Baraza Kuu la Waislam Tanzania latoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi na Katiba iliyopendekezwa

Status
Not open for further replies.
Bi Faiza....Sal Keri....kwa Tanbihi tu....Hawa is BAKWATA lie ya Nyerere...Hawa ni Baraza Kuu lie iliyoanzishwa kipindi cha Raisi Mwinyi.
 
Hili tamko nimelitia shaka baada ya kuona aliyelileta hapa amelihariri. Iweje taarifa muhimu, ya chombo madhubuti kama hiki ihaririwe na aliyeileta JF?
 
Last edited by Mohamed Said; Today at 13:23. Hii taarifa ni ya Mohamed Said; na si ya Waislamu.
 


AM MUSLIM,

Ila sikubaliani na hawa watu kuwa iwe ni LAZIMA KWA MUISLAM KWENDA HUKO, hakika ndio maana wa DINI nyingine hawaitaki hii MAHAKAMA.
 



teh teh teh teh, we jamaa wewe?????!
 
Wewe utakuwa mhamiaji haramu wa Kiarabu unataka kutuletea vurugu zenu za kigaidi nchini kwetu.Kiswahili chako kibovu kinaonyesha
 
Lakini waislamu niwaambie tu kitu kimoja... watawale CCM, watawale CDM, watawale CUF, nk... mahakama ya kadhi kugharamikiwa na serikali haitawezekana...
kwa kweli kwa hilo, watajamba, watakunya lakini mahakama ya KADHI kwa pesa ya umma hapa haitatokea. Hata waingie madarakani APPT Maendeleo, SAU, ACT, hiyo mahakama hapa Tanganyika haitatokea
:eek2::lock1::bange::bange::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:
 
Ki ukwelu hiyo mahakama siiungi mkono hata kidogo,baada wapiganie wapate vyuo vikuu na shule wao wanataka mahakama ya kadhi iwasaide nini?vitu vingine bwana ndiyo maana tunaendelea kuwa maskini
 
kama mmekubali kugawanywa mnadhani mtabisha kutawaliwa? Kwenye bunge la katiba walikuwepo waisalmu wengi sana...
wao huwa wanaangalia kinywa tu hawafikiri mbali unaweza wageuza kama pia ukitaka kuwamaliza andaa tafrija wakunje miguu baaaaasiiiii haki yao na utu wao wanauza dakika mbili
sorry for that
 
Duuh kazi kweli kweli, naomba kuuliza "mbona Zanzibar 90% ni waislamu Lakini mahakama ya kadhi haipo kwenye Katiba.

Umenikuna sana kwa pointi yako mkuu naomba unithibitishie kama kweli katiba ya zanzibar haitaji mahakama ya kadhi ili niseme neno tafadhali karibu mkuu
 
... Mahakama Ya Kadhi Ndo Mpango Mzima Wa Kurudisha Maadili Ya Watanzania
 
Kina sheikh jongo na wenzake wamewasaliti waislamu kwa kuendekeza vipesa ndani ya bunge la katiba. Matokeo yake wamerudi mikono mitupu!
 
haya haya kipindi cha kutega hichoooo! Kina unachotaka utafanyiwa. Lakin je, kitakuwa na mamufaaa kwa taifa zima. Nakumbuka Igunga hata nguzo za umeme zilitandazwa lakini umeme haukufika. Mashehe, tafakari vizuri na msimike miguu bila kuyumbishwa
 

  1. kwanini Mhakama ya kadhi itambuliwe na serikari?
  2. Kwanini gharama za uendeshaji ziwe chini ya serikari
  3. Mtu atakayekaidi hukumu ya kadhi nani atmkamata?
  4. Mtu aktaka kukata rufaa maamuzi mahakama ya kadhi shauri lake litasikilizwa na mahakama gani?
  5. Civil laws hazina sheria kuhusu Ndoa na mirathi?
  6. kwa nini wakatoliki wan mahakama yao chini canon law haijadai kutambuliwa? wala gharama yake iwe chini ya serikari?
  7. Mkristo akizaa na mwislamu,wakianza kugombania mtoto awe wa dini gani au upande upi kadhi akiamua mzazi mkristo atakubali uamuzi wa mahakama ya kadhi? kivipi?

Lets be objective! mahakama ya kadhi sio issue kwa sasa,issue ni uboreshwaji wa huduma za jamii maji,elimu,afya na mengineyo.Mahakama ya kadhi itakuwa na faida ndogo sana kuliko hasara zake.
 
Andika kiswahili kinachoeleweka pumbavu !!!!!
 
Hapa siitetei CCM. Uislam kwanza kuliko kingine chochote.

Wewe ni9 mtu hatari sana,nakumbuka ulikuwa unaandika uchochezi wakati wa mgogoro wa Ndanda High Secondary,vijana kudai msikiti ndani ya ardhi ya kanisa,ulikuwa unaandika kiushabiki utadhani ulikuwepo eneo la tukio,narudia wewe ni mtu wa hatari sana kwa amani ya nchi. "DINI NI BHANGI INAYOLEVYA MTU ASIJUE ATOKAKO WALA AENDAKO""
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…