Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Na ATUMBULIWE KABSA .....yeye nan wa kutoa waraka mzto kama ule wakat hana ....mamlaka ya kufanya ivo
We nawe umetokea wapi?

Unasema ana mamlaka ya kufanya alichofanya?

Utakuwa the least of all hypocrites kufikiria makamu mkuu wa chuo huria Tanzania hana mamlaka hayo.
 
Mimi namshauri asiombe Rashi kwasababu ameusimamia ukweli na huo ndio uzalendo na upendo kwa watanzania. Awaache hao wanaendelea kujikomba as if wao hawana watoto humo mavyuoni, watakapowapelekea hili gonjwa majumbani mwao, ndipo akili zitakapowakaa sawa.
 
Profesa Bisanda (Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania) umesimama katika zamu yako lakini Itifaki imekuponza! Ungana na Askofu Mwamakula atakapokuja katika eneo lako kuongoza "Matembezi ya Hiyari" yenye lengo la kuhamasisha umma kuhusu umuhimu na uhitaji wa Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya!

Ndiyo! Wasomi wa ngazi yako wanapaswa kuwa mstari wa mbele kutetea haki, ukweli na ustawi katika jamii! Ndiyo! Tunataka kuandika Katiba Mpya itakayorudisha uhuru wa fikra na mamlaka stahiki kwa Vyuo Vikuu pia. Tunataka Tume Huru ya Uchaguzi itakayoheshimu maamuzi ya wananchi kuhusu nani wawe viongozi wao!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
 
Hawa Baraza ni wasomi kweli, au ni jopo la wanasiasa?

Usomi maana yake kusema kweli daima hata kama kisiasa haikubaliki.

Prof Bisanda caled a spade a spade na pengine tahadhari yake ingalau imeokoa maisha ya mtu mmoja.

Tupeni majina ya Baraza la Vyuo Vikuu tuwajue kwa unafiki wao.
 
Hawa Baraza ni wasomi kweli, au ni jopo la wanasiasa?

Usomi maana yake kusema kweli daima hata kama kisiasa haikubaliki.

Prof Bisanda caled a spade a spade na pengine tahadhari yake ingalau imeokoa maisha ya mtu mmoja.

Tupeni majina ya Baraza la Vyuo Vikuu tuwajue kwa unafiki wao.
Ni kweli ni vyema majina yao yawekwe wazi.
 
Mnavyopiga kelele mtasema huwa hamuendi makazini shubamiti zenu..!! Huna ata uweze wakujilockdown lakini unashadadia kama hela yakuishi ata mwezi unayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuna mtu amesema tuna uwezo wa kuwa locked down. Kinachotakiwa na wengi tu tamko la serikali na taasisi zake kuhamasisha raia kujikinga na gonjwa hili, namna ile tulivyofanya mwanzo bila kuwa kwenye lockdown.

Kumbuka mafanikio yetu mwanzo ni kuwa raia na serikali wote 100% tulijikinga na kuchukua tahadhari, kampeni maradioni.

Sasa hivi hata kuvaa mask pia imekuwa ni ujumbe usioleweka. Hauko wazi.

Unategemea hapo ugonjwa utakuwa controlled vipi?

Taarifa zinazotolewa za kuchukua tahadhari zinapingwa na wizara raia wanaambiwa waishi kawaida.
 
Hata akiomba bado haifuti ukweli aliousema juu ya hali iliyopo sasa hivi. Halafu alichokisema Prof. kina tatizo gani maana ametoa tahadhari na hatua za kuchukua kwa umma anaouongoza maana yeye ndiyo kiongozi wao Prof katimiza wajibu wake hao baraza wana matatizo watu wenyewe wanakutana mara mojamoja hawana direct contact na wanafunzi na watumishi wengine kama management ya chuo na wanafunzi ambao hawa wapo kwenye risk kubwa.

Prof Bisanda kongole kwa ujasiri wako wa kuusimamia ukweli hata katikati ya hofu ya wenye mamlaka

The World’s Greatest Need—The greatest want of the world is the want of men,—men who will not be bought or sold; men who in their inmost souls are true and honest; men who do not fear to call sin by its right name; men whose conscience is as true to duty as the needle to the pole; men who will stand for the right though the heavens fall.—Education, 57 (1903).
Hata akiomba radhi meseji senti endi delivadi
 
Chuma kikiwa na kutu hata ukipaka rangi kutu itaendelea chuma kula hicho, ipo siku kitatoboka tu😃😃😃
 
Kwa kusema ukweli mnataka aombe radhi? Huku tuliko leo tuna misiba Hadi tumechanganyikiwa bado mnaendelea kutupotosha. Pof, una haja ya kuomba radhi. Coronavirus ipo na inauwa na tunaomba WHO itusaidie kukusanya takwimu za vigo na wagonjwa. Hali ni mbaya mbaya kabisa. Mazishi ni kila kona ya Tanzania.
 
Mimi namshauri asiombe Rashi kwasababu ameusimamia ukweli na huo ndio uzalendo na upendo kwa watanzania. Awaache hao wanaendelea kujikomba as if wao hawana watoto humo mavyuoni, watakapowapelekea hili gonjwa majumbani mwao, ndipo akili zitakapowakaa sawa.
Ukweli ndiyo Priciple No 1 ya msomi yeyote.

Uongo na kupindisha ukweli for personal gain ndio Principle No 1 ya mwanasiasa.

Mwenye akili anachagua wa kumuamini.
 
Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021

Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali

Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo

Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO

Prof................................................We support you!
 
Back
Top Bottom