Amebana ameachiaKuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca