CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Bakwata ni jumuia ndani ya CCM yenye jukumu la kuwaghilbu Waislamu waiunge mkono CCM nyakati za uchaguziKutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Maelekezo kutoka juKutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
UlitakajeKutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Kitu pekee wanachoweza ni kula na kuvimbiwa ndio maana kila ukaapo nao karibu ni harufu za ushuzi tuuu unazisikia... hopeless!!Kutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Hahahahaahah 😃 😃 😃Afu hawa ndo wanakomaa kuishabikia HOUTH na HAMAS eti wataleta mageuzi ya MIDDLE EAST huku hapa tz wakipewa sahani ya birian wanakenua hiiiiiiiii
Duh aisee hii n noma, unafiki nje nje hadi kwa viongozi wa dini.salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Mtume gani alifanya ishara ya msalaba?Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.Kutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Unafiki mwingi ili wapate vyeo na pesa.Kutoka Geita.
Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa.
Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji.
Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la maulid na mkutano wa CCM.
Hongereni sana CCM.
Kwa hiyo majaliwa akaondoka bichwa limevimba huku mashekhe wakikunja bahasha zao na kuingia mtaani na kuwaeleza wananchi tulikuwa tunazuga tu.Hizi dini zote kuu za hapa Tanzania isalam na ukristo zinachangamoto zake.
Waumini wa Uisilam na masheikh wao wanaunakfi na fitina vibaya sana toka enzi za mtume wanakusifia usoni kisogoni wanakung'ong'o.
ukristo una usaliti balaa ndio maana hawakawii kuanzisha makanisa mapya ya kila aina kila sikum
This is very wrongKitu pekee wanachoweza ni kula na kuvimbiwa ndio maana kila ukaapo nao karibu ni harufu za ushuzi tuuu unazisikia... hopeless!!
Being Muslim have nothing to do with being BAKWATA.Duh ngoja waje wale jamaa wa I proud to be Muslim
😄actually,
nafatilia kwa karibu kujidhirisha na jambo hilo ili niwe na haki na uhuru wa kuchangia vizuri,
hata hivyo,
nawapenda sana, na nina wapongeza mno viongozi wa dini wanao hubiri amani na utulivu kwa waTanzania, na wanao sema ukweli hadharini na huku wakiungana na serikali kuliunganisha Taifa na kuwaleta wananchi pamoja ...
na kwakweli vitu haramu, tunapaswa kuvipinga kwa pamoja kama Taifa 🐒