Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Mnavyopiga kelele mtasema huwa hamuendi makazini shubamiti zenu! Huna ata uweze wakujilockdown lakini unashadadia kama hela yakuishi ata mwezi unayo..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wajifanya headless chicken? Wapi na nani kasema ishu ya kuji lockdown? So wew ukiambiwa uchukue tahadhali unawaza kujilockdown? Watu wengine sijui huwa mnafikiri kwa kutumia kiungo gani...
 
Baada ya kumshawidhi aukane waraka wake kushindikana sasa wameamua kumuamuru kuomba radhi.

Huyo hawezi kuomba radhi. Atakachofanya ni kuwabidhi resignation letter usiku huu. Barua hiyo wataikataa na badala yake kutangazwa kwamba ametenguliwa.
Naomba usiku na mchana hii kitu ikapige pale kwa huyo mtu nadhani akili ndipo zitaturudia.
 
Asante. Nimekupata!
 
Atafanya jambo jema machoni pa Mungu wa Mbinguni na Malaika wake ikiwa ataamua kujiuzulu kuliko kuomba radhi kwa kusema UKWELI wenye KUIPONYA Nchi.
Atakuwa mmojawapo wa Viongozi Watanzania wachache wenye Maadili ya kweli.
 
1. Natamani kufahamu kama Prof alishaomba radhi.
2. Je, kichwa cha Prof bado kinaonekana kuwa ni kidogo kama walivyomdhania na kumtaka kuomba radhi?
3. Je, waliomtaka aombe radhi kwa madai kuwa waraka ulikuwa wake binafsi na sio wa chuo bado wanasimamia kauli zao?
 
Eti kuna wasomi Tanzania!!....mimi huwa nacheka tu nikiwasikiliza wanaojiita eti wasomi nchi hii!!...
 
Huyu Prof akiomba radhi mni tag ...[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…