Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Hilo Baraza litakuwa limejaa watu wajinga na wanafiki. Mungu hapendi watu wanafiki, atawaumbua.

Prof. afurahi kwa kuwa ametimiza wajibu wake wa kwanza kama kiongozi kwenye eneo lake la uongozi.
 
Ndyo maana nilikataa kazi za kutumikia watu. Kwa jeur yangu mimi hapa ningejiuzuru huku nikiwa nimesimamia msimamo ule ule.

Siwezi Tawaza matako ya Rais dictator anayejijari yeye hata hafikirii umuhimu wa maisha ya watu wengine.
 
Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021

Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali

Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo

Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Yaani ningekuwa huyo professor ninge resign hicho cheo ndani ya masaa matatu. Hilo Baraza ikikupendeza Mungu wapukutike kwa Pneumonia wote. Professor alisema ukweli na ukweli utamuweka huru milele. Wahadhiri wamekufa wengine familia karibu yote imeteketea. Wahandhiri wameugus na kuponea tundu la sindano. Waache Siasa kwenye mambo hatarishi.
 
........yule kazi yake ni administer chuoni ......but yuko chin ya wizara so ...amevuka madaraka yake
Mjinga wewe.

Universal declaration, jukumu la kwanza la kila kiongozi mahala pa kazi, ni kuhakikisha wanajumuia wake wanakuwa salama.

Yeye hakutoa waraka kwaajili ya nchi bali kwaajili ya jamii anayoiongoza. Hakuna kosa alilolifanya.
 
Yaani ningekuwa huyo professor ninge resign hicho cheo ndani ya masaa matatu. Hilo Baraza ikikupendeza Mungu wapukutike kwa Pneumonia wote. Professor alisema ukweli na ukweli utamuweka huru milele. Wahadhiri wamekufa wengine familia karibu yote imeteketea. Wahandhiri wameugus na kuponea tundu la sindano. Waache Siasa kwenye mambo hatarishi.
Jiwe atamuondoa Tu tena kama amekasirika Sana basi uhai WA Bisanda uko mashakani.
 
Aombe radhi kwa kusema ukweli?? Nonsense!

😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷
Alivyosema ukweli je wewe umeshachukua tahadhali au unachangamana na watu huku unataka wengine wasichangamane?
Utakuta hapo ulipo upo kwenye kilabu cha pombe umechangamana wala huna barakoa na hutaki kubaki nyumbani kwako ila unashabikia taarifa ambazo hata wewe unaweza kuchukua tahadhali binafsi bila kulazimishwa.

Anza kujifungia wewe mwenyewe kwa ajiri ya afya yako siku ukitoka utakuta ugonjwa umeisha,
Na wale wasio jifungia utakuta wamekufa wote.
 
Yeye daktari wa nini?
Acha kukurupuka mkuu, yaonekana hata hujui tunamzungumzia nani Ila kwasababu ni mataga umekurupuka tu na kuchangia😆😆
Katika vitu Kama hivi ndio upeo wenu hupimwa, sasa jiclassify una upeo wa aina gani!
Wewe kufuatia taaarifa yake kwa wanafunzi, umechukua tahadhali gani kwa ajili ya afya yako?
Au upo mtaani unasambaza corona?
Jifungie mwenyewe na sio ulazimishwe.
 
Wewe kufuatia taaarifa yake kwa wanafunzi, umechukua tahadhali gani kwa ajili ya afya yako?
Au upo mtaani unasambaza corona?
Jifungie mwenyewe na sio ulazimishwe.
Nimechukua tahadhari hata kabla sijatahadharishwa. Kwani Hali halisi siioni?
Wewe je mwenzangu?
 
Aombe radhi kwani itaondoa ukweli?
Inajulikana wazi kuwa kuna waliokufa hapo kwa maradhi hayo, Je mtawarudisha?
Acheni u mangi meza wenu, watu wanateketea lkn mnaleta lugha za kebehi na dharau?
Yaani kungekuwa na maajabu tungeomba nyie mpate huu ugonjwa huenda tungeongea lugha moja!
 
Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021

Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali

Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo

Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza


Pia soma

- Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21

- Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)

Nadhani kiuungwana kabisa,
Prof. Aachie ngazi
Alitoa ushauri wa kitaalamu kabisa, ila kuna watu hawajamwelewa
Kuomba radhi ni kuyakana matamshi na maandishi yake.
Ili asimamie msimamo wake sio kosa akiachana na uVC
 
Alivyosema ukweli je wewe umeshachukua tahadhali au unachangamana na watu huku unataka wengine wasichangamane?
Utakuta hapo ulipo upo kwenye kilabu cha pombe umechangamana wala huna barakoa na hutaki kubaki nyumbani kwako ila unashabikia taarifa ambazo hata wewe unaweza kuchukua tahadhali binafsi bila kulazimishwa.

Anza kujifungia wewe mwenyewe kwa ajiri ya afya yako siku ukitoka utakuta ugonjwa umeisha,
Na wale wasio jifungia utakuta wamekufa wote.
Sijaona hata point moja ya msingi uliyoongelea,

Kama unashindwa kuchanganua mambo ni vyema ukatulia.
 
Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021

Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali

Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo

Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza


Pia soma

- Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21

- Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)
Hivi bado kuna mtu mwenye akili timamu anyeamini kuwa tz hakuna covid 19? Mbona tunajua kuwa baadhi ya viongozi wakuu wamepewa chanjo ya mchina kimyakimya
 
Back
Top Bottom