Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Kwahiyo, tuliwaandaa wanafunzi kupingana na mkataba wa ulaghai uliofanywa na Sultan Mangungo wa Msovero na Karl Peters dhidi ya Tanganyika na jambo hilo linapojirudia ukiwa na AKILI timamu unaliunga mkono.
Hapa maaskofu hawana INTEREST na VYEO ila wanataka mkataba uwe SPECIFIC ( time frame, areas of concentration, Marekebisho ya mkataba ( if required)). Na wakikosea wanyang'anywe siyo unaachwa tu, hata baba yako hakuvumilii hivyo.
Kwani mkataba umesainiwa!?
 
Umeambiwa weka hapa huo mkataba wa Gas btn Wazungu & TZ ili tuone madhaifu yake.

Haya mengine ya kutukana, kukashifu na kulialia achana nayo, twende kwa FACTS.
Waambie TEC wakuoneshe,maana mkataba huo hawakuitana vikao Wala kung'aka,itakua mzuri wanaujua
 
Umeongea Jambo zuri Sana. "Wakae chini wapige goti wasujudie sanamu". Maana Nchi mnataka kuigeuza ya Kiislamu na kumkabidhi mjomba wenu Mwarabu. Nawashangaa Wabunge wakristo walioingia mtego huu àmbao nyie Waislamu mnaujua vizuri. Mbowe aliposema kuwafumbua macho Watanganyika mkamwita mbaguzi Ila nyie mkiongea maneno kama haya ndo Wazalendo.
Wabunge siyo wajinga na hawana allergy na mwarabu/muislam Kama pengo na TEC
 
Umeongea Jambo zuri Sana. "Wakae chini wapige goti wasujudie sanamu". Maana Nchi mnataka kuigeuza ya Kiislamu na kumkabidhi mjomba wenu Mwarabu. Nawashangaa Wabunge wakristo walioingia mtego huu àmbao nyie Waislamu mnaujua vizuri. Mbowe aliposema kuwafumbua macho Watanganyika mkamwita mbaguzi Ila nyie mkiongea maneno kama haya ndo Wazalendo.
Usilojua ni kwamba wapo waarabu wasio waislamu pia, sio kila mwarabu ni muislam
 
Kwani mkataba umesainiwa!?
Ni kweli haujasainiwa.
Lakini mtu anapokuletea mkataba huku akiwa hajaweka wazi baadhi ya mambo ya mkataba. Mfano: Time frame, fedha iliyowekezwa, serikali italipwa shilingi ngapi?, nk. Unamwona ana nia njema huyu?( Halafu, anakuambia wewe pitisha tu, usiwe na wasiwasi. Na wewe unakubali kupitisha)- Ukifanya hivyo tayari UMETAPELIWA. ( Kwanini?), Kwasababu ukishajifunga kwenye mkataba kinachofuata ni UTEKELEZAJI wa mkataba. ( Lakini, kwanini ukubaliane na masuala yenye sura ya uficho?).

Mkataba ukiwa wazi unakuwezesha wewe kupima FAIDA na HASARA na hivyo kufanya maamuzi yenye tija kwa nchi( siyo unabaki, kubuni faida usizoambiwa). Je, matarajio ya faida yakibuma?, Tunaambiwa hatutakiwi kufanya chochote dhidi ya DP WORLD ( milele). Huu ni mkataba mbaya kuliko wa Sultan Mangungo na Carl peters.
 
Ni uchaguzi ufanyike nchini, ztunaweza pata viongozi.
 
Ni kweli haujasainiwa.
Lakini mtu anapokuletea mkataba huku akiwa hajaweka wazi baadhi ya mambo ya mkataba. Mfano: Time frame, fedha iliyowekezwa, serikali italipwa shilingi ngapi?, nk. Unamwona ana nia njema huyu?( Halafu, anakuambia wewe pitisha tu, usiwe na wasiwasi. Na wewe unakubali kupitisha)- Ukifanya hivyo tayari UMETAPELIWA. ( Kwanini?), Kwasababu ukishajifunga kwenye mkataba kinachofuata ni UTEKELEZAJI wa mkataba. ( Lakini, kwanini ukubaliane na masuala yenye sura ya uficho?).

Mkataba ukiwa wazi unakuwezesha wewe kupima FAIDA na HASARA na hivyo kufanya maamuzi yenye tija kwa nchi( siyo unabaki, kubuni faida usizoambiwa). Je, matarajio ya faida yakibuma?, Tunaambiwa hatutakiwi kufanya chochote dhidi ya DP WORLD ( milele). Huu ni mkataba mbaya kuliko wa Sultan Mangungo na Carl peters.
Wewe mpuuzi, mkataba haujaingiwa unasema mtu anakuletea mkataba,wakati mkataba ni majadiliano,hivi huwa mnafikiri!?..huo mkataba wameandaa wao wakaja tuambie tusaini!?
 
Back
Top Bottom