Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Plot twist:Hivi bado kuna mtu mwenye akili timamu anyeamini kuwa tz hakuna covid 19? Mbona tunajua kuwa baadhi ya viongozi wakuu wamepewa chanjo ya mchina kimyakimya
Dah ujinga utaisha lini kwenye Nchi hiiNa ATUMBULIWE KABSA yeye nan wa kutoa waraka mzto kama ule wakat hana mamlaka ya kufanya ivo
Uko sahihi Mkuu. Yaani tumuombe sana. Ukweli atamtengua. Hivyo asisubiri kutenguliwa. Aondoke mwenyewe. Vyeo vinapita ila heshima na utu wa mtu vitadumu milele. Kwanza watanzania wanapaswa kufahamu bila kificho kuwa Korona ipo tena ya aina ambayo ni mbaya zaidi. Hivyo wachukue tahadhari zote na wavae barakoa n.k. Kwa nini tudanganye ni Pneumonia? Ndugu wanahudumia mgonjwa bila tahadhari kwa kuwa wanaambiwa ni Pneumonia. Utasikia "wanasema daktari amesema mgonjwa anaumwa Nimonia siyo Corona". Eehh RabiJiwe atamuondoa Tu tena kama amekasirika Sana basi uhai WA Bisanda uko mashakani.
Bora aombe radhi, asijaribu kujiuzulu labda tu kama amejipanga kiuchumi. Akijiuzulu uVC ndo anakuwa amejiuzulu utumishi, na mafao hatayapata leo.Baada ya kumshawidhi aukane waraka wake kushindikana sasa wameamua kumuamuru kuomba radhi.
Huyo hawezi kuomba radhi. Atakachofanya ni kuwabidhi resignation letter usiku huu. Barua hiyo wataikataa na badala yake kutangazwa kwamba ametenguliwa.
Kabla hajaachia uVC amuulize Ndalichako yaliyomkuta alipojiuzulu ukatibu mtendaji wa NECTANadhani kiuungwana kabisa,
Prof. Aachie ngazi
Alitoa ushauri wa kitaalamu kabisa, ila kuna watu hawajamwelewa
Kuomba radhi ni kuyakana matamshi na maandishi yake.
Ili asimamie msimamo wake sio kosa akiachana na uVC
Safi sana umekula kifungoNaye mpumbavu tu
Ndipo tulipofikia kama Taifa 😂😂😂Aombe radhi kwa kusema ukweli? Nonsense!
😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷
Ndio kitachofuata! Yani awamu hii usipokuwa mnafiki siku zako katika kula keki ya taifa zinahesabika.Tayari nilijua ndiyo kitakachofuata. Baada ya hapo watamfukuza kazi.
Hiki ndicho kinachowafanya hata maprofesa kuweka akili zao kabatini na kufuata midundo ya Mzee wa Chato.Yani awamu hii usipokuwa mnafiki siku zako katika kula keki ya taifa zinahesabika.
Ndipo hali ilipofikia, huna uhuru wa kusema ambacho mamlaka hazitaki useme😁😁😁 la sivyo utavikwa taji la upotoshaji 😂 na kulazimishwa uombe radhi!Kiukweli imefika wakati Naona aibu sana kuwa raia wa Tanzania.
Lazma ucheze mirindimo ya Chato Greatest Hits CD!Hiki ndicho kinachowafanya hata maprofesa kuweka akili zao kabatini na kufuata midundo ya Mzee wa Chato.
Tz katika ubora wakeNdipo tulipofikia kama Taifa 😂😂😂
Wewe umechukua hatua gani kujikinga na kukinga wengineSijaona hata point moja ya msingi uliyoongelea,
Kama unashindwa kuchanganua mambo ni vyema ukatulia.
......tatzo ni ukolon mambo leo ......unawasumbua vijana .....kuiga ...vaccines za western countries
Ona vuvuzela la ccm hili,wapi Prof kasema lockdown yeye katoa tahadhari watu wachukue tahadhari sehemu za kazi,vyuoni no hio lockdown umeitoa wapMnavyopiga kelele mtasema huwa hamuendi makazini shubamiti zenu! Huna ata uweze wakujilockdown lakini unashadadia kama hela yakuishi ata mwezi unayo..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye daktari wa nini?
Acha kukurupuka mkuu, yaonekana hata hujui tunamzungumzia nani Ila kwasababu ni mataga umekurupuka tu na kuchangia[emoji38][emoji38]
Katika vitu Kama hivi ndio upeo wenu hupimwa, sasa jiclassify una upeo wa aina gani!