Nathaniel jr
Member
- Dec 8, 2016
- 71
- 70
Kabla hajaachia uVC amuulize Ndalichako yaliyomkuta alipojiuzulu ukatibu mtendaji wa NECTA
Si alirudi chuoni kufundisha na akawa promoted from Senior Lecturer to Associate Professor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hajaachia uVC amuulize Ndalichako yaliyomkuta alipojiuzulu ukatibu mtendaji wa NECTA
Hizi ni nziKazi nzuri. Wizara ya afya ndio yenye jukumu la kutoa taarifa kwa wananchi.
Navaa barakoa mkuuWe
Wewe umechukua hatua gani kujikinga na kukinga wengine
Watalaam wanapokuwa waganga wa kienyeji!!Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021.
Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali.
Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo.
Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Pia soma
- Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
- Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)
Mimi naionea aibu hii dini mpya iliyozuka. Huyu mtume mpya anasujudiwa sana na wateule wakeKiukweli imefika wakati Naona aibu sana kuwa raia wa Tanzania.
Sasa tuliza Kipago Dawa iingie.Kwani mngeshinda nyie msingekuwa na upuuzi? Uendeshaji wa chama tu tatizo! Nilishatoka hizo level ....
Haa haa haa MTAZAMO yamekufika. Mwana kulitaka, mwana kulipata! Hata wenzako kina Kichuguu na Mwanakijiji sasa hivi Magufuli ameangusha sana. Ni kwa sababu tu watu wanataka kufa na tai shingoni.Kwani mngeshinda nyie msingekuwa na upuuzi? Uendeshaji wa chama tu tatizo! Nilishatoka hizo level ....
Ujumbe wangu kwa taifaBaraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021.
Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali.
Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo.
Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Pia soma
- Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
- Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)
Bodi hii ni wanafiki wakubwa. Mbona Dr. Mpango aliwakanya staff wa Wizara ya Fedha na hatukusikia kelele hizi? Kujipendekeza awamu hii kumezidi!
cc Kichuguu mbona umeadimika sana? Njoo uone ''the Bold Magufuli wako asivyojali.
Huenda ni kwa sababu unapenda kusoma na kuandika mambo ya namna fulani, hivyo unadhahi wote tuko hivyo. Uliisoma thread hii niliyoanzisha mwezi uliopita, na watu wa aina yako wakanishambulia tena?Haa haa haa MTAZAMO yamekufika. Mwana kulitaka, mwana kulipata! Hata wenzako kina Kichuguu na Mwanakijiji sasa hivi Magufuli ameangusha sana. Ni kwa sababu tu watu wanataka kufa na tai shingoni.
Sio tu tamaa ya Fedha Bali Kwa uoga wa kujiajiri. Hao ndio think tanks wa Taifa. Nonsense kabisa.Wamekuwa watumwa wa mtu kwa tamaa ya fedha!
Huyo ni Kiongozi wa Taasisi Hana Mamlaka kivipi?? Ni moja ya majukumu yake ya Kila Siku kuhakikisha usalama wa wanafunzi unapatikana.Na ATUMBULIWE KABSA yeye nan wa kutoa waraka mzto kama ule wakat hana mamlaka ya kufanya ivo
Kama kuna changamoto kubwa Nchini basi ni kuwa na watu wengi wasiojielewa.Mnavyopiga kelele mtasema huwa hamuendi makazini shubamiti zenu! Huna ata uweze wakujilockdown lakini unashadadia kama hela yakuishi ata mwezi unayo..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Kiongozi. Nadhan kuna Ile sauti inakujia.......UHURU, HAKI na MAENDELEO YA WATU.Kiukweli imefika wakati Naona aibu sana kuwa raia wa Tanzania.