaka kesho hataenda kufungua hayo mashitaka. Hapa kuna kitu JK anajaribu kufunika au..........??? Au ndiyo fadhila yenyewe ya SISIEM.
U know what, ngoma mdundo..... Tutaendelea kuwaumbua tu na ufisadi wao. Naamini kama JK hataki kumuweka kando huyo Chenge basi JF kwa kushirikiana na wenye uchungu na nchi watamuondoa kama walivyoondoka wenzake. Eti Nchimbi naibu wa Wizara ya Ulinzi, mmmh ndo fadhila hizo JK hakuna anayeshangaa lakini angalia sana Mheshimiwa sana maana mabomu yatazidi kuja. Ukiendekeza ushikaji mwaka 2010 utauona mgumu sana. Mmmh labda kutakuwa na mabadiliko mengine hivi karibuni, WHO KNOWS!!
 
Well lets see how bad this one can be, however kuna nafuu fulani ndogo hivi!!
 
Mkullo kuwa Waziri wa Fedha imeni dissapoint kweli?
 
Nadhani mkuu umechelewa kidogo sana katika hii discussion ambayo iliendelea sana miezi michache iliyopita ambayo iliuliza swali kuwa waafrika ndivyo tulivyo? Ninavyokumbuka hatukufikia mwisho lakini consensus ya wengi ilielekea kwenye conclusion yako!


Kwa mtaji huu. Itabidi watu msiache kupiga kelele hata kama rais anafanya vizuri.
 
Kwa mtaji huu. Itabidi watu msiache kupiga kelele hata kama rais anafanya vizuri.

Bahati mbaya kwako wewe uliyekata tamaa. Wengine wetu tunataka kukata hii circle ya kushindwa na kuanza the whole new dimension ya kufikiri na kuamua.

Usikate tamaa mkuu. Futures zinaweza kubadilishwa tu na vizazi vilivyopo na vinavyokuja na sio vilivyopita.
 
Ndoto yangu ilikuwa wizara 15; na manaibu 10. Jumla ya baraza lote 25. Niliandika hili mahali fulani. Niliandika pia kwamba hali halisi itakuwa mawaziri 40+. Ndivyo ilivyotokea.

Mwanakijiji bila shaka hutakosa cha kuandika mwaka huu pia.

Swali la kipuuzi: Hivi uchawi na wachawi wana nafasi gani katika serikali ya JK?
 
Eti Mkullo Waziri wa Fedha?

Huyu Mzee ni mmoja wa vihiyo waliochukua shahada za kununua, alikuwa anakimbizana nasisi kugombea vikina Olivia vya JKT Mgulani, vitoto sawa au vidogo zaidi kuliko wanawe.Mzee kamputa mchizi wangu demu hivi hivi, integrity less than zero, yaani mara mia ya Meghji kulko Mkullo.

Huyu si ndiye aliyepitisha mikopo isiyo collateral ya Sumaye? Au siye huyu? Sasa tunaenda kumpa access zaidi afanye madudu zaidi? Kikwete is not serious at all.

Ulishamsikia Mkullo alivyokuwa anajigamba kwa u-consultant wake wa "dollar 2,000 kwa mwezi"

Watu wengi walikuwa na expectations kubwa sana walipoona Kikwete anachukua muda zaidi kupanga timu, kuja kuona matokeo anaendelea kuboronga tu kama kawaida yake.

Repulsive,
 
Sasa wewe umewahi kuona wapi unajilinganisha na wagonjwa wenzako ambao wanaumwa zaidi. Sisi ndio tunaongoza kwa elimu ya juu East Africa halafu unataka kutulinganisha na waganda na wakenya! Haya tuwaambie ile report iliyoletekeza wizara hizi mbili kutenganishwa nini leo kimepungua au kuongeza kiasi kwamba tunarudi miaka 1980? Unaongelea Naibu Waziri, hujui kama mtu kama huyo hata kwenye mikutano ya cabinet haingii? Ninaelewa vizuri sana maana ya elimu na elimu ya juu na ninaongea hili with great intellectual authority wala sihitaji kusubiri maelezo ya ziada ya JK ili kuelewa!

Huh????? Tunaongoza kweli? Tupe statistics mkuu!!!
Na hiyo sentensi yako ya mwisho, Mkuu! GREAT INTELLECTUAL AUTHORITY!!!!Ndiyo maana napenda watanzania
!
 
Eti Mkullo Waziri wa Fedha?

Huyu Mzee ni mmoja wa vihiyo waliochukua shahada za kununua, alikuwa anakimbizana nasisi kugombea vikina Olivia vya JKT Mgulani, vitoto sawa au vidogo zaidi kuliko wanawe.Mzee kamputa mchizi wangu demu hivi hivi, integrity less than zero, yaani mara mia ya Meghji kulko Mkullo.

Huyu si ndiye aliyepitisha mikopo isiyo collateral ya Sumaye? Au siye huyu? Sasa tunaenda kumpa access zaidi afanye madudu zaidi? Kikwete is not serious at all.

Ulishamsikia Mkullo alivyokuwa anajigamba kwa u-consultant wake wa "dollar 2,000 kwa mwezi"

Watu wengi walikuwa na expectations kubwa sana walipoona Kikwete anachukua muda zaidi kupanga timu, kuja kuona matokeo anaendelea kuboronga tu kama kawaida yake.

Repulsive,

Andrew Chenge na Mustafa Mkullo ni lazima waende na maji.
Hatutaki majangiri katika Baraza la mawaziri.

JM Kikwete umechemsha kwelikweli.

Ujue kwamba, muda wa Chenge na Mkullo kuvuliwa nguo ukifika MH Kikwete utabeba lawama zao kwa 100%, kama una masikio yakusikia na kichwa cha kufikiri waondoe sas kungali mapema.
 
Huh????? Tunaongoza kweli? Tupe statistics mkuu!!!
Na hiyo sentensi yako ya mwisho, Mkuu! GREAT INTELLECTUAL AUTHORITY!!!!Ndiyo maana napenda watanzania
!

Katika Afrika and EA UD is the only University among 20 best in ranking! Vyuo vya Uganda na Kenya wako nyuma sana kwa hili!

Sijui na mimi ni kigezo gani kingine Kitila anatumia kulinganisha Kenya na Uganda!
 
Ngoja niwape muda kidogo nione utendaji wao.

Hata hivyo serikali hii bado ni kubwa sana. Nadhani waliotuletea majina labda kuna makosa kidogo kwa vile sioni mantiki ya kuwa na wizara mbili zifutazo, kwangu mimi hii ingekuwa wizara moja ambayo ningeiunganisha na madini, kwa vile madini nayo ni sehemu ya maliasili. Tumezowea kudhani kuwa maliasili ni wanyama pori na misitu tu na kusahahu kuwa madini nayo ni mali asili.


4. WIZARA YA UTALII NA MAZINGIRA DK. BATILDA BURIANI
19. MALIASILI NA UTALII WAZIRI NI SHAMSA MWANGUGA NAIBU EZEKIEL MAIGE


Halafu baada ya kutenganisha nishati na mdini, ningeunganisha maji, nishati na miundo mbinu kuwa wizara moja.

15. WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI WAZIRI PROFESA MARK MWANDOSYA NAIBU ENG. CHRISTOPHER CHIZA
22. WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAZIRI WILLIAM NGELEJA NAIBU ADAM MALIMA


Kwa vile mawasiliano ni sehemu ya miundombinu, hakuna haja ya kwa na wizara inyojitegemea kushughulikia mawasiliano. Badala yake tungeendelea kuwa na Wizara ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia kama kawaida

11. WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA WAZIRI SHUKURU KAWAMBWA NAIBU NI DK. MAUA DAFTARI

Ofisi ya Rais yenyewe ni kubwa, kwa hiyo kuipa mawaziri wawili tena ni mzigo zaidi kwa wananchi. Sioni mantiki ya kuwa na mawaziri wafuatao:

1. WAZIRI OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA SOFIA) - Sophia SIMBA
2. WAZIRI OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UMMA) HAWA GHASIA


Vile vile mambo ya tawala za mikoa yanatakiwa yawe chini ya ofisi ya Waziri Mkuu; hili ndilo jukumu namba moja la ofisi hiyo. Kwa hiyo wizara hizi mbili ni redundant:

5. WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA NA URATIBU WA BUNGE) WAZIRI PHILIP MARMO
6. WIZARA YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA WAZIRI STEVEN WASSIRA NAIBU SELINA KOMBANI


Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki ni sehemu ya mambo ya nje, kwa hiyo wizara hizi mbili zilitakiwa ziunganishwa.

21. WIZARA YA MAMBO YA NJE USHIRKIANO WA KIMATAIFA WAZIRI NI BENARD MEMBE NAIBU SEIF ALI IDDI
25. WIZARA YA AFRIKA MASHARIKI DK. DEODATUS KAMALA


Sana sana, ndani ya Wizara ya mambo ya nje kungekuwa na idara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, labda kukiwa na naibu waziri.

Wizara ya Kilimo haina uhusiano kabisa na mambo ya Ushirika. Katika mfumo wa kibepari tuliojenga, hakuna haja ya kuwa na idara inyohusika na ushirika. Kama ni lazima kwa nvyama vya ushirika kusimamiwa na serikali, basi shughuli hiyo chini ya Ofisi ya waziri Mkuu. Baada ya hapo, wizara hizi ziunganishwe:

16. WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA, USHIRIKA WAZIRI PROF. PETER MSOLLA, NAIBU DR. MATHAYO DAVID MATHAYO
18. WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI WAZIRI JOHN POMBE MAGHUFULI NAIBU JAMES WANYANJA


Halafu kuwepo kwa Wizara za sheria na mambo ya ndani kweli huwa ni kujipa mazigo tu. Ningeshuri kuwa Wizara hizi ziunganishwe:


20. WIZARA YA MAMBO YA NDANI DR. LAWRENCE MASHA NAIBU NI HAMISI KAGASHEKI
23. WIZARA YA SHERIA NA KATIBA MH. MATHIAS CHIKAWE


Wizara zifuatazo zinajitosheleza kwa hiyo hazihitaji kuundwa tena.


7. WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO WAZIRI MUSTAFA MKURO NA MANAIBU NI JEREMIH SUMARI NA OMARI YUSUF MZEE
8. WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAZIRI PROFESA DAVID MWAKYUSA NAIBU NI AISHA KIGODA
9. WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WAZIRI JOHN CHILIGATI
10. ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI WAZIRI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE NAIBU GAUDENSIA KABAKA NA MWANTUMU MAHIZA
13. WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI NA MICHEZO WAZIRI KAPT. GEORGE MKUCHIKA NAIBU JOEL BENDERA
14. WIZARA YA KAZI, AJIRA NA MAENDELEO YA VIJANA WAZIRI PROFESA JUMA KAPUYA NAIBU HEZEKIA CHIBULUNJE
17. WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO WAZIRI MARGARETH SITTA NAIBU NI DR. LUCY NKYA
24. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA DK. HUSSEIN MWINYI NA NAIBU EMMANUEL NCHIMBI
26. WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA NA MASOKO DK. MARY NAGU NAIBU CYRIL CHAMI


Kufanya hivyo, Rais atapunguza idadi ya Mawaziri kutoka hao 25 hadi 17. Hiyo ni nafuu sana kwa mwananchi.

halafu Manaibu waziri wengi ni redundant. Ni Wizara chache sana zinazohitaji kuwa na Naibu Waziri, kwa mfano Wizara ya mambo ya nje inahitaji naibu waziri ambaye atashughulikia swala la Afrika ya mashariki tu.

Hapa mkuu tuko pamoja ila nina haya machache ya kuongeza:

-Kuwaweka watu kama Nchimbi na Husein Mwinyi kwenye wizara muhimu ya Jeshi letu la Ulinzi na kujenga Taifa ni kulidharau jeshi hilo ambalo ni chombo muhimu sana kwa Taifa letu hasa katika kipindi hiki ambacho karibu majirani zetu wote wapo kwenye vita au machafuko ya kisiasa.
-Inaelekea JK bado hajaona umuhimu wa kupunguza timu yake pamoja na ushauri wote aliopewa.Nchi kama Tanzania kweli haipaswi kuwa na wizara zaidi ya 15!!kuwa na wizara zaidi ya 25 ni mzigo mkubwa sana kwa wananchi na Taifa kwa ujumla.

-Naona mawaziri wengi wamewekwa si kutokana na uchapakazi au ufanisi au uwajibikaji au usafi bali ni sera zilezile za ushikaji,urafiki,kusoma pamoja,kuoneana haya na bila kuzingatia zile sera za ari mpya,nguvu mpya na kasi mpya!.Hebu tuchukulie mfano wa Prof.Kapuya kweli huyu mtu anatufaa?? je kweli uchapakazi wake unaridhisha? mtu huyu kila kukicha anawaza kununua vipanya ili apeleke kule ISAKA-Shinyanga mpaka sasa ni mtu mwenye vipanya vingi kule ISAKA sasa swali linakuja kavipatapataje?????

-Kumpeleka Prof.Mwandosya wizara ya maji badala ya wizara ya Sayansi na Technologia ambako ndiyo mtaalam huko ni kukoroga mambo tu! Sijui ni kigezo gani kimetumika hapo..hebu nielimisheni.

-Kumuondoa pombe magufuli wizara ya ardhi ambapo alionekana kupamudu kabisa na kuweka mtu mwingine nikukaribisha lile wimbi la wageni kujitwalia tena ardhi yetu huku watanzania tukiendelea kunyanyasika.

Wembe Mkali
 
Sasa wewe umewahi kuona wapi unajilinganisha na wagonjwa wenzako ambao wanaumwa zaidi. Sisi ndio tunaongoza kwa elimu ya juu East Africa halafu unataka kutulinganisha na waganda na wakenya! Haya tuwaambie ile report iliyoletekeza wizara hizi mbili kutenganishwa nini leo kimepungua au kuongeza kiasi kwamba tunarudi miaka 1980? Unaongelea Naibu Waziri, hujui kama mtu kama huyo hata kwenye mikutano ya cabinet haingii? Ninaelewa vizuri sana maana ya elimu na elimu ya juu na ninaongea hili with great intellectual authority wala sihitaji kusubiri maelezo ya ziada ya JK ili kuelewa!


Mzee elimu ya juu tumeachwa sana hata kwa standard ya Afrika.
 
Eti Mkullo Waziri wa Fedha?

Huyu Mzee ni mmoja wa vihiyo waliochukua shahada za kununua, alikuwa anakimbizana nasisi kugombea vikina Olivia vya JKT Mgulani, vitoto sawa au vidogo zaidi kuliko wanawe.Mzee kamputa mchizi wangu demu hivi hivi, integrity less than zero, yaani mara mia ya Meghji kulko Mkullo.

Huyu si ndiye aliyepitisha mikopo isiyo collateral ya Sumaye? Au siye huyu? Sasa tunaenda kumpa access zaidi afanye madudu zaidi? Kikwete is not serious at all.

Ulishamsikia Mkullo alivyokuwa anajigamba kwa u-consultant wake wa "dollar 2,000 kwa mwezi"

Watu wengi walikuwa na expectations kubwa sana walipoona Kikwete anachukua muda zaidi kupanga timu, kuja kuona matokeo anaendelea kuboronga tu kama kawaida yake.

Repulsive,

huyu ni MKULLO AMBAYE HATA kampuni yake ya DRY CLEANERS yenye makao yake makuu pale JENGO LA MWANAMBOKA kinodoni[former shoprite]..aliyoifungua baada ya kustaafu.....ilimshinda kuiendesha .....akawa anajiendesha kwa hasara ..hadi anapagawa...pamoja na kuwa na vifaa first class....

mpaka anaenda kugombea ubunge mwaka juzi ...2005 alikuwa taabani kipesa....sijui kiinua mgongo chake na biashara vilimshindaje...
pamoja na kuwa PERFOMANCE YAKE NSSF ILIKUWA NZURI....siwezi kujua utendaji wake kama waziri utakuwaje..baada ya kumshauri mama meghji kwa miaka miwili pale!!
 
Ngoja tuangalie kama kuna chochote cha maana hao walioteuliwa wataleta katika maendeleo ya nchi,lakini i doubt sana maana wengi ni wale wale tuu waliotufikisha hapa na sijui kama wana new idea...well,lets wait & see,ningeomba sana aniondolee Hosea na Mwanyika na apanngue ile TRA na Bandari maana kule kuna rushwa sana na watu hawafanyi kazi inavyotakiwa,lazimaTRA iende high tech maana tunapoteza pesa nyingi sana kutokana na wazembe wala rushwa.
 
Wote mmesema vyema . Hapa ni JF ni mahali ambapo JK anajua kuna wajuvi .Weka data hapa kwa uwazi na sisi tutashika bango .Weka dara wacha uoga .
 
yupo wapi LUDOVICK MWAMANZILLA ..aliyekosoa SERA YA KIKWETE YA SHULE ZA SEKONDARI KATA ..kisema haukupangiliwa vema..ulipangwa kwa kukurupuka na kusababisha majengo yawe lakini walimu hakuna....inabidi asugue benchi...nahisi kwa maana hiyo utendaji wake na uke wa magreth sita haujafanikiwa!
 
Ni Wizara gani hazijaguswa kabisa?
1. Afya na Ustawi wa Jamii (Mwakyusa)

2. Mambo ya Nje (Membe)

3. Miundo Mbinu (Chenge)

Hii inamaanisha utendaji wao unaridhisha?

A:
NB Why Afya?

Takwimu za maambikizo ya Ukimwi Tz ktk hii National Campaign inayoendelea ambapo watu zidi ya million 3 wamepima inaonyesha maambukizo mapya yamepungua toka 7% (2004/05) to 5% yaani kupungua kwa asilimia 28 (28%)! Angalia hata UN recent data over Tanzania wamebadilisha juzi tu kuonyesha Life Expectance Tz ni miaka 54 Mwanamke na 51 mwaname na population ni 40.4 milion!

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/country_profiles/1072330.stm

Je hii kupungua kwa maambukizo mapya ya ukimwi ni moja ya mafanikio ya Mwakyusa na Dr. Kigoda kutoguswa?

B: Foreign

Tz kupata nafasi kuongoza AU na ujio wa Bush imeimpandisha chart JK akaona asimguse Membe kwa sasa?

C: Barabara

Why Chenge? Nothing new with Chenge!!!!!!????????

Mzalendohalisi,

Wizara ya Chenge imemegwa katikati na sehemu imepeleka wizara ya science and Technology.

Yeye amebaki na barabara.
 
The Hadzabe, a hunter gather tribe in Tanzinia, Africa, are believed to be the second-oldest people on Earth - but of course that is not saving them from being threatened with eviction and extinction.

Some greedy members of the United Arab Emirates 'royal' family want to turn the Hadzabe tribal hunting lands into a private 'by helicopter only' safari playground - so the Hadzabe who have been there for over 50,000 years will just have to go.

The Hadzabe, who run their society without hierarchy or leadership, and usually reach decisions by consensus, have had 2500 sq miles of their ancient hunting lands leased to the self indulgent Arab royals, by the corrupt Tanzanian government.

Much like the 'clearances' in Scotland (1760-1886), which cleared the Highlands of people to make way for sheep farming, the selfish United Arab Emirates 'royals' plan to clear the area of all humans; that means the 1500 remaining members of the Hadzabe Tribe - so the 'royals' can be free to hunt without the 'natives' getting in the way.

About thirty years ago, the Tanzanian government tried to change the Hadzabe's freedom loving lifestyle by forcing the bushmen to 'settle down' and 'get a real job'.

The government gave them livestock, grain and tools, and left them to cultivate the land. But the once the livestock and grain were gone, the Hanzabe returned to the bush, and happily regained their 'primitive' status as free people.

Defending the decision to sell the land to the disgustingly rich, and self centered Arab Royals who tour the area in helicopters, a Tanzanian government official had the gall to call the Hanza 'backwards' because they have no use for money, or the usual materialistic tat.

Sijui kama Mheshimiwa anahusika lakini yeyote mwenye kidole kwenye dili hii ya waHadzabe anastahili laana zote za mwenyezi mungu.
 
Back
Top Bottom