Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Mkataba wa utekelezaji haujasaini,kinachodaiwa kuwa mkataba ni intergovernmental agreement (IGA),agreement siyo contract, agreement hiyo ni baina ya serikali husika,katika hili mamlaka za bandari tz na mamlaka za bandari Dubai(Dubai ports-dp) ndizo zitakazoingia contract,umekazana kubisha na kubwabwaja mambo yenyewe huyajui
Mkuu wengi wao tatizo lao ni Uarabu plus dini yao,hata umfahamishe vp hawezi kukubaliana na wewe.
 
Rafiki Tanganyika ni mali ya Watanganyika wenyewe na haijawahi kamwe kuwa mali ya Waarabu,kama ni chuki mwazitengeza nyie kwa kisingizio cha uwekezaji.
Kwahiyo wewe tatizo lako ni Mwarabu au mkataba? Naona unahangaika kwenye kila thd kusambaza chuki zako za racism,au na wewe ulikua mpigaji pale port?
 
Rafiki Tanganyika ni mali ya Watanganyika wenyewe na haijawahi kamwe kuwa mali ya Waarabu,kama ni chuki mwazitengeza nyie kwa kisingizio cha uwekezaji.
Ina maana mpaka hapo hujagundua kua wewe ndio unaonyesha chuki mpaka hapo? Umajikoki kubishana mpaka unajianika jinsi ulivyo na chuki na waarabu na sio content za mkataba!

Vipi kuhusu kwenye madini ambapo ndipo mzungu yupo? Vp kampuni iliyopita hapo Port jinsi ilivyokua inaboronga na wapigaji kibao,ulikua usingizini!
 
Pumbavu wewe ,huo udini Huwa unakuja Rais akiwa Muislamu tuu? Kwa taarifa Yako Mimi sio mnafiki kama wewe na Mimi sio Muislamu ila nimekuwa nafanya observation Huwa huu ujinga unafanyika sana..

Tanzania sio Mali ya RC na hivyo mkome kuyumbisha Nchi, Mwendazake alikuwa anashinda makanisani kutoa hotuba sikuwahi kuona chokochoko Wala nyaraka.
Tulipata uhuru 09/12/1961 ili tujitawale na siyo kutawaliwa na Waarabu.
 
Acha ndoto pumbavu
Uwekezaji kwenye migodi aliopitisha mkapa ulijali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..hao TEC walikusanya magovi yao kujadili!?.. mkataba wa dp na bandari umesainiwa mpaka useme uwekezaji hauna tija!?..kuongeza Pato bandari kwa zaidi ya 100% ni kutojali maslahi ya nchi?..kuwezeshwa bandari kichangia bajeti kwa zaidi ya 67%+ badala ya 30 ya Sasa ni kutojali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..huwa mnafikiri,au chuki za kidini huwa ulevi kwenu kiasi kurukwa akili!?
 
We are talking for current issue,please free our PORT.
Ina maana mpaka hapo hujagundua kua wewe ndio unaonyesha chuki mpaka hapo? Umajikoki kubishana mpaka unajianika jinsi ulivyo na chuki na waarabu na sio content za mkataba!

Vipi kuhusu kwenye madini ambapo ndipo mzungu yupo? Vp kampuni iliyopita hapo Port jinsi ilivyokua inaboronga na wapigaji kibao,ulikua usingizini!
 
Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.

"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."

"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na yote wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wetu."

"...Waraka ni imani yangu utatolewa na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."

Chanzo.
BENEFICIARY, CANT AND NEVER CALM DOWN.
serekali isimame imara
 
..kuongeza Pato bandari kwa zaidi ya 100% ni kutojali maslahi ya nchi?..kuwezeshwa bandari kichangia bajeti kwa zaidi ya 67%+ badala ya 30 ya Sasa ni kutojali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..huwa mnafikiri,au chuki za kidini huwa ulevi kwenu kiasi kurukwa akili!?
Thats all well and good lakini akishindwa kumeet hizi expectations mtamfanya nini?
Huo mkatana ni wa muda gani?
Kuna vipimo gani vya performance KPI tutakuwa navyo?
Utaratibu wa kuvunja mkataba ukoje?
 
Back
Top Bottom