Baraza la maulid Kitaifa limekaa kama mkutano mkuu wa NEC

Baraza la maulid Kitaifa limekaa kama mkutano mkuu wa NEC

Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Hiyo ndiyo CCM ya sasa.
 
Yule Sheikh wa mwisho kuzungumza anaitwa Jongo kanikera sana Sheikh mkuu amuonye asilete uchawa wake kwenye hafla za kidini akitaka kuleta siasa atafute majukwaa ya kisiasa.
Nimemuona mkuu, amekaa kama katibu mwenezi wa chama
 
Nimeidharau sana Bakwata, Ally Kibao kauliwa wameufyata.
Kwani si marehemu Ally Kibao alikuwa CHADEMA, hili kweli huwezi pia kulikumbuka?

Jambo pekee sasa hivi linalo watambulisha waTanzania, kwanza kabisa ni kama wewe ni CCM, au siyo CCM; siyo u-Tanzania wao tena.
 
Ungemalizia tu kwamba ni ya wakristo..!! maana kila kibaya kilichopo kwa waislamu, ni wakristo wamekianzisha. Hii ndo imani yao
Hili linahitaji maelezo ya kina kueleweka kwa wengi mkuu 'Ngalikihinja'. Sijui kama utaeleweka kirahisi na wengi hapa.
 
Duh ngoja waje wale jamaa wa I proud to be Muslim
Unawachokoza!! Utaiweza muziki wao? Ngoja kuna wawili nawaona hapa wanakung'uta wamevua makobazi, wameyakung'uta na kuyaweka ndani ya mifuko ya kanzu ili waingie humu, bora ukimbie au ujifiche.
 
BAKWATA ilianzishwa na Serikali. Ni taasisi ya Serikali ya kuwaswaga waislam..Ndiyo maana viongozi wa dini ya Kiislam wasiotaka kupokea maagizo toka CCM, walijitenga na BAKWATA, na CCM ikawafanya kuwa maadui zake. Recall, mateso aliyopitia shekhe Ponda.

Ukiishasikia BAKWATA ipo kwenye mkutano, tegemea huo mkutano hautakuwa tofauti na mkutano wa UVCCM au UWT.
Ilianzishwa kama chombo cha CCM na ilianzishwa na Mwl Nyerere akishirikiana na Paulo Bomani
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Mkuu huko Lumumba kwa sasa hakuna hakuna watu wenye akili ni matope tu
 
Hizi dini zote kuu za hapa Tanzania isalam na ukristo zinachangamoto zake.
Waumini wa Uisilam na masheikh wao wanaunakfi na fitina vibaya sana toka enzi za mtume wanakusifia usoni kisogoni wanakung'ong'o.

ukristo una usaliti balaa ndio maana hawakawii kuanzisha makanisa mapya ya kila aina kila sikum
Dini Zote Takataka tuu
 
Hili linahitaji maelezo ya kina kueleweka kwa wengi mkuu 'Ngalikihinja'. Sijui kama utaeleweka kirahisi na wengi hapa.
Nakuelewa sana. Hawa watu, hata lile eneo lao la pale karibu na Kibasila Sec, Dar, waliloliuza, wanatamani waseme wakristo ndo tumeuza..!! Na hivi lipo karibu na Parokia ya Chang'ombe, ndo kabisaaa...!!!
 
Tatizo ni hamna shule... Shule zao zinaburuzaga mkia 🤣🤣
Ni wakuhurumiwa kwakweli...
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Duh.
Screenshot_2024-09-12-15-13-25-78.png
 
Kwani si marehemu Ally Kibao alikuwa CHADEMA, hili kweli huwezi pia kulikumbuka?

Jambo pekee sasa hivi linalo watambulisha waTanzania, kwanza kabisa ni kama wewe ni CCM, au siyo CCM; siyo u-Tanzania wao tena.

..inasemekana familia ya Mzee Ally Kibao wana undugu na marehemu Sheikh Hemed Bin Juma Bin Hemed, aliyepata kuwa Mufti wa Bakwata.

..Na Mufti Sheikh Zubery Bin Ally alikuwa mwanafunzi na msaidizi wa Mufti Hemed Bin Juma Bin Hemed.

..Sasa huu msimamo kwa Mufti Zubeiry kuhusu kuuwawa kwa Mzee Ally Kibao ni jambo ambalo linashangaza, na kusikitisha.
 
Back
Top Bottom