Baraza la kwanza la Mawaziri, Mwalimu Nyerere akiwa Waziri Mkuu

Baraza la kwanza la Mawaziri, Mwalimu Nyerere akiwa Waziri Mkuu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA KWANZA KABISA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA BAADA YA KUPATA UHURU MWAKA 1961.

Baraza hilo lilikuwa na Waafrika 8, Wazungu 2 na Mhindi 1, Jumla Mawaziri walikuwa 11.

Siku hiyo ya uhuru ilipigwa picha ya Baraza hilo la Mawaziri. Katika picha hiyo, anakosekana Sir GEORGE KAHAMA aliyekuwa ametumwa kikazi "Zaire" na Mwalimu. Aliporejea nchini ikapigwa picha nyingine ya pili iliyomjumuisha lakini picha hii ya kwanza ndio iliyosambaa/ julikana zaidi.

Mwalimu J.K. Nyerere (Waziri Mkuu)

Rashid Mfaume Kawawa (Waziri asiye na wizara maalumu)

Oscar Kambona (Elimu)

Job Lusinde (Serikali za Mitaa)

Amir Jamal (Mawasiliano, Nguvu za Umeme, na Ujenzi)

Nsilo Swai (Biashara na Viwanda)

Tewa Said Tewa (Ardhi na Upimaji)

Chief Abdallah Said Fundikila (Sheria)

Derick Bryceson (Afya na Kazi)

Paul Bomani (Kilimo)

Sir Ernest Vassey (Fedha)

1612324440739.png
 
Nchi haikuwa na rais ,mkuu wa nchi alikuwa bado malkia wa Uingereza yaani Kwin Eliza ll.Alikuwa anawakilishwa na Gavana mkuu Richard Turnbull hadi nchi ilipokuwa jamuhuri tarehe 9/12/1962.
Maswali mengine hupaswi kujibu ina maana anayeuliza hata historia ya primary hakusoma?
 
Kwa simulizi nilizozipata, ni kwamba huyo aliyesimama pima nyuma ya Julius alimshauri bwana julius kubadili sera za ujamaa kwa sababu haziwezi kutuletea maendeleo, akaonekana mbaya na mhaini.

Nadhani wangemsikiliza huenda tungekuwa mbali kimaendeleo, naamini hakuwa na nia mbaya.
 
Kwa simulizi nilizozipata, ni kwamba huyo aliyesimama pima nyuma ya Julius alimshauri bwana julius kubadili sera za ujamaa kwa sababu haziwezi kutuletea maendeleo, akaonekana mbaya na mhaini.

Nadhani wangemsikiliza huenda tungekuwa mbali kimaendeleo, naamini hakuwa na nia mbaya.
Tungekuwa juu zaid ya kenya, tungekuwa tunakimbizana na china.
 
Tungeendelea kuwa chini ya malkia kama Canada au Australia leo hii mnafikiri tungekuwaje?
 
HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA KWANZA KABISA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA BAADA YA KUPATA UHURU MWAKA 1961.

Baraza hilo lilikuwa na Waafrika 8, Wazungu 2 na Mhindi 1, Jumla Mawaziri walikuwa 11.

Siku hiyo ya uhuru ilipigwa picha ya Baraza hilo la Mawaziri. Katika picha hiyo, anakosekana Sir GEORGE KAHAMA aliyekuwa ametumwa kikazi "Zaire" na Mwalimu. Aliporejea nchini ikapigwa picha nyingine ya pili iliyomjumuisha lakini picha hii ya kwanza ndio iliyosambaa/ julikana zaidi.























View attachment 1693067

Sunday, June 12, 2016​

Tanganyika Cabinet 1963​


Tanganyika Cabinet 1963:

Julius K. Nyerere, 41 years old, President

Rashidi Mfaume Kawawa, 34 years old, Vice-President

Sheikh Amri Karuta Abedi, 39 years old, Minister of Justice

Derek Noel Maclean Bryceson, 40 years old, Minister of Agriculture

Clement George Kahama, 34 years old, Minister of Commerce

Oscar Salathiel Kambona, 35 years old, Minister of External Affairs and Defense

Job Malecela Lusinde, 32 years old, Minister of Home Affairs

Amir H. Jamal, 41 years old, Minister of Communication

Paul Bomani, 38 years old, Minister of Finance

Alhaj Tewa Said Tewa, 37 years old, Minister of Lands

Jeremiah Sam Kasambala, 38 Years old, Minister of Co-operative and Community Development

Solomon Nkya Eliufoo, 42 years old, Minister of Education

Saidi Ali Maswanya, 39 years old, Minister of Health

Michael Kamaliza, 33 years old, Minister of Labor

Austine K.E. Shaba, 38 years old, Minister of Local Government

L. Nang’wanda Sijaona, 35 years old, Minister of National Culture and Youth

Nsilo Swai, 38 years old, Minister of Development Planning

Source : Tanganyika Cabinet 1963
 
Back
Top Bottom