Baraza la maulid Kitaifa limekaa kama mkutano mkuu wa NEC

Baraza la maulid Kitaifa limekaa kama mkutano mkuu wa NEC

Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Bakwata ni jumuia ndani ya CCM yenye jukumu la kuwaghilbu Waislamu waiunge mkono CCM nyakati za uchaguzi
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Maelekezo kutoka ju
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Ulitakaje
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Kitu pekee wanachoweza ni kula na kuvimbiwa ndio maana kila ukaapo nao karibu ni harufu za ushuzi tuuu unazisikia... hopeless!!
 
Bakwata ni tawi la ccm kama UWT. Tu masheikh ubwabwa wamejaa mule.
Ponda issa ponda ameongea vema swala la usalama wa raia
 
BaKwaTa ilianzishwa na Mgalatia Nyerere. Kwa hiyo usishangae kusimamia upande wa serikali ya ccm.
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
20240916_052739.jpg
 
Kutoka Geita.

Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.

Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.

Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.

Hongereni sana CCM.
Unafiki mwingi ili wapate vyeo na pesa.
Kumbe wananomoa nchi yao.
 
Hizi dini zote kuu za hapa Tanzania isalam na ukristo zinachangamoto zake.
Waumini wa Uisilam na masheikh wao wanaunakfi na fitina vibaya sana toka enzi za mtume wanakusifia usoni kisogoni wanakung'ong'o.

ukristo una usaliti balaa ndio maana hawakawii kuanzisha makanisa mapya ya kila aina kila sikum
Kwa hiyo majaliwa akaondoka bichwa limevimba huku mashekhe wakikunja bahasha zao na kuingia mtaani na kuwaeleza wananchi tulikuwa tunazuga tu.
 
actually,
nafatilia kwa karibu kujidhirisha na jambo hilo ili niwe na haki na uhuru wa kuchangia vizuri,

hata hivyo,
nawapenda sana, na nina wapongeza mno viongozi wa dini wanao hubiri amani na utulivu kwa waTanzania, na wanao sema ukweli hadharini na huku wakiungana na serikali kuliunganisha Taifa na kuwaleta wananchi pamoja ...

na kwakweli vitu haramu, tunapaswa kuvipinga kwa pamoja kama Taifa 🐒
😄

Ova
 
Back
Top Bottom