britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hapo kwa makamba labda kama anapelekwa sehemu nyingine nzuri zaidi lakini sio kuwekwa bench , mtoto mpendwaKuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Na hili ndiyo tatizo la msingi. Kutokuwa mwizi kunafananishwa na uzuzu.
Watanzania ni wale wale tu wote weziwezi na wajanja wajanja!!
Umetumwa na Makamba na Mbalawa ili uwatetee na kuwanusuru.Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Ndiyo wapi huko?Tanga kwa Mandondo
Katuingiza Chaka[emoji16]Tujiunge na wenzetu waliopo Msoga ili kukuletea matangazo ya moja kwa moja...
Ila ntakuwa wa mwisho kuamini kuwa Kipara ataondolewa kwenye Cabinet!
Mwigulu anabaki au anaondoka!?Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca