Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) litusaidie kwenye hoja hizi nne

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) litusaidie kwenye hoja hizi nne

Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?

Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?

Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi?

Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?

Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.

Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.

Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
Rubbish like other's!
 
Hivi wewe una akili kweli au ndio kuweka tu mabandiko yasiyo na hoja haiwezekani unauliza na kujijibu mwenyewe jinga kabisa
 
Magazeti ya siku hizi ya hard news karibia yote ni ya kufungia vitumbua.
 
Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?

Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?

Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi?

Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?

Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.

Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.

Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
Nilikuwa sijasoma hii mada, naapa hutojib8wa hapa bali utaishia kutukanwa tu na 'wasomi' wetu humu. Kiufupi kuna kitu nyuma ya pazia......huo ndo UKWELI!!!!!
 
Ngoja kunguni wao waje kukushambulia, ila nakuhakikishia Hakuna atakaejibu maswali yako kisomi.
Hakuna swali lolote la maama hapo. Kwanza kuna maswali mtoa mada ameyajenga kutokana na hoja za uwongo.

1) Ni uwongo kusema kwamba mahakama ilibariki mkataba ule wa kishenzi. Mahakama ilikubali kuwa IGA husainiwa kati ya nchi na nchi, na kwamba Dubai siyo nchi. Ilikubali pia wananchi hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni yao. LAKINI mwishoni mahakama ikasema haina mamlaka ya kubatilisha maamuzi ya Bunge.

2) Jambo la pili kuwa eti inawezekana vipi Bunge zima likose uzalendo, labda mtoa hoja tumwulize, tangu lini mwizi anakuwa mzalendo? Bunge zima limejaa watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Ni majizi ya kura. Mengine hayakupata hata kura 1. Yalitangazwa tu kuwa ni wabunge. Na mahakama ikatoa hukumu kuwa majitu hayo siyo wabunge. Na humo yumo mpaka waziri mkuu. Jitu jizi tangu lini linaweza kuwa lipo kwaajili ya linayewibia?

3) Swali lake jingine linafanana tu na hilo la wevi waliopo bungeni. Eti inawezekana vipi Serikali nzima ikose uzalendo na utaalam. Hivi wakati wa wizi wa meremeta, Kagoda, Escrow, hakukuwa na wataalam serikalini? Au Serikali ilikosa watu? Wakati wa wizi wote wa pesa za umma unaooneshwa na CAG, Serikali huwa imewaondoa wataalam? Ukweli ni kwamba, hakuna watu wanaoongoza katika kuiba na kupora pesa za umma kama viongozi na watumishi wa umma kwa kushirikiana na wafanyabiashara wachache. Serikali haiaminiki, na hata viongozi wake wengi hawaaminiki. Mwizi haaminiki wakati wote.

4) Swala la kusema ufafanuzi kuhusiana na mkataba umetolewa na Serikali, ni hoja ya kipuuzi. Watu wanahoji vipengele vilivyo wazi kabisa vya hovyo kwenye mkataba huu wa kishenzi, wajinga wa Serikali wanakuja na majibu eti mkataba ni mzuri, DP ina uwezo mkubwa, DP wataongeza mapato ya Serikali. Sasa hayo ni majibu ya vipengeke vya hovyo kwenye mkataba? Ni majibu ysnayotolewa na wendawazimu waliopo Serikalini kuwapumbaza wananchi wakiacha kutoa majibu ya vipengete vinavyolalamikiwa ambavyo ni: IGA kukosa uhalali kwa sababu imesainiwa na jimbo badala ya nchi, mkataba kukosa ukomo, nchi kufanywa kikaragosi cha DP kwa kulazimishwa kuipa DP nafasi ya pekee kwenye uwekezaji, nchi kulazimika kutekeleza matakwa ya DP kwenye masuala ya ardhi, DP kupewa upendeleo kwenye ulipaji kodi, na DP kuwa na umiliki wa 100% kwenye uendeshaji.

Hongereni sana maaskofu kwa kusimama na wananchi dhidi ya majitu dhulumati yanayopora rasilimali za nchi na kuwakabidhi wageni kutokana na faida zao binafsi kwa kutumia nafasi zao Serikalini.

Wananchi Tuseme NO kwa Serikali na viongozi wote wanaotumia nafasi zao kupora rasilimali za Taifa na kuwauzia DP kupitia mkataba huu wa kishenzi.
 
Hata mauaji ya Kimbari Rwanda yalianzia kwa fitina za maaskofu.
Haya watu wasio na utimamu kama huyu, ndiyo wanaojibu hoja za vipengere vya hovto kwenye mkataba wa kishenzi wa DP, unatarajia nini?
 
Haya watu wasio na utimamu kama huyu, ndiyo wanaojibu hoja za vipengere vya hovto kwenye mkataba wa kishenzi wa DP, unatarajia nini?
Huwaa sikisii. Kumbuka hilo.

Unataka kuukataa ukweli, jisomee kilichoripotiwa na dunia:

Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda​

Elizabeth Shoo
04.02.20154 Februari 2015
Hakimu mmoja wa mahakama maalumu ya kusimamia kesi ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ameulaumu uongozi wa kanisa katoliki kwa kuwalinda washukiwa waliohusika ambao ni viongozi wa dini.

