Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

Status
Not open for further replies.

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca

UPDATES
Ameongezeka Kitila Mkumbo
Mwigulu kapewa ilomegwa
 
Hapo kwa makamba labda kama anapelekwa sehemu nyingine nzuri zaidi lakini sio kuwekwa bench , mtoto mpendwa
 
 
Umetumwa na Makamba na Mbalawa ili uwatetee na kuwanusuru.
 

Unarusha watu roho na moyo, si ungesubiri Eid ipite jamani
 
Mwigulu anabaki au anaondoka!?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…