denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Wewe ni mkatoliki uliyetekwa akili na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.Mimi ni mkatoliki mwenye akili sio wa kushikiwa akili kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mkatoliki uliyetekwa akili na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.Mimi ni mkatoliki mwenye akili sio wa kushikiwa akili kama wewe
Kwani siyo yao sasa?Yaani wanakaa Kama nani yaani??? Kuna watu walivyojipa rights na hii nchi utafikiri yao....kama sio chokochoko hapo nini kingine chatafutwa!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kweli kabisaKanisa takatifu katoliki, lazima sasa msimame na wananchi kwa dhati kabisa
Hehe.Najua huna kazi unafikiri wengine wote hatuna kazi. Njoo tukupe kazi kijana
Uwekezaji usiojali maslahi ya kizazi cha sasa na kijacho cha mtanganyika ni haramu.Jifarague tu,huwa mnajufanya mna akili Sana kumbe wapuuzi,mmekwama Karne hii ya sayansi na teknolojia,uwekezaji ni suala la serikali na si Baraza la kidini,wao waende kwenye vitubio kusamehe watu dhambi
Mimi ni mkatoliki ninayejielewaWewe ni mkatoliki uliyetekwa akili na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
Utajua mwenyewe, sipigii mbuzi gitaa kila siku, wacha wanaojielewa wasonge mbele kuikomboa Tanganyika.Kwahiyo wewe tatizo lako ni Mwarabu au mkataba? Naona unahangaika kwenye kila thd kusambaza chuki zako za racism,au na wewe ulikua mpigaji pale port?
Kama wanaopinga mkataba huo ni wakenya; na hao wakatoliki ni wakenya, basi unamatatizo siyo buleWengi kina nani? Wakenya?
Huo ni msukule wa serikali ya mkoloni wa Tanganyika.Kama wanaopinga mkataba huo ni wakenya; na hao wakatoliki ni wakenya, basi unamatatizo siyo bule
Hujui haya mambo wewe. TuliaKama wanaopinga mkataba huo ni wakenya; na hao wakatoliki ni wakenya, basi unamatatizo siyo bule
Upuuzi wa sa100 wa kuuza nchi ukomeHawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome
Acha ujinga wewePumbavu wewe ,huo udini Huwa unakuja Rais akiwa Muislamu tuu? Kwa taarifa Yako Mimi sio mnafiki kama wewe na Mimi sio Muislamu ila nimekuwa nafanya observation Huwa huu ujinga unafanyika sana..
Tanzania sio Mali ya RC na hivyo mkome kuyumbisha Nchi, Mwendazake alikuwa anashinda makanisani kutoa hotuba sikuwahi kuona chokochoko Wala nyaraka.
Wajinga kama wewe mna vichwa vigumu kweli kweli. Unadhani watu wanapinga uwekezeji? Mbona wawekezaji wengi wamepewa miradi na viwanda watu hawakupiga kelele? Jaribu kusoma tena watu wanacholalamikia halfu utumie ubongo wakoMbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Uwekezaji kwenye migodi aliopitisha mkapa ulijali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..hao TEC walikusanya magovi yao kujadili!?.. mkataba wa dp na bandari umesainiwa mpaka useme uwekezaji hauna tija!?..kuongeza Pato bandari kwa zaidi ya 100% ni kutojali maslahi ya nchi?..kuwezeshwa bandari kichangia bajeti kwa zaidi ya 67%+ badala ya 30 ya Sasa ni kutojali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..huwa mnafikiri,au chuki za kidini huwa ulevi kwenu kiasi kurukwa akili!?Uwekezaji usiojali maslahi ya kizazi cha sasa na kijacho cha mtanganyika ni haramu.
Najua watu wanacholalamikia ndiyo maana naongea,wewe ndiye punguwani unayebwata bila kufikiriWajinga kama wewe mna vichwa vigumu kweli kweli. Unadhani watu wanapinga uwekezeji? Mbona wawekezaji wengi wamepewa miradi na viwanda watu hawakupiga kelele? Jaribu kusoma tena watu wanacholalamikia halfu utumie ubongo wako
Kanisa la kisinodi?Mimi ni mkatoliki ninayejielewa
Vimba na upasuke kibwengo la ccm WewePumbavu wewe ,huo udini Huwa unakuja Rais akiwa Muislamu tuu? Kwa taarifa Yako Mimi sio mnafiki kama wewe na Mimi sio Muislamu ila nimekuwa nafanya observation Huwa huu ujinga unafanyika sana..
Tanzania sio Mali ya RC na hivyo mkome kuyumbisha Nchi, Mwendazake alikuwa anashinda makanisani kutoa hotuba sikuwahi kuona chokochoko Wala nyaraka.