Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Ila msikiti ndio unapaswa kuwa na makachero?Kwanza kanisa linakuwaje na makachero?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila msikiti ndio unapaswa kuwa na makachero?Kwanza kanisa linakuwaje na makachero?
Kwamba hujijui? Hakuna tajiri anakuja jf humu kuandika nyuzi za kusifia na kulamba viatu wengineNani chawa?
Acha uchuro!!Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Dini hazitakiwi kuwa na makachero kwan ni vita??Ila msikiti ndio unapaswa kuwa na makachero?
Huyo mkapa ndo aliuza migodi kama hana akili nzuriMarais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Tangu TEC ikahusika na mikataba ya nchi!!?Tamko halijatoka unaanza kuogopa. Kama wakiunga mkono?
Muulize Mfalme wenu wa Msoga JK anawajua vizuri hao.Kipindi kile Makanisa ya Katoliki yalikuwa yanavamiwa na ikiwemo kuuwawa Padri.Aliitwa akahojiwa kama Mwananchi wa kawaida!Kwa hiyo wao wakikaa sie tufanyaje?
Msongo wa akili ni tatizo sana nchini
Hawana nguvu yoyote,wanaweka tu,huwa wanawatishia wanasiasa wapiga kura wao,maana kondoo wa ni 'kondoo' kweli!!Hapooooo,,,, ndipooooo..talatanta .....nunuuuu Utajua Vaticanoooo Wana nguvu kiasi Gani?
Uko kijiwe gani cha kahawa wanakupa ilo tango pori?Muulize Mfalme wenu wa Msoga JK anawajua vizuri hao.Kipindi kile Makanisa ya Katoliki yalikuwa yanavamiwa na ikiwemo kuuwawa Padri.Aliitwa akahojiwa kama Mwananchi wa kawaida!
Hutaki we na nani!?.. IGA itadumu miezi 12,ikiwa TPA haitoingia makubaliano na DP katika kipindi hicho, IGA inakufa,kivipi IGA iwe foundation ya mkataba wa TPA na DP!?..muwe mnaacha ukizabizabina!Hatutaki bandari zote za nchi hii,pia mkataba ule wa bungeni ndio foundation ya mikataba yote ijayo chini ya dp world
Kadinali Pengo kaongea Kuna watu humu wanambeza,hawajui ata Mwalimu Nyerere alisomeshwa na hii taasisi na kupewa ramani za mapambano ya Uhuru.Wanabwabwaja wakati Bibi Yao kanyamaza kimya maana anajua nguvu yao.Hapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
Magufuli alikosolewa wapi Mzee!?Kama Magufuli na ukatoliki wake walimkosoa iweje useme ni wadini?
Kuhusu demokrasia kuiminya walimkosoa Magufuli!
Kuhusu corona walimpinga Magufuli!
Sasa udini wao unatokea wapi?
Daresalaam(Darul salaam) ni mji ambao alikaa mwarabu pamoja na stone town Zanzibar,akatoa na majina ya miji hiyo,na bandari na mji wa dar mpaka ikulu ni vya mwarabu,Sasa daresalaam na stone town panafanana na mbinga au peramiho!?...elimu na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,mzungu kachukua elimu kubwa kwa mwarabu kati ya Karne ya 11-13,kipindi hicho wazungu wako wengi wakitembea peku na hawakua wakijua kusoma Wala kuandika,elimu kwa binaadam ni mchakato usioisja ambao kila mtu huongeza tofari kwenye Hilo jengo,kesho china akiongoza kwa elimu ya material utamuona mchina wa maana kuliko mzungu!?Mkoloni mzungu lazima aliliwe kwa sababu alijenga mashule, hospitals,miundombinu ya bandari,reli, barabara, viwanja vya ndege nk.Aliacha secular education ambayo naamini ndo inayokupa mkate wako wa kila siku!
Ninachoelewa mwarabu aliacha utamaduni wa kufuga ndevu,kuvisha gubigubi wanawake maguo meusi hata wakati wa joto.Aliendeleza ujinga na uvivu wa kukaa vibarazani na kushindia misikitini.Aliacha utamaduni wa kijinga wa kuoa na kuzaa wake na watoto wengi bila matunzo na talaka zenye sababu za kijinga.Ushahidi: angalia maeneo yaliyoshika tamaduni za mashariki na magharibi.Jibu unalo ni maeneo yapi yako mbele kimaendeleo!
Kwani siyo ya kwao[emoji1787][emoji1787][emoji1787],hao ndiyo walikuwa Mastermind nyuma ya Nyerere kwenye mapambano ya Uhuru.Na kwa taarifa yako hii nchi inaendeshwa na Vatican na USA.Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome
Kama watanganyika wazalendo ,wanaoipenda nchi yao isiujumiwe na waarabu,Yaani wanakaa Kama nani yaani??? Kuna watu walivyojipa rights na hii nchi utafikiri yao....kama sio chokochoko hapo nini kingine chatafutwa!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Wale wakikataa hiyo biashara haifanyiki mkuuKwa hiyo wao wakikaa sie tufanyaje?
Msongo wa akili ni tatizo sana nchini
Ramani ya mapambano ya uhuru!?..uhuru tulipewa kwenye kisahani Kama andazi,na angepatikana mapema mtu wa kuaminika na 'wazungu' Kama Nyerere pengine tungepata uhuru sawa na Ghana, Nyerere alitaka kuwa padre,ni askofu mzungu aliyemkatalia na kumpeleka siasani,ndiyo 'wazungu' wakatupa uhuruKadinali Pengo kaongea Kuna watu humu wanambeza,hawajui ata Mwalimu Nyerere alisomeshwa na hii taasisi na kupewa ramani za mapambano ya Uhuru.Wanabwabwaja wakati Bibi Yao kanyamaza kimya maana anaju..uhurua nguvu yao.
Jua likizidi sana ni ghadhabu!Hoja zitajadiliwa,sio mihemuko na mahaba.
Hakusaidii na waarabu walikuta watanganyika,sasa watanganyika washawashtukia mnataka kuuza bandari yetu ujombani,hatukubali ng'o,Daresalaam(Darul salaam) ni mji ambao alikaa mwarabu pamoja na stone town Zanzibar,akatoa na majina ya miji hiyo,na bandari na mji wa dar mpaka ikulu ni vya mwarabu,Sasa daresalaam na stone town panafanana na mbinga au peramiho!?...elimu na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,mzungu kachukua elimu kubwa kwa mwarabu kati ya Karne ya 11-13,kipindi hicho wazungu wako wengi wakitembea peku na hawakua wakijua kusoma Wala kuandika,elimu kwa binaadam ni mchakato usioisja ambao kila mtu huongeza tofari kwenye Hilo jengo,kesho china akiongoza kwa elimu ya material utamuona mchina wa maana kuliko mzungu!?