Mbona mbowe alienda ikulu kuongea na raisi wasiemtambua? Hapa misimamo ya chama haijakiukwa?
Hizo ni siasa za Chuki ambazo binafsi sizipendi, kwann unawaza chadema kubomoka nasio ccm. Ukimsikiliza bobi wine leo alivyoongea nadhani huwezi andika huu uharoNadhani wanawake hawa wana nguvu fulani ya kuivuruga CHADEMA. Zitto mwenyewe peke yake alipoondoka CHADEMA amekuwa mwiba kwao, sasa kkweli iweni Mdee pamoja na timu yake kweli?
Ndugai, soma hiyo!HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA
Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama
======
UPDATE:
View attachment 2221145
Halima Mdee: Kilichofanyika ni Uhuni, hata Mbowe (Freeman) mwenyewe anajua
John Mrema: Baada ya uamuzi wa Baraza Kuu, Katibu Mkuu ataandika barua kumuarifu Spika kuwa suala lao limehitimishwa; tutamwachia spika afanye uamuzi kama alivyosema anasubiri Rufaa zao
=======
Matokeo ni kama ifuatavyo;
Kanda ya Victoria (Wajumbe 44)
-Wanaokubalia wavuliwe uwanachama 42
-Wasiokubali 1
-Wasiofungamana na Upande wowote 1
Jumla kura 44
Kanda ya Nyasa (Wajumbe 57)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 57
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 57
Kanda ya Unguja (Wajumbe 22)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 19
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 1
Jumla ya Kura 22
Kanda ya Pemba 15
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 12
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 15
Kanda ya Kusini 32
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 32
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 32
Kanda ya Pwani 47
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 45
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 47
Kanda ya Kati 44
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 44
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 44
Kanda ya Serengeti Wajumbe 41
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 41
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 41
Kanda ya Magharib Wajumbe 37
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 37
Wasiokubali 0
Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 37
Kanda ya Kaskazini Wajumbe 61
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 61
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 61
Kura 352 zimekubaliana na Kamati Kuu na kura 5 ndo zimepingana na maamuzi ya Kamati Kuu
Ndugai, soma hiyo!HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA
Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama
======
UPDATE:
View attachment 2221145
Halima Mdee: Kilichofanyika ni Uhuni, hata Mbowe (Freeman) mwenyewe anajua
John Mrema: Baada ya uamuzi wa Baraza Kuu, Katibu Mkuu ataandika barua kumuarifu Spika kuwa suala lao limehitimishwa; tutamwachia spika afanye uamuzi kama alivyosema anasubiri Rufaa zao
=======
Matokeo ni kama ifuatavyo;
Kanda ya Victoria (Wajumbe 44)
-Wanaokubalia wavuliwe uwanachama 42
-Wasiokubali 1
-Wasiofungamana na Upande wowote 1
Jumla kura 44
Kanda ya Nyasa (Wajumbe 57)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 57
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 57
Kanda ya Unguja (Wajumbe 22)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 19
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 1
Jumla ya Kura 22
Kanda ya Pemba 15
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 12
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 15
Kanda ya Kusini 32
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 32
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 32
Kanda ya Pwani 47
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 45
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 47
Kanda ya Kati 44
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 44
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 44
Kanda ya Serengeti Wajumbe 41
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 41
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 41
Kanda ya Magharib Wajumbe 37
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 37
Wasiokubali 0
Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 37
Kanda ya Kaskazini Wajumbe 61
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 61
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 61
Kura 352 zimekubaliana na Kamati Kuu na kura 5 ndo zimepingana na maamuzi ya Kamati Kuu
Yaani mie zaidi nilisikitishwa na hawa wote ambao walikuwa wapambanaji, na kupitia shuruba zote za mara kufungwa na wananchi hadi kuwachangia kuwatoa gerezani kutokana na vile walivyoaminiwa, but mwisho wa siku wakadanganyika kiraisi kwa uchu wa vipande sijui vya pesa...eish Halima Mdee &Co..you really let us down..Sio Siri waliojiharibia future yao hapo ni Nusrat Henje na Halima Mdee,
Hata hivyo walisha kula sana; mwaka mzima? Naona kama ama watahamia ama ACT Wazalendo au CCM. Kokote watakokokwenda nadhani watakuwa na nyota inayong'ara kwani ndio watakaoutumika kukibomoa CHADEMA. Labbda washawishiwe wasiondoke ndani ya Chama.
Unaelewa Kiswahili?Kumbe walikuwa hawajafukuzwa?!
Nadhani wanawake hawa wana nguvu fulani ya kuivuruga CHADEMA. Zitto mwenyewe peke yake alipoondoka CHADEMA amekuwa mwiba kwao, sasa kkweli iweni Mdee pamoja na timu yake kweli?
Aliyewahi kufukuzwa uanachama akaenda mahakamani wakamrudishia uanachama wake ni nani??. Katiba ya chadema ni kama ya FIFA mambo ya chama/mpira hayatapelekwa mahakamani.Ni muda wa kwenda mahakamani sasa for unfair dismissal.
Chama kilisema hawazitaki hizo nafasi za viti maalum baada ya uchaguzi na zisingekuwepo baada ya mwaka mmoja kama hakina mdee wasingezichukua.
Iweje leo wabadili gear angani na kuzidai nafasi na ruzuku waliyoikataa wenyewe. Ni wazi maamuzi ya hakina Mdee kipindi kile yaliangalia mbele kwa sababu mwenyekiti kigeugeu na ana watu wake wa mfukoni tayari.
Asubuhi na mapema mahakama ya kazi kufungua kesi ya pingamizi bunge lisipokee majina mapya mpaka kesi yao iamuliwe mahakamani.
Huu ndio uonevu wa mfumo dume.
Yaani mie zaidi nilisikitishwa na hawa wote ambao walikuwa wapambanaji, na kupitia shuruba zote za mara kufungwa na wananchi hadi kuwachangia kuwatoa gerezani kutokana na vile walivyoaminiwa, but mwisho wa siku wakadanganyika kiraisi kwa uchu wa vipande sijui vya pesa...eish Halima Mdee &Co..you really let us down..
Kukata rufaa
Ruzuku inatakiwa iende ushirombo bila mgao,haijafika.Baada ya hapo nini kinafuata?
Hizi siasa wee aacha tu, ukikutana na huyo Rwakatare unaweza kudhani ni mweu flani au wale bodaboda wachafuuu.Zitto mwenyewe amekiri katika makosa makubwa aliyofanya katika Maisha yake ni kuondoka Chadema. Kwa huu mwaka mmoja akina Halima wamekuwa na impact gani?. Dr Slaa, Masinji etc wameshindwa kukivunja chama sembuse Hawa akina Halima Mdee waliochuja?. Waende CCM au ACT .
Umesahau wale wanawake ambao 2020 walihma chama kwa visingizio vingi, Leo wapo wapi?. Alfred Rwakatale aliyehama chadema kwa mikwara yupo wapi leo?. Chadema ilishindwa kuvunjwa na jiwe sidhani Kuna wakuivunja zaidi ya Mungu mwenyewe.
sabaya juzi aliposhinda rufaa yake kwani alikuwa hajahukumiwa miaka 30 kabla ya rufaa?. The same na huku chadema, hawa covid 19 walifukuzwa na kamati kuu lakini wakakata rufaa kwenye baraza la chama ambalo Leo baraza limepiga kura matokeo yakatoka kuwa wamefukuzwa uanachama kwahiyo rufaa yao imefeli maana ake imetupiliwa mbali. Kukata rufaa unaweza kushinda pia lakini wao wameshindwa. Hapa usipoelewa basi akili zako nizaccmKumbe walikuwa hawajafukuzwa?!
Jibu zuriWatakata Rufaa kwenda wapi? Kumbuka sio wanachama kwa sasa.
Hawa wanawake nguvu waliokuwa nayo ilitokana na kuwa na platform ya CHADEMA; sasa hivi hawana platform, they are finished na kokote watakako kwenda watadharauliwa na kutoaminika!! Politically they are finished.
Shonza Yuko wapi? Unadhani huko CCM unaweza kuwa na freedom ya kuwaambia serikali ukweli? Mdee akienda huko atabaki kusifia tu na ndio influence itaisha milele!!
Wale viti maalum waliohama before 2020 elections wako wapi? Walisema wanadhalilishwa kingono, since wameenda CCM umewasikia?
Branding ukiiharibu hata unapoenda hauwi asset tena, wataishia alipo Dr.Slaa ama Mashinji irrelevant politicians.
Rais asiyetambuliwa kaburi lake liko Chato.Mbona mbowe alienda ikulu kuongea na raisi wasiemtambua? Hapa misimamo ya chama haijakiukwa?
CHADEMA walishindwa kukibomoa Dr Slaa, Zitto, Walid Kaburu na yule Makamu mwenyekiti bara wa kule Mpanda kibomolewe na wanachama wa kawaida tena waliokisaliti katikati ya vita ?