Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.