Uko kijiwe gani cha kahawa wanakupa ilo tango pori?
Unaweza kum summon Rais wewe tena sio Tanzania tu hapa kusini mwa jangwa la sahara with exception ya Afrika kusini?
Uongo huoo Duu jamaa unastory za kijiweni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko kijiwe gani cha kahawa wanakupa ilo tango pori?
Unaweza kum summon Rais wewe tena sio Tanzania tu hapa kusini mwa jangwa la sahara with exception ya Afrika kusini?
Shekhe Tanganyika tumewakataa wajomba zenu kama mnawapenda Sana wapelekeni ZanzibarJua likizidi sana ni ghadhabu!
Na mvua ikizidi sana ni ghadhabu pia!
Kimsingi; itaangaliwa hoja na tutamuangalia mleta hoja na ni kwa sababu: Iweje izungumziwe msimu mmoja ilhali misimu yote ni janga kwa muishiji?
Mazingira ya namna hii yanatuweka wazi msemaji ana lake jambo na ni ndilo tunalolikemea!
Mkuu wee upo Sawa kabisa hao ndio ndio wenye nchi yao wakisema hapana hiyo biashara ya mauziano haitafanyika kamweKwani siyo ya kwao[emoji1787][emoji1787][emoji1787],hao ndiyo walikuwa Mastermind nyuma ya Nyerere kwenye mapambano ya Uhuru.Na kwa taarifa yako hii nchi inaendeshwa na Vatican na USA.
Nyie mpeni kichwa huyo Bibi,mtajua hamjui.Wewe unafikiri Dkt.Slaa katumwa na nani kumchana Bi.Mkubwa na ata 2015 wao ndiyo walimwambia amuunge mkono Magufuli.
Hilo Kanisa siyo Arise and shine ya Mwamposa,hao wamekamilika kila Idara mpaka Idara za ujasusi wanazo!
Huo mkataba mnapiga kelele wenzenu wanajua kila kitu,fear Vatican my friend!
Soma historia ya nchi,acheni ukasuku!
Swali linakuja!kwa hiyo hata jambo likiwa baya wao kama viongozi wakae kimnya kisa muislam ndio rais. Kwanza hii inchi inaongozwa na rais na sio muislam atakoselewa kama rais wa nchi
Hapo ndiyo umetumia akili?Shekhe Tanganyika tumewakataa wajomba zenu kama mnawapenda Sana wapelekeni Zanzibar
Nani kakwambia?Wale wakikataa hiyo biashara haifanyiki mkuu
Upo dunia ya wapi?Dini hazitakiwi kuwa na makachero kwan ni vita??
Wapi nimesema inahusika?Tangu TEC ikahusika na mikataba ya nchi!!?
Nenda kaandamane basi uone moto fala wewe
TEC walimkosoa Magufuli vizuri tu, Soma hapa waraka wao February 2018Magufuli alikosolewa wapi Mzee!?
Nani aliyethubutu kumkosoa Magufuli? Si viongozi wa dini wala wa kisiasa walifyata mkia.
Si ndiyo Pengo huyo huyo alipindua meza sikukuu ya Xmas mpaka watu wakawa wanamlaumu humu? Alizungumza kinyume kabisa na uhalisia wa maisha jinsi ulivyo!
Watulie kama walivyotulia uongozi uliyopita. Wakitaka kumshauri waende kisiri wakamshauri. Si kama wanachotaka kukifanya sasa!
Kita trigger mambo tofauti hata kama wakisema wanania ya dhati na nchi.
Ya 3 kutoka juaUpo dunia ya wapi?
Huwa hawakurupuki na wakitoa kitu kinakuwa kizito kweli kweliSijui wanachelewa nini kutoa msimamo wao, hapa ndipo utakapowaona mawakala wa shetani wanavyoanza kumwaga povu.
Tanganyika yetu imetekwa, lazima sote kwa pamoja tusimame kuikomboa kutoka mikononi mwa mwarabu, na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
Ukweli gani mm ndio nawachana,Kanisa likome kuingilia mambo ya serikaliSina muda wa kuandanana ila ukweli acha usemwe hilo li mkataba bovu,machoko ndio watakao liunga mkono.
Hivi hili kanisa si ndio papa alisema naniliu siyo kosa!?Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume!
Ameuliza mbona rais akiwa kafiri huwa hawasemi? Tumeona hapa tulipata rais kafiri halafu cizi staff mental akavunja na kuvunja katiba ila walikua kimyaaaaaaakwa hiyo hata jambo likiwa baya wao kama viongozi wakae kimnya kisa muislam ndio rais. Kwanza hii inchi inaongozwa na rais na sio muislam atakoselewa kama rais wa nchi
Huo ubavu haupo, msingekua mnalialia marekani kuwachonhanisha na kuwaua.Nyie mnachinjwa kimya kimya tu
No research no right to speak mkuu...2018 TEC ilitoa waraka tena ulikuwa ni mwiba kwa serikali..fuatiliaAmeuliza mbona rais akiwa kafiri huwa hawasemi? Tumeona hapa tulipata rais kafiri halafu cizi staff mental akavunja na kuvunja katiba ila walikua kimyaaaaaaa
Vije leo????
Mjibu swali lake, kwanini iwe hivyo tu??
Umeongea Jambo zuri Sana. "Wakae chini wapige goti wasujudie sanamu". Maana Nchi mnataka kuigeuza ya Kiislamu na kumkabidhi mjomba wenu Mwarabu. Nawashangaa Wabunge wakristo walioingia mtego huu àmbao nyie Waislamu mnaujua vizuri. Mbowe aliposema kuwafumbua macho Watanganyika mkamwita mbaguzi Ila nyie mkiongea maneno kama haya ndo Wazalendo.Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Umeambiwa weka hapa huo mkataba wa Gas btn Wazungu & TZ ili tuone madhaifu yake.Jifarague tu,huwa mnajufanya mna akili Sana kumbe wapuuzi,mmekwama Karne hii ya sayansi na teknolojia,uwekezaji ni suala la serikali na si Baraza la kidini,wao waende kwenye vitubio kusamehe watu dhambi
Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome