Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Huyo mkapa ndo aliuza migodi kama hana akili nzuri
 
Muulize Mfalme wenu wa Msoga JK anawajua vizuri hao.Kipindi kile Makanisa ya Katoliki yalikuwa yanavamiwa na ikiwemo kuuwawa Padri.Aliitwa akahojiwa kama Mwananchi wa kawaida!
Uko kijiwe gani cha kahawa wanakupa ilo tango pori?
Unaweza kum summon Rais wewe tena sio Tanzania tu hapa kusini mwa jangwa la sahara with exception ya Afrika kusini?
 
Hatutaki bandari zote za nchi hii,pia mkataba ule wa bungeni ndio foundation ya mikataba yote ijayo chini ya dp world
Hutaki we na nani!?.. IGA itadumu miezi 12,ikiwa TPA haitoingia makubaliano na DP katika kipindi hicho, IGA inakufa,kivipi IGA iwe foundation ya mkataba wa TPA na DP!?..muwe mnaacha ukizabizabina!
 
Hapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
Kadinali Pengo kaongea Kuna watu humu wanambeza,hawajui ata Mwalimu Nyerere alisomeshwa na hii taasisi na kupewa ramani za mapambano ya Uhuru.Wanabwabwaja wakati Bibi Yao kanyamaza kimya maana anajua nguvu yao.
 
Kama Magufuli na ukatoliki wake walimkosoa iweje useme ni wadini?

Kuhusu demokrasia kuiminya walimkosoa Magufuli!

Kuhusu corona walimpinga Magufuli!

Sasa udini wao unatokea wapi?
Magufuli alikosolewa wapi Mzee!?

Nani aliyethubutu kumkosoa Magufuli? Si viongozi wa dini wala wa kisiasa walifyata mkia.

Si ndiyo Pengo huyo huyo alipindua meza sikukuu ya Xmas mpaka watu wakawa wanamlaumu humu? Alizungumza kinyume kabisa na uhalisia wa maisha jinsi ulivyo!

Watulie kama walivyotulia uongozi uliyopita. Wakitaka kumshauri waende kisiri wakamshauri. Si kama wanachotaka kukifanya sasa!

Kita trigger mambo tofauti hata kama wakisema wanania ya dhati na nchi.
 
Mkoloni mzungu lazima aliliwe kwa sababu alijenga mashule, hospitals,miundombinu ya bandari,reli, barabara, viwanja vya ndege nk.Aliacha secular education ambayo naamini ndo inayokupa mkate wako wa kila siku!

Ninachoelewa mwarabu aliacha utamaduni wa kufuga ndevu,kuvisha gubigubi wanawake maguo meusi hata wakati wa joto.Aliendeleza ujinga na uvivu wa kukaa vibarazani na kushindia misikitini.Aliacha utamaduni wa kijinga wa kuoa na kuzaa wake na watoto wengi bila matunzo na talaka zenye sababu za kijinga.Ushahidi: angalia maeneo yaliyoshika tamaduni za mashariki na magharibi.Jibu unalo ni maeneo yapi yako mbele kimaendeleo!
Daresalaam(Darul salaam) ni mji ambao alikaa mwarabu pamoja na stone town Zanzibar,akatoa na majina ya miji hiyo,na bandari na mji wa dar mpaka ikulu ni vya mwarabu,Sasa daresalaam na stone town panafanana na mbinga au peramiho!?...elimu na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,mzungu kachukua elimu kubwa kwa mwarabu kati ya Karne ya 11-13,kipindi hicho wazungu wako wengi wakitembea peku na hawakua wakijua kusoma Wala kuandika,elimu kwa binaadam ni mchakato usioisja ambao kila mtu huongeza tofari kwenye Hilo jengo,kesho china akiongoza kwa elimu ya material utamuona mchina wa maana kuliko mzungu!?
 
Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..

Ifike mahala upuuzi huu ukome
Kwani siyo ya kwao[emoji1787][emoji1787][emoji1787],hao ndiyo walikuwa Mastermind nyuma ya Nyerere kwenye mapambano ya Uhuru.Na kwa taarifa yako hii nchi inaendeshwa na Vatican na USA.
Nyie mpeni kichwa huyo Bibi,mtajua hamjui.Wewe unafikiri Dkt.Slaa katumwa na nani kumchana Bi.Mkubwa na ata 2015 wao ndiyo walimwambia amuunge mkono Magufuli.
Hilo Kanisa siyo Arise and shine ya Mwamposa,hao wamekamilika kila Idara mpaka Idara za ujasusi wanazo!
Huo mkataba mnapiga kelele wenzenu wanajua kila kitu,fear Vatican my friend!
Soma historia ya nchi,acheni ukasuku!
 
Yaani wanakaa Kama nani yaani??? Kuna watu walivyojipa rights na hii nchi utafikiri yao....kama sio chokochoko hapo nini kingine chatafutwa!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kama watanganyika wazalendo ,wanaoipenda nchi yao isiujumiwe na waarabu,
#Tanganyika nchi yetu tunaipenda,
#Kataa Muungano,ni utapeli
 
Kadinali Pengo kaongea Kuna watu humu wanambeza,hawajui ata Mwalimu Nyerere alisomeshwa na hii taasisi na kupewa ramani za mapambano ya Uhuru.Wanabwabwaja wakati Bibi Yao kanyamaza kimya maana anaju..uhurua nguvu yao.
Ramani ya mapambano ya uhuru!?..uhuru tulipewa kwenye kisahani Kama andazi,na angepatikana mapema mtu wa kuaminika na 'wazungu' Kama Nyerere pengine tungepata uhuru sawa na Ghana, Nyerere alitaka kuwa padre,ni askofu mzungu aliyemkatalia na kumpeleka siasani,ndiyo 'wazungu' wakatupa uhuru
 
Hoja zitajadiliwa,sio mihemuko na mahaba.
Jua likizidi sana ni ghadhabu!

Na mvua ikizidi sana ni ghadhabu pia!

Kimsingi; itaangaliwa hoja na tutamuangalia mleta hoja na ni kwa sababu: Iweje izungumziwe msimu mmoja ilhali misimu yote ni janga kwa muishiji?

Mazingira ya namna hii yanatuweka wazi msemaji ana lake jambo na ni ndilo tunalolikemea!
 
Daresalaam(Darul salaam) ni mji ambao alikaa mwarabu pamoja na stone town Zanzibar,akatoa na majina ya miji hiyo,na bandari na mji wa dar mpaka ikulu ni vya mwarabu,Sasa daresalaam na stone town panafanana na mbinga au peramiho!?...elimu na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,mzungu kachukua elimu kubwa kwa mwarabu kati ya Karne ya 11-13,kipindi hicho wazungu wako wengi wakitembea peku na hawakua wakijua kusoma Wala kuandika,elimu kwa binaadam ni mchakato usioisja ambao kila mtu huongeza tofari kwenye Hilo jengo,kesho china akiongoza kwa elimu ya material utamuona mchina wa maana kuliko mzungu!?
Hakusaidii na waarabu walikuta watanganyika,sasa watanganyika washawashtukia mnataka kuuza bandari yetu ujombani,hatukubali ng'o,
Kama mkataba ni mzuri kwanini msiuze na yenu ili tufaidike wote,
#hatutaki limuungano la kitapeli
 
Back
Top Bottom