Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #401
Usiende mbali hapo ufaransa jana, ni kwa jina la Allah wameua watu wasio na hatia
Wenyewe wakija humu watakwambia kuwa huyo mwenzao anaongozwa na mfumo Kristo!
cpt cpt...serkali imeshajinadi ni makafir0†7 Leo unaenda muomba tena kwa kulia lia akupangie utaratibu wa ibada!¡è kesho mtawaomba makafir nini? Deen gani hii dhaif kiasi hiki wanawashinda hata wanga, wana mahakama zao na hawajaiomba sirikali! Nyinyi hamna mnaenda kizoba zoba! teh tehee! Hivi kinacho washinda ni nini mkakaa hata anatoglo hall na kuwachagua maqadi wenu wakahukumu wajane kupata kithumni wachimbe nini? Tena mkimpata qadi nyie endeleeni na hukmu za qadi, bila hata kuwapa taarifa serkali! Sembuaneni mikono serkali ikiwauliza wamwagieni ayat ya qaraa na ayat ya katiba watatulia tu! Makafir wakileta ya kuleta mnatangaza jihad! Hiyo ndiyo kamba ya allah bibie! Kila kitu mfundishwe?
Chuakachara,
Hili la Ufaransa na Ulaya nzima kuhusu kumtusi Rasul SAW lifungulie uzi
wake mahsusi tujadili.
Hapa acha tubaki na Mahakama ya Kadhi.
Kilapalio,
Hutaelewa kwa kuwa ulichotanguliza ni ''choyo.''
Waislam na Uislam utanufaika.
Ungetanguliza mapenzi na udugu usingepata shida wala hofu.
Nadhani unajua kuwa Kanisa linapokea fedha kutoka serikalini
kuendesha mambo yake.
Je uko tayari kuona Waislam wanatengewa fedha na serikali
kwenda misikitini kuendesha miradi ya Kiislam?
Ukitaka zaidi katika haya Faiza Foxy tunae hapa yeye ni mtaalamu
wa MoU kati ya Serikali ya Tanzania na Makanisa.
Ni mabilioni ya shilingi...
Mambo haya yanataka akili iliyotulia si mambo ya ushabiki na kukimbilia
kusema.
Inataka tafakuri.
Inahitaji stahamala vinginevyo tutaiangamiza nchi.
Uko sawa, LAKINI mahitaji ya jamii yalikuwa consolidated baada ya kupata tanganyika huru/Tanzania huru. Tukafuta machifu ili tuwe na one government! Kiswahili kikawa lugha ya taifa, vernaculars zetu zikabaki ndani ya makabila yetu. Dini zikabaki kwetu binafsi na viongozi wetu. dini zikabaki katika mamlaka ya waumini as long as they are not repagnant to natural justice. Customary laws zikabaki ndani ya makabila yetu as long as they are not repagnant to natural justice. Hivyo hivyo na mahakama ya kadhi ibaki ndani ya dini husika bila serikali kuweka mikono yake, ila pale ambapo itaonekana kuna uvunjaji wa haki za binadamu!
Mohamed kuna tatizo gani mkaziendesha wenyewe? Kwa nini mnalikataa hilo? Mbona mnaendesha mashirika yenu ya dini vizuri kwa gharama zetu bila kuingiliwa na serikali? Wakristo vile vile wanaendesha mambo yao bila kuidai serikali gharama. Why Kadhi court in particular? Tujadili rafiki.
wee kweli mshipa wa tafakuli umejifia! Aliye kwambia kanisa ni dini nani? mudi07? Hata wanga na wapazi wana mahakama zao nyie mmeshindwa mmebakia kuwasujudia wasio na dini wawapangie utaratibu wa ibada! Ndio nyie mnapoulizwa uislamu una nguzo ngapi jibu eti inategemea ukubwa wa msikiti! wala wabi wata weye ni kafir!Serikali haina dini na Kanisa halina dini, au sio?
Uko sawa, LAKINI mahitaji ya jamii yalikuwa consolidated baada ya kupata tanganyika huru/Tanzania huru. Tukafuta machifu ili tuwe na one government! Kiswahili kikawa lugha ya taifa, vernaculars zetu zikabaki ndani ya makabila yetu. Dini zikabaki kwetu binafsi na viongozi wetu. dini zikabaki katika mamlaka ya waumini as long as they are not repagnant to natural justice. Customary laws zikabaki ndani ya makabila yetu as long as they are not repagnant to natural justice. Hivyo hivyo na mahakama ya kadhi ibaki ndani ya dini husika bila serikali kuweka mikono yake, ila pale ambapo itaonekana kuna uvunjaji wa haki za binadamu!
Mohamed kuna tatizo gani mkaziendesha wenyewe? Kwa nini mnalikataa hilo? Mbona mnaendesha mashirika yenu ya dini vizuri kwa gharama zetu bila kuingiliwa na serikali? Wakristo vile vile wanaendesha mambo yao bila kuidai serikali gharama. Why Kadhi court in particular? Tujadili rafiki.
wee kweli mshipa wa tafakuli umejifia! Aliye kwambia kanisa ni dini nani? mudi0†7? Hata wanga na wapazi wana mahakama zao nyie mmeshindwa mmebakia kuwasujudia wasio na dini wawapangie utaratibu wa ibada! Ndio nyie mnapoulizwa uislamu una nguzo ngapi jibu eti inategemea ukubwa wa msikiti! wala wabi wata weye ni kafir!
hivi unaanzaje kuifananisha MoU na mahakama ya kadhi??? daaaaah
Dini nyengine na madhehebu mengine haya sheria ni kucheza ngoma tu na kukamuana sadaka. Waacheni Waislamj watekeleze dini yao na wengine waendelee kucheza Sebene katika ibada zao.Hii nchi haina dini jamani. Kila dini/dhehebu likitaka mahakama yake tutafika wapi jamani? Ndugu Waislamu litafakari zaidi hili. Ndio maana hata kufungisha ndoa ni mamlaka ya dini husika na serikali haigharamii shughuli za ufungishaji ndoa za wakristo wala waislamu
Sawa hilo tuliache. Kuna post ya Kadhi nimekutumia isome kuna vitu nimeomba ufafanuzi toka kwako
Chuakachara,
Jitulize na fanya mjadala wa maana kwa kuangalia ukwel wa
mambo.
Wapagani?
Ikiwa wapo na wana mahitaji yao serikali inawajibika kwao.
Lakini nakufahamisha kuwa Waislam katika Tanzania na katika
iliyokuwa Tanganyika wana historia ya kipekee na ukisoma hiyo
historia ndipo utawajua.
Anza na Vita Vya Maji Maji kisha njoo katika kupigania uhuru wa
Tanganyika.
Ndani ya historia hii kuna mengi ya kujifunza.
Ukitoka hapo njoo sasa katika historia ya Waislam baada ya uhuru
hadi sasa.
Ukisoma hayo yote utajua kuwa Waislam kama jamii walikuwa na
mahitaji yaomaalum na ndiyo yaliyowafanya kunyayua silaha dhidi
ya Wajerumani na ndiyo mahitaji hayo hayo yaliyowafanya wawe
mstari wa mbele kudai uhuru.
Turudi kwa Wapagani.
Ikiwa na wao kama jamii ya Watanganyika itafute historia yao dhidi
ya ukoloni ili ujue nini walichokuwa wanataka wakati ule na nini wa
nataka hivi sasa.
Usiwafananishe Wapagani (ikiwa wapo) na Waislam mfano huu
wako hauenei kwa kila hali.
Mahakama ya Kadhi ilikuwapo Wajerumani waliikuta na Waingereza
pia na waliziheshimu.
Mahaka ya Kariakoo nyuma ya Posta ya Kariakoo ilikuwa mahakama
ambayo Sheikh Said Chaurembo akihukumu ndoa, talaka na mirathi.
Mnazi Mmoja ilikuwapo mahakama pale na mmoja wa mahakimu
wake namkumbuka alikuwa Sheikh Kassim Juma.
Tabora Liwali Bilal Mshoro alikuwa akihukumu halikadhalika Songea
alikuwapo Sheikh Abdallah Simba.
Moshi alikuwapo Liwali Mussa Minjanga akihukumu pale Bomani.
Mahakama hizi zilikuwapo hadi mwaka 1963 na zikavunjwa kimya
kimya.
Mahakama hizi zilikuwa zikigharimiwa na serikali na zilikuwapo nchi
nzima popote walipokuwapo Waislam.
Ningependa kumaliza kwa kusema baadhi ya hao masheikh mahakimu
wakifahamiana vyema sana na babu yangu Salum Abdallah na mimi
nimewaona kwa macho yangu.
Hii ndiyo historia ya Waislam wa Tanganyika na Mahakama ya Kadhi.
Tuendelee na mjadala ikiwa utapenda In Sha Allah.
wanao nisoma kina nani wee mbuguma? Narudia tena Kanisa abadan hata siku moja si deen! Tuondolee shoboka humu! Nimesema hata wapazi na wanga wamewazidi maono sababu wanazo mahakama zao na hawajawaomba serkali chochote! Nyie Mnawasujudia makafir wawapangie utaratibu wenu wa ibada! wao ndio walioleta uislamu huku? Mje basi msaidie kuchinja nguruwe pesa itakayo patikana mugharamie hiyo ukafir wenu! Sawa?Naam, umejibu vyema sana wenzako wengi hawajui kuwa Kanisa halina dini.Nnauhakika wana kusoma.
Vilevile mahakama ya kadhi ikipita mwanamke wa kiislamu marufuku kwenda offisini kufanya kazi,kwenda shambani,atatakiwa kukaa nyumbani ili kutimiza majukumu ya mumewe kv,kufua nguo, kupikachakula cha mumewe, kutandika kitanda kunyoosha nguo kupamba nyumba arafu mumewe akirudi ni kumpokea kwe kheshim na kuelekea chumbani kumuandalia chakula cha hamu, nikimaanisha kupanua mapaja na kumpa papuchi .
Sasa ole wenu nyie wanawake wa kiislamu msiokuwa na nyege za haraka,ole wenu wanawake wa kiislamu mliofanyiwa tahara mkingali watoto wadogo, ole wenu wanawake wa kiislamu mliopata elimu dunia nikimaanisha wanawake wasomi walioajiriwa wa kitanzania, sheria ni msumeno tutakapopitisha hii mahakama ya kadhi, haya mambo tutahakikisha haya mambo hayakwepeki!
Mkuu umesahau kwamba marufuku mwanamke wa kiislamu kuendesha gari, na ole watakaofumwa na michepuko ni kupigwa mawe hadi kufa!