Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Hata akiomba bado haifuti ukweli aliousema juu ya hali iliyopo sasa hivi. Halafu alichokisema Prof. kina tatizo gani maana ametoa tahadhari na hatua za kuchukua kwa umma anaouongoza maana yeye ndiyo kiongozi wao Prof katimiza wajibu wake hao baraza wana matatizo watu wenyewe wanakutana mara mojamoja hawana direct contact na wanafunzi na watumishi wengine kama management ya chuo na wanafunzi ambao hawa wapo kwenye risk kubwa.

Prof Bisanda kongole kwa ujasiri wako wa kuusimamia ukweli hata katikati ya hofu ya wenye mamlaka

The World’s Greatest Need—The greatest want of the world is the want of men,—men who will not be bought or sold; men who in their inmost souls are true and honest; men who do not fear to call sin by its right name; men whose conscience is as true to duty as the needle to the pole; men who will stand for the right though the heavens fall.—Education, 57 (1903).
Baada ya kumshawishi aukane waraka wake kushindikana sasa wameamua kumuamuru kuomba radhi.

Huyo hawezi kuomba radhi. Atakachofanya ni kuwakabidhi resignation letter usiku huu. Barua hiyo wataikataa na badala yake kutangazwa kwamba ametenguliwa.
 
Baada ya kumshawidhi aukane waraka wake kushindikana sasa wameamua kumuamuru kuomba radhi.
Huyo hawezi kuomba radhi. Atakachofanya ni kuwabidhi resignation letter usiku huu. Barua hiyo wataikataa na badala yake kutangazwa kwamba ametenguliwa.
Muda mwingine bora iwe hivyo tu kuliko kushiriki dhambi ya uongo, atakuwa amefanya jambo la busara sana kukaa pembeni hata hivyo alilenga kuwaandikia watu anaowasimamia kwenye taasisi yake.
 
!?
JamiiForums1014530467.jpg
 
Hao Baraza ni wachumia tumbo. Namshauri Prof Bisanda asithubutu kubadili kauli yake kwa kuwa amefanya kitu cha KIJASIRI ambacho wasomi wengine wanagwaya. Asigope KUFUKUZWA kazi kwa kuwa Mungu atamlipa kwa maisha ya WATANZANIA aliowaokoa.

Na jina lake litaandikwa maandishi ya dhahabu kwenye HISTORIA ya Tanzania.
 
Kazi nzuri. wizara ya afya ndio yenye jukumu la kutoa taharifa kwa wananchi
Pengine labda Prof. alidhani sera na maelekezo ya uatoaji wa taarifa ulihusu kile kirusi cha awali,hiki kipya ni jukumu la kila mtu/taasisi/jumuiya kwa nafasi yake/zao kuakikisha ana/zina/jilinda na kuwalinda wengine.
 
Back
Top Bottom