Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Amefanya nini?DP World.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefanya nini?DP World.
Fanya ufanyalo sasa...na bandari ndo iyo ishaendaMmeshatuchokoza tayari.
Kwa swala la elimu huko ndiko penyewe kuna wabobezi wa kila aina hivyo naamini watakuja na mapendekezo yenye maslahi kwa wote. Ukiona Warumi wamelivalia njuga jambo ujue kuna jambo.Hapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
Haki ya mtu huwa haipotei ila hucheleweshwa tu na wenye nguvu.Fanya ufanyalo sasa...na bandari ndo iyo ishaenda
Sawa...endelea kusubiri meli airportHaki ya mtu huwa haipotei ila hucheleweshwa tu na wenye nguvu.
Unayajua machafuko wewe? Tema mate chiniKwa serikali ya ccm ya wengi kufa njaa na wachache kufaidi keki.
Ni heri machafuko kuliko hii 'amani'
Na vipi kama Waislamu wakitoa waraka wao na kuungana na maamuzi ya viongozi wao wa kidini nchi itakuwa inaelekea wapi?Jumapili tutasomewa waraka Kanisani na tunaungana na maamuzi ya Kanisa , maana serikali imeshindwa
Sawa kama unaona machafuko yatatatua matatizo bila kujua ndio yataongezaSiyo mbaya kuliko kuonewa kwa kisingizio cha amani
Ruksa.Na vipi kama Waislamu wakitoa waraka wao na kuungana na maamuzi ya viongozi wao wa kidini nchi itakuwa inaelekea wapi?
acheni unafiq hata kipindi cha magufuli walimkosoa hasa umpinge mzungu alafu mkatoriki akuchekee.Kipindi cha Magu walikuwa wapi?
Wewe una naqli na si akiliRuksa.
Wewe uliwagi kuona taasisi yeyote inayosimimiwa na warumi ikawa ya kibabaishaji? Sasa kuwauliza kuhusu mali za serikali wao utaka wajibu nini?Kweli kabisa
Watuambie pia kwa nini reli ya kati, mwendokasi, uwanja wa Taifa vinavyoendeshwa na Serikali miaka na miaka haviendi kwa ufanisi.
Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume!
Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome
Kipindi cha Magu walikuwa wapi?
Ni heri kupambana ukipigania haki yako...kuliko kulala ndani ukikandamizwa.Unayajua machafuko wewe? Tema mate chini
Udini unaletwa na Kanisa Katoliki.Nchi tayari ishaelekea huko. Ikitokea Samia akasimama 2025 tegemea kuona kura zikipigwa kidini