Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Hapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
Kwa swala la elimu huko ndiko penyewe kuna wabobezi wa kila aina hivyo naamini watakuja na mapendekezo yenye maslahi kwa wote. Ukiona Warumi wamelivalia njuga jambo ujue kuna jambo.
 
Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.

"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."

"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."

"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."

Chanzo.
 

Attachments

  • IMG_0805.MP4
    3.7 MB
Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari

Dp ni mkono wa kushoto wa marekanj,hatukatai ila mkataba umekaa kisengerema,only wasengerama ndio watakao pitisha mkataba kama huo.
 
Nchi tayari ishaelekea huko. Ikitokea Samia akasimama 2025 tegemea kuona kura zikipigwa kidini
Udini unaletwa na Kanisa Katoliki.
Ukifuatilia siasa za hii nchi mara nyingi chokochoko hizi hufanyika kwa sana rais akiwa muislam.

Hata kama ikiwa kweli yanayofanyika si sahihi lakini kwa nini TEC huyafanya haya zaidi rais akiwa muislam?

Na ndiyo maana zinazuka hoja kuwa hawa watu ni wadini. Sasa wasitupeleke huko! Kama wanavyofunga vinywa vyao kiongozi akiwa mkatoliki mwenzao basi na kwa sasa wavifunge hivyo hivyo!

Kama wanataka kumshauri rais wamfuate kwa siri.
 
Back
Top Bottom