Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tanzania itaendelea zaidi ikiendeshwa na ngozi nyeupe kuliko ngozi nyeusi

Sisi hatuwezi kujiendesha acha tuendeshwe tu iko sawa ufisadi umezidi

Na wengi wanao piga kelele humu ndani sio kwa masrahi ya taifa ni masrahi binafsi

Bandali ilikuwa ikiendeshwa kwa faida za watu wachache/wachache walikuwa wakifaidika na bandali hiyo huku watanzania wengi wakiumizwa vibaya

Kwa ongezeko la bei za bidhaa zinazo toka nje Kama mafuta ya Kula na kupikia,mavazi,magari nk na ongezeko Hilo Lili tokana na shuru kubwa zilizo kuwa zime wekwa bandalini na tukio jiwekea ni sisi wenyewe

Sasa mtu ambaye anatumia Mari za inchi kuwa umiza wanainchi anafaa kutuongoza?

Tuna paswa kuwa na mtu anaye tumia Mari za inchi kuwa tulia mzigo wa maisha wanainchi huyo atafaa

Chamsingi tucheze na mikataba tu isiwe ya kutudhuru baadae basi

Suala hapa ni mkataba ndio tupambane nao ila hatukatai muwekezaji,wananchi wana hofu na kile kilichopo.
 
Udini unaletwa na Kanisa Katoliki.
Ukifuatilia siasa za hii nchi mara nyingi chokochoko hizi hufanyika kwa sana rais akiwa muislam.

Hata kama ikiwa kweli yanayofanyika si sahihi lakini kwa nini TEC huyafanya haya zaidi rais akiwa muislam?

Na ndiyo maana zinazuka hoja kuwa hawa watu ni wadini. Sasa wasitupeleke huko! Kama wanavyofunga vinywa vyao kiongozi akiwa mkatoliki mwenzao basi na kwa sasa wavifunge hivyo hivyo!

Kama wanataka kumshauri rais wamfuate kwa siri.
Kama Magufuli na ukatoliki wake walimkosoa iweje useme ni wadini?

Kuhusu demokrasia kuiminya walimkosoa Magufuli!

Kuhusu corona walimpinga Magufuli!

Sasa udini wao unatokea wapi?
 
Sijui wanachelewa nini kutoa msimamo wao, hapa ndipo utakapowaona mawakala wa shetani wanavyoanza kumwaga povu.

Tanganyika yetu imetekwa, lazima sote kwa pamoja tusimame kuikomboa kutoka mikononi mwa mwarabu, na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
lazima wausome mkataba na si swala la kukurupuka tu.hiyo issue ni kubwa na ina madhara makubwa kwa taifa.
 
Hapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
Hapo ngoma tamu sasa,ngoja inyeshe, tuone panapovuja,hagaya kalikoroga kwa wenye inchi,namuona anavyoenda kusalimu amri na kupoteza matumaini ya kugombea kwa muula wa pili.

Mbowe akichanga karata zake,yaani itakuwa sawa unapewa penati dk za nyongeza,ukikosa tutakuita fala
 
NAWASHAURI HAO MAASKOFU WATAFUTE UONGOZI WA MKOA WAENDE WAKASOME MKATABA HUSIKA PIA WAPEWE KOPI, WAACHANE NA UDAKU WA MITANDAONI WA CHADOMO, ITAWALINDIA HESHIMA YAO!, VIKAO VYA SIRI HAVIWALETEI SIFA SAFI, HATA MASHEIKH PIA WAKITAKA KUFAHAMU NINI KIPO MNAKARIBISHWA KWA MKUU WA MKOA UKAPATA TAARIFA SAHIHI.

Unalijua kanisa katoliki au unalisikia?all roads lead to rome,
 
Umeeleza vyema sana.
Kwa maelezo zaidi ambao hawajaelewa.

IGA ni serikali zinakubaliana
Hapa ni serikali mbili zinakubaliana..serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania (Minus Zanzibar) inaingia makubaliano na serikali ya nchi ya Dubai.

Dubai sio nchi nchi ni Emirates
 
Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.

"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."

"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."

"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."

Chanzo.
Wakae tu nchi haiwezi kusimama kwa ajili yao
 
Mkoloni mzungu wakati anaondoka si mlikua mnalia makanisani Kama mmefiwa,tangu lini mnachukia ukoloni!?
Mkoloni mzungu lazima aliliwe kwa sababu alijenga mashule, hospitals,miundombinu ya bandari,reli, barabara, viwanja vya ndege nk.Aliacha secular education ambayo naamini ndo inayokupa mkate wako wa kila siku!

Ninachoelewa mwarabu aliacha utamaduni wa kufuga ndevu,kuvisha gubigubi wanawake maguo meusi hata wakati wa joto.Aliendeleza ujinga na uvivu wa kukaa vibarazani na kushindia misikitini.Aliacha utamaduni wa kijinga wa kuoa na kuzaa wake na watoto wengi bila matunzo na talaka zenye sababu za kijinga.Ushahidi: angalia maeneo yaliyoshika tamaduni za mashariki na magharibi.Jibu unalo ni maeneo yapi yako mbele kimaendeleo!
 
Mkoloni mzungu lazima aliliwe kwa sababu alijenga mashule, hospitals,miundombinu ya bandari,reli, barabara, viwanja vya ndege nk.Aliacha secular education ambayo naamini ndo inayokupa mkate wako wa kila siku!

Ninachoelewa mwarabu aliacha utamaduni wa kufuga ndevu,kuvisha gubigubi wanawake maguo meusi hata wakati wa joto.Aliendeleza ujinga na uvivu wa kukaa vibarazani na kushindia misikitini.Aliacha utamaduni wa kijinga wa kuoa na kuzaa wake na watoto wengi bila matunzo na talaka zenye sababu za kijinga.Ushahidi: angalia maeneo yaliyoshika tamaduni za mashariki na magharibi.Jibu unalo ni maeneo yapi yako mbele kimaendeleo!
Siku hizi tunaangalia tu wanapooana wanaume kwa wanaume na kufukuana mitaro basi tunaelewa tu mambo ya mzungu hayo
 
Back
Top Bottom