Cnanzo: Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda – DW – 04.02.2015

Niongeze?
 
Hakuna swali lolote la maama hapo. Kwanza kuna maswali mtoa mada ameyajenga kutokana na hoja za uwongo.

1) Ni uwongo kusema kwamba mahakama ilibariki mkataba ule wa kishenzi. Mahakama ilikubali kuwa IGA husainiwa kati ya nchi na nchi, na kwamba Dubai siyo nchi. Ilikubali pia wananchi hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni yao. LAKINI mwishoni mahakama ikasema haina mamlaka ya kubatilisha maamuzi ya Bunge.

2) Jambo la pili kuwa eti inawezekana vipi Bunge zima likose uzalendo, labda mtoa hoja tumwulize, tangu lini mwizi anakuwa mzalendo? Bunge zima limejaa watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Ni majizi ya kura. Mengine hayakupata hata kura 1. Yalitangazwa tu kuwa ni wabunge. Na mahakama ikatoa hukumu kuwa majitu hayo siyo wabunge. Na humo yumo mpaka waziri mkuu. Jitu jizi tangu lini linaweza kuwa lipo kwaajili ya linayewibia?

3) Swali lake jingine linafanana tu na hilo la wevi waliopo bungeni. Eti inawezekana vipi Serikali nzima ikose uzalendo na utaalam. Hivi wakati wa wizi wa meremeta, Kagoda, Escrow, hakukuwa na wataalam serikalini? Au Serikali ilikosa watu? Wakati wa wizi wote wa pesa za umma unaooneshwa na CAG, Serikali huwa imewaondoa wataalam? Ukweli ni kwamba, hakuna watu wanaoongoza katika kuiba na kupora pesa za umma kama viongozi na watumishi wa umma kwa kushirikiana na wafanyabiashara wachache. Serikali haiaminiki, na hata viongozi wake wengi hawaaminiki. Mwizi haaminiki wakati wote.

4) Swala la kusema ufafanuzi kuhusiana na mkataba umetolewa na Serikali, ni hoja ya kipuuzi. Watu wanahoji vipengele vilivyo wazi kabisa vya hovyo kwenye mkataba huu wa kishenzi, wajinga wa Serikali wanakuja na majibu eti mkataba ni mzuri, DP ina uwezo mkubwa, DP wataongeza mapato ya Serikali. Sasa hayo ni majibu ya vipengeke vya hovyo kwenye mkataba? Ni majibu ysnayotolewa na wendawazimu waliopo Serikalini kuwapumbaza wananchi wakiacha kutoa majibu ya vipengete vinavyolalamikiwa ambavyo ni: IGA kukosa uhalali kwa sababu imesainiwa na jimbo badala ya nchi, mkataba kukosa ukomo, nchi kufanywa kikaragosi cha DP kwa kulazimishwa kuipa DP nafasi ya pekee kwenye uwekezaji, nchi kulazimika kutekeleza matakwa ya DP kwenye masuala ya ardhi, DP kupewa upendeleo kwenye ulipaji kodi, na DP kuwa na umiliki wa 100% kwenye uendeshaji.

Hongereni sana maaskofu kwa kusimama na wananchi dhidi ya majitu dhulumati yanayopora rasilimali za nchi na kuwakabidhi wageni kutokana na faida zao binafsi kwa kutumia nafasi zao Serikalini.

Wananchi Tuseme NO kwa Serikali na viongozi wote wanaotumia nafasi zao kupora rasilimali za Taifa na kuwauzia DP kupitia mkataba huu wa kishenzi.
Huo upuuzi hata sijaona sababu ya kuhangaika nao.
 
Huwaa sikisii. Kumbuka hilo.

Unataka kuukataa ukweli, jisomee kilichoripotiwa na dunia:

Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda​

Elizabeth Shoo
04.02.20154 Februari 2015
Hakimu mmoja wa mahakama maalumu ya kusimamia kesi ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ameulaumu uongozi wa kanisa katoliki kwa kuwalinda washukiwa waliohusika ambao ni viongozi wa dini.

Cnanzo: Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda – DW – 04.02.2015

Niongeze?
Mnalilaumu Kanisa Katoliki kuwalinda watuhumiwa kumbe hilo kanisa lina nguvu sana, ndio maana hata nyie huku kila siku mnalia na mfumo Kristo, mtatawaliwa sana na Kanisa Katoliki.
 
Huwaa sikisii. Kumbuka hilo.

Unataka kuukataa ukweli, jisomee kilichoripotiwa na dunia:

Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda​

Elizabeth Shoo
04.02.20154 Februari 2015
Hakimu mmoja wa mahakama maalumu ya kusimamia kesi ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ameulaumu uongozi wa kanisa katoliki kwa kuwalinda washukiwa waliohusika ambao ni viongozi wa dini.


