Hiyo ndiyo CCM ya sasa.Kutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Nimemuona mkuu, amekaa kama katibu mwenezi wa chamaYule Sheikh wa mwisho kuzungumza anaitwa Jongo kanikera sana Sheikh mkuu amuonye asilete uchawa wake kwenye hafla za kidini akitaka kuleta siasa atafute majukwaa ya kisiasa.
Ungemalizia tu kwamba ni ya wakristo..!! maana kila kibaya kilichopo kwa waislamu, ni wakristo wamekianzisha. Hii ndo imani yaoHiyo BAKWATA ni hopeless kabisa!
Kwani si marehemu Ally Kibao alikuwa CHADEMA, hili kweli huwezi pia kulikumbuka?Nimeidharau sana Bakwata, Ally Kibao kauliwa wameufyata.
Hili linahitaji maelezo ya kina kueleweka kwa wengi mkuu 'Ngalikihinja'. Sijui kama utaeleweka kirahisi na wengi hapa.Ungemalizia tu kwamba ni ya wakristo..!! maana kila kibaya kilichopo kwa waislamu, ni wakristo wamekianzisha. Hii ndo imani yao
Unawachokoza!! Utaiweza muziki wao? Ngoja kuna wawili nawaona hapa wanakung'uta wamevua makobazi, wameyakung'uta na kuyaweka ndani ya mifuko ya kanzu ili waingie humu, bora ukimbie au ujifiche.Duh ngoja waje wale jamaa wa I proud to be Muslim
Ilianzishwa kama chombo cha CCM na ilianzishwa na Mwl Nyerere akishirikiana na Paulo BomaniBAKWATA ilianzishwa na Serikali. Ni taasisi ya Serikali ya kuwaswaga waislam..Ndiyo maana viongozi wa dini ya Kiislam wasiotaka kupokea maagizo toka CCM, walijitenga na BAKWATA, na CCM ikawafanya kuwa maadui zake. Recall, mateso aliyopitia shekhe Ponda.
Ukiishasikia BAKWATA ipo kwenye mkutano, tegemea huo mkutano hautakuwa tofauti na mkutano wa UVCCM au UWT.
Mkuu huko Lumumba kwa sasa hakuna hakuna watu wenye akili ni matope tuKutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Dini Zote Takataka tuuHizi dini zote kuu za hapa Tanzania isalam na ukristo zinachangamoto zake.
Waumini wa Uisilam na masheikh wao wanaunakfi na fitina vibaya sana toka enzi za mtume wanakusifia usoni kisogoni wanakung'ong'o.
ukristo una usaliti balaa ndio maana hawakawii kuanzisha makanisa mapya ya kila aina kila sikum
Nakuelewa sana. Hawa watu, hata lile eneo lao la pale karibu na Kibasila Sec, Dar, waliloliuza, wanatamani waseme wakristo ndo tumeuza..!! Na hivi lipo karibu na Parokia ya Chang'ombe, ndo kabisaaa...!!!Hili linahitaji maelezo ya kina kueleweka kwa wengi mkuu 'Ngalikihinja'. Sijui kama utaeleweka kirahisi na wengi hapa.
Duh.Kutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Kwani si marehemu Ally Kibao alikuwa CHADEMA, hili kweli huwezi pia kulikumbuka?
Jambo pekee sasa hivi linalo watambulisha waTanzania, kwanza kabisa ni kama wewe ni CCM, au siyo CCM; siyo u-Tanzania wao tena.
Kassim Bhana Haaminiki TenaBaba wa uongo..
View attachment 3097536