Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

Status
Not open for further replies.
Mkuu MTAZAMO , kwanza niendelee kukupongeza wewe ni miongoni mwa wana JF very objective.

Kuna viongozi wanasiasa wa aina tatu na sub groups mbili.
1. Born leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to the people!.
2. Made leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to those who made them!.
3. Self Made Leaders who are not leaders but technocrats, who are responsible only to themselves!.

1. Born leaders who are (a) leaders are responsible to the people, hawa ni wale viongozi wanasiasa waliozaliwa na kipaji cha uongozi kwa wito wa utumishi wa watu, hawa ni selfless leaders ambao kwao ni taifa kwanza, na wameutafuta uongozi kwa juhudi zao wenyewe binafsi kihalali bila kubwebwa na mtu au kutumia rushwa au ukwasi wao kununua uongozi, hivyo wanawajibika kwa watu, na hawawajibiki kulipa hisani kwa yeyote!. Hawa ni viongozi kama Nyerere, Karume Snr, Jumbe, Kawawa, Mkapa na wengine, they are born leaders, wameutafuta uongozi kwa juhudi zao binafsi bila kubwebwa na yeyote au kutumia rushwa, hivyo they were indebted to no one!, na wanaongoza kwa mifano.

Naomba kuliruka kundi la pili la
2. Made leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to those who made them!, na kurukia kundi la
3. La Self Made Leaders who are not leaders but technocrats, who are responsible only to themselves!, kwenye kundi hili ndio kuna Magufuli, huyo ni self made leader ambaye hakuwa a politician but a technocrat ndio maana aliongoza kwa nyapara type na hakuwa indebted kulipa fadhila kwa yeyote ndio maana alitawala as if he own this country ni mali yake na anaweza kufanya lolote!.

Sasa nirudi kwa kundi la pili la
2. Made leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to those who made them!. Kundi hili lina Mwinyi Snr, Karume Jnr, JK, Mwinyi Jnr na Samia. They are made leaders hivyo they are indebted kwa those who made them, ni watu wa shukrani!.

Ni kweli Samia ana nia ya dhati ya kuwania urais 2025 ila ana changamoto 2. Changamoto ya kwanza ni jee ni yeye aliyepangiwa na YEYE kwa 2025?. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Changamoto ya pili ni hizi sauti, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Awamu ya hisani ni hii awamu ya kwanza pekee, Samia akiingia awamu ya pili, hii sasa itakuwa ni awamu yake ya self made leader, atakuwa hawajibiki kulipa fadhila kwa yeyote na hapo sasa ndio Tanzania na Watanzania tutamfaidi the real Samia ambaye ni huyu Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Let's put our fingers crossed ili 2025 awe Samia, Tanzania na Watanzania tumfaidi Rais Samia kikamilifu!
P
Magufuli muweke kundi la kina Nyerere.He was a visionary leader ila alizungukwa na wajinga wengi walioshindwa kumuelewa,the same kwa Mwalimu Nyerere alikuwa visionary ila alikosa watu wa kuelewa anataka nini!
Watu kama Magufuli huwa tunawaita "Situational leaders",anaikuta nchi ipo ovyoovyo then anatoa direction!
 
Mkuu MTAZAMO , kwanza niendelee kukupongeza wewe ni miongoni mwa wana JF very objective.

Kuna viongozi wanasiasa wa aina tatu na sub groups mbili.
1. Born leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to the people!.
2. Made leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to those who made them!.
3. Self Made Leaders who are not leaders but technocrats, who are responsible only to themselves!.

1. Born leaders who are (a) leaders are responsible to the people, hawa ni wale viongozi wanasiasa waliozaliwa na kipaji cha uongozi kwa wito wa utumishi wa watu, hawa ni selfless leaders ambao kwao ni taifa kwanza, na wameutafuta uongozi kwa juhudi zao wenyewe binafsi kihalali bila kubwebwa na mtu au kutumia rushwa au ukwasi wao kununua uongozi, hivyo wanawajibika kwa watu, na hawawajibiki kulipa hisani kwa yeyote!. Hawa ni viongozi kama Nyerere, Karume Snr, Jumbe, Kawawa, Mkapa na wengine, they are born leaders, wameutafuta uongozi kwa juhudi zao binafsi bila kubwebwa na yeyote au kutumia rushwa, hivyo they were indebted to no one!, na wanaongoza kwa mifano.

Naomba kuliruka kundi la pili la
2. Made leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to those who made them!, na kurukia kundi la
3. La Self Made Leaders who are not leaders but technocrats, who are responsible only to themselves!, kwenye kundi hili ndio kuna Magufuli, huyo ni self made leader ambaye hakuwa a politician but a technocrat ndio maana aliongoza kwa nyapara type na hakuwa indebted kulipa fadhila kwa yeyote ndio maana alitawala as if he own this country ni mali yake na anaweza kufanya lolote!.

Sasa nirudi kwa kundi la pili la
2. Made leaders who are (a) leaders (b) technocrats who are responsible to those who made them!. Kundi hili lina Mwinyi Snr, Karume Jnr, JK, Mwinyi Jnr na Samia. They are made leaders hivyo they are indebted kwa those who made them, ni watu wa shukrani!.

Ni kweli Samia ana nia ya dhati ya kuwania urais 2025 ila ana changamoto 2. Changamoto ya kwanza ni jee ni yeye aliyepangiwa na YEYE kwa 2025?. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Changamoto ya pili ni hizi sauti, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Awamu ya hisani ni hii awamu ya kwanza pekee, Samia akiingia awamu ya pili, hii sasa itakuwa ni awamu yake ya self made leader, atakuwa hawajibiki kulipa fadhila kwa yeyote na hapo sasa ndio Tanzania na Watanzania tutamfaidi the real Samia ambaye ni huyu Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Let's put our fingers crossed ili 2025 awe Samia, Tanzania na Watanzania tumfaidi Rais Samia kikamilifu!
P
[emoji1787][emoji1787] japo umeandika ukweli ila sijui kwanini umenichekesha.
 
Sijui kwa nini baadhi ya watu au karibu wengi wetu hufurahia wenzetu kuachishwa au kufukizwa kazi.

Ninajua kabisa kwamba, yako mazingira na pia sheria zinaelekeza hayo kufanyika. Lakini utaratibu huu hasa katika nafasi ambazo ni za kijamii au kitaifa unapaswa ufanyike kwa umakini wa hali ya juu sana.

Kwa nini ufanyike kwa umakini wa hali ya juu sana? Kwa sababu yako mambo hayafanyiki inavyotakiwa kuwa; kutokana na sheria na mfumo. Kwa hiyo katika mazingira hayo, utaona kwamba kuna matatizo mawili. Tatizo la kwanza ni sheria na mfumo na tatizo la pili ni nani aliye na mamlaka ya kubadili sheria ambazo kwazo huweka mfumo.

Sasa wakati tunafikiri kwamba fulani hafanyi inavyotakiwa katika sekta yake ni, pia tufikiri sheria na mifumo yetu ipo kama inavyotakiwa kuwa?

Na au ni mara ngapi katika historia ya nchi yetu tangu uhuru, tumesikia watu wakifukuzwa au kuachishwa kazi? Na je baada ya hayo yote kufanyika mambo yameenda kama inavyotakiwa kuwa?
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Nasikia Cyprian Musiba nae anaweza kuukwaa uwaziri 😉 😉
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Haisaidii chochote sisi tuna taka kubadili mfumo huu mbovu
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca

Wizara ya ujenzi Angefaha Ridhiwani kikwete
 
Tatizo sio kubadilisha watu tatizo ni kudeal na mfumo

Hizi nguvu angezitumia kuboresha Sheria na kuleta katiba mpya

Watanzania ni wale wale tu wote weziwezi na wajanja wajanja!!

Nchi ya watu wa hovyo!!!.
Mheshimiwa Pascal Mayalla Leo ametufundisha aina Tatu za viongozi. Tuamue tunachagua aina ipi ya viongozi kushughulikia kero ulizotaja!!
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Kengele ya Kwanza hio, niongezee dakika 2
 
Labda Mbalawa lakini sio January marope you know why ? Because madamu presidaa hana backup huku bara na kama ukiangalia kwa jicho LA mwewe timu msoga