Niongeze?
Cnanzo: Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda – DW – 04.02.2015
Kwahiyo unacho taka kusema ni kwamba TEC wanalengo la kutuingiza kwwnye machafuko?!
HAPANA tusifike huko japo wazee wangu wa TEC najua wameteleza sana kwa kitendo cha kusoma waraka huo kanisani, haikuwa sawa kabisa, maana hawakutujali sisi waumini wao tunao Unga mkono jitihada za Serikali ktk uwekezaji.

Kwa kitendo cha TEC kutoa waraka kabisani kumetugawa sisi waumini tunao Unga juhudi za serikali na uwekezaji wa DP bandarini, hawakututendea haki kabisaa
 
Hakuna swali lolote la maama hapo. Kwanza kuna maswali mtoa mada ameyajenga kutokana na hoja za uwongo.

1) Ni uwongo kusema kwamba mahakama ilibariki mkataba ule wa kishenzi. Mahakama ilikubali kuwa IGA husainiwa kati ya nchi na nchi, na kwamba Dubai siyo nchi. Ilikubali pia wananchi hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni yao. LAKINI mwishoni mahakama ikasema haina mamlaka ya kubatilisha maamuzi ya Bunge.

2) Jambo la pili kuwa eti inawezekana vipi Bunge zima likose uzalendo, labda mtoa hoja tumwulize, tangu lini mwizi anakuwa mzalendo? Bunge zima limejaa watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Ni majizi ya kura. Mengine hayakupata hata kura 1. Yalitangazwa tu kuwa ni wabunge. Na mahakama ikatoa hukumu kuwa majitu hayo siyo wabunge. Na humo yumo mpaka waziri mkuu. Jitu jizi tangu lini linaweza kuwa lipo kwaajili ya linayewibia?

3) Swali lake jingine linafanana tu na hilo la wevi waliopo bungeni. Eti inawezekana vipi Serikali nzima ikose uzalendo na utaalam. Hivi wakati wa wizi wa meremeta, Kagoda, Escrow, hakukuwa na wataalam serikalini? Au Serikali ilikosa watu? Wakati wa wizi wote wa pesa za umma unaooneshwa na CAG, Serikali huwa imewaondoa wataalam? Ukweli ni kwamba, hakuna watu wanaoongoza katika kuiba na kupora pesa za umma kama viongozi na watumishi wa umma kwa kushirikiana na wafanyabiashara wachache. Serikali haiaminiki, na hata viongozi wake wengi hawaaminiki. Mwizi haaminiki wakati wote.

4) Swala la kusema ufafanuzi kuhusiana na mkataba umetolewa na Serikali, ni hoja ya kipuuzi. Watu wanahoji vipengele vilivyo wazi kabisa vya hovyo kwenye mkataba huu wa kishenzi, wajinga wa Serikali wanakuja na majibu eti mkataba ni mzuri, DP ina uwezo mkubwa, DP wataongeza mapato ya Serikali. Sasa hayo ni majibu ya vipengeke vya hovyo kwenye mkataba? Ni majibu ysnayotolewa na wendawazimu waliopo Serikalini kuwapumbaza wananchi wakiacha kutoa majibu ya vipengete vinavyolalamikiwa ambavyo ni: IGA kukosa uhalali kwa sababu imesainiwa na jimbo badala ya nchi, mkataba kukosa ukomo, nchi kufanywa kikaragosi cha DP kwa kulazimishwa kuipa DP nafasi ya pekee kwenye uwekezaji, nchi kulazimika kutekeleza matakwa ya DP kwenye masuala ya ardhi, DP kupewa upendeleo kwenye ulipaji kodi, na DP kuwa na umiliki wa 100% kwenye uendeshaji.

Hongereni sana maaskofu kwa kusimama na wananchi dhidi ya majitu dhulumati yanayopora rasilimali za nchi na kuwakabidhi wageni kutokana na faida zao binafsi kwa kutumia nafasi zao Serikalini.

Wananchi Tuseme NO kwa Serikali na viongozi wote wanaotumia nafasi zao kupora rasilimali za Taifa na kuwauzia DP kupitia mkataba huu wa kishenzi.
Unaonesha umejuruhiwa.

Hivi mwambulukusi alishinda kesi Mbeya?

Huo mkataba wa IGA hatuna haja ya kuendelea kuwasomesha. Upo wazi kabisa, kila kitu swaaaafi, sasa ngojeni HGA na "concession agreements".

Naahamu hasira zinazowapata zinatokea wapi. Mnashindwa kasi ya RRRR ya mama Samia.

bandari sasa hivi inapitia Reforms kuelekea kwenye Rbuilding.

Ulitaka tuendelee kulea madudu haya:

 
Mnalilaumu Kanisa Katoliki kuwalinda watuhumiwa kumbe hilo kanisa lina nguvu sana, ndio maana hata nyie huku kila siku mnalia na mfumo Kristo, mtatawaliwa sana na Kanisa Katoliki.
Siyo tu kuwalinda watuhumiwa, ndiyo chanzo cha mauaji ya kimbari. Soma vizuri habari imeandikwa na nani, mimi mjumbe tu nimeifikisha. Au hujaona chanzo?

Mchezo huu hautaki hasira. Usitetee ujinga.

Zama za utumwa wa kanisa katoliki zilikwisha.
 
Back
Top Bottom