gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
sisi kina gogo la shamba tulishasema zamani kwamba mziki mwingine kwa serikali hii ya ccm ni Mahakama ya kadhi,tunawakumbusha tena ccm na serikali yake wasisahahu kwamba walihaidi kwamba suali hili litajadiliwa kwenye bunge la mwezi huu wa pili, tamko hilo lilitamkwa na Pinda kwenye kikao cha bunge la katiba
