What about MEMBE?
GT inaonesha Muungwana siku hizi hasomi JF. Au kama anasoma anaendelea kujifanya shingo ngumu.....na kuna uwezekano kwamba mkuu anajua kuna dili la kuchezwa, ndio maana karudishwa the same wizara......
Yaani ni kama zamani, kumtoa Karamagi Viwanda na Biashara to Madini na Nishati, after miezi kadhaa ikapigwa kazi ya Buzwagi...n wakuu wote wakawa London on the same day