Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Lini?? Walimkosoa kwa lipi?acheni unafiq hata kipindi cha magufuli walimkosoa hasa umpinge mzungu alafu mkatoriki akuchekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini?? Walimkosoa kwa lipi?acheni unafiq hata kipindi cha magufuli walimkosoa hasa umpinge mzungu alafu mkatoriki akuchekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machoko Huwa mnayumbisha sana Serikali nyieChokochoko gani we choko,bandari zote nchini zipewe waarabu bila ukomo wa muda huu upuuzi wa kukubali ni choko kama wewe.
Tanzania itaendelea zaidi ikiendeshwa na ngozi nyeupe kuliko ngozi nyeusi
Sisi hatuwezi kujiendesha acha tuendeshwe tu iko sawa ufisadi umezidi
Na wengi wanao piga kelele humu ndani sio kwa masrahi ya taifa ni masrahi binafsi
Bandali ilikuwa ikiendeshwa kwa faida za watu wachache/wachache walikuwa wakifaidika na bandali hiyo huku watanzania wengi wakiumizwa vibaya
Kwa ongezeko la bei za bidhaa zinazo toka nje Kama mafuta ya Kula na kupikia,mavazi,magari nk na ongezeko Hilo Lili tokana na shuru kubwa zilizo kuwa zime wekwa bandalini na tukio jiwekea ni sisi wenyewe
Sasa mtu ambaye anatumia Mari za inchi kuwa umiza wanainchi anafaa kutuongoza?
Tuna paswa kuwa na mtu anaye tumia Mari za inchi kuwa tulia mzigo wa maisha wanainchi huyo atafaa
Chamsingi tucheze na mikataba tu isiwe ya kutudhuru baadae basi
Kwanza kanisa linakuwaje na makachero?Makachero wa kanisa ni wa kanisa wakafanye kazi kwa ajili ya kanisa lao.
Kama Magufuli na ukatoliki wake walimkosoa iweje useme ni wadini?Udini unaletwa na Kanisa Katoliki.
Ukifuatilia siasa za hii nchi mara nyingi chokochoko hizi hufanyika kwa sana rais akiwa muislam.
Hata kama ikiwa kweli yanayofanyika si sahihi lakini kwa nini TEC huyafanya haya zaidi rais akiwa muislam?
Na ndiyo maana zinazuka hoja kuwa hawa watu ni wadini. Sasa wasitupeleke huko! Kama wanavyofunga vinywa vyao kiongozi akiwa mkatoliki mwenzao basi na kwa sasa wavifunge hivyo hivyo!
Kama wanataka kumshauri rais wamfuate kwa siri.
inamankusweke we phallerMkoloni mzungu wakati anaondoka si mlikua mnalia makanisani Kama mmefiwa,tangu lini mnachukia ukoloni!?
lazima wausome mkataba na si swala la kukurupuka tu.hiyo issue ni kubwa na ina madhara makubwa kwa taifa.Sijui wanachelewa nini kutoa msimamo wao, hapa ndipo utakapowaona mawakala wa shetani wanavyoanza kumwaga povu.
Tanganyika yetu imetekwa, lazima sote kwa pamoja tusimame kuikomboa kutoka mikononi mwa mwarabu, na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
Mkataba wa mamlaka ya bandari na dp world haujasainiwa,we huo unaopinga umeuona wapi!?
Hapo ngoma tamu sasa,ngoja inyeshe, tuone panapovuja,hagaya kalikoroga kwa wenye inchi,namuona anavyoenda kusalimu amri na kupoteza matumaini ya kugombea kwa muula wa pili.Hapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
NAWASHAURI HAO MAASKOFU WATAFUTE UONGOZI WA MKOA WAENDE WAKASOME MKATABA HUSIKA PIA WAPEWE KOPI, WAACHANE NA UDAKU WA MITANDAONI WA CHADOMO, ITAWALINDIA HESHIMA YAO!, VIKAO VYA SIRI HAVIWALETEI SIFA SAFI, HATA MASHEIKH PIA WAKITAKA KUFAHAMU NINI KIPO MNAKARIBISHWA KWA MKUU WA MKOA UKAPATA TAARIFA SAHIHI.
Umeeleza vyema sana.
Kwa maelezo zaidi ambao hawajaelewa.
IGA ni serikali zinakubaliana
Hapa ni serikali mbili zinakubaliana..serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania (Minus Zanzibar) inaingia makubaliano na serikali ya nchi ya Dubai.
Na vipi kama Waislamu wakitoa waraka wao na kuungana na maamuzi ya viongozi wao wa kidini nchi itakuwa inaelekea wapi?
Machoko Huwa mnayumbisha sana Serikali nyie
Kama Magufuli na ukatoliki wake walimkosoa iweje useme ni wadini?
Kuhusu demokrasia kuiminya walimkosoa Magufuli!
Kuhusu corona walimpinga Magufuli!
Sasa udini wao unatokea wapi?
Nenda kaandamane basi uone moto fala weweWe choko unajulikana,maisha yako ya kimalayamalaya tu,mkataba mbovu huo acha kitikisa kalio.
Wakae tu nchi haiwezi kusimama kwa ajili yaoVyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Hawa jamaa ni kama wana kamusi yao, kila wakitoa waraka unakutana na vibomba visivyokuwemo kwenye kamusi ya TUKI"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Mkoloni mzungu lazima aliliwe kwa sababu alijenga mashule, hospitals,miundombinu ya bandari,reli, barabara, viwanja vya ndege nk.Aliacha secular education ambayo naamini ndo inayokupa mkate wako wa kila siku!Mkoloni mzungu wakati anaondoka si mlikua mnalia makanisani Kama mmefiwa,tangu lini mnachukia ukoloni!?
Siku hizi tunaangalia tu wanapooana wanaume kwa wanaume na kufukuana mitaro basi tunaelewa tu mambo ya mzungu hayoMkoloni mzungu lazima aliliwe kwa sababu alijenga mashule, hospitals,miundombinu ya bandari,reli, barabara, viwanja vya ndege nk.Aliacha secular education ambayo naamini ndo inayokupa mkate wako wa kila siku!
Ninachoelewa mwarabu aliacha utamaduni wa kufuga ndevu,kuvisha gubigubi wanawake maguo meusi hata wakati wa joto.Aliendeleza ujinga na uvivu wa kukaa vibarazani na kushindia misikitini.Aliacha utamaduni wa kijinga wa kuoa na kuzaa wake na watoto wengi bila matunzo na talaka zenye sababu za kijinga.Ushahidi: angalia maeneo yaliyoshika tamaduni za mashariki na magharibi.Jibu unalo ni maeneo yapi yako mbele kimaendeleo!
Hii ni vita ya wazarendo,wapenda haki,na chadema woteYaani wanakaa Kama nani yaani??? Kuna watu walivyojipa rights na hii nchi utafikiri yao....kama sio chokochoko hapo nini kingine chatafutwa!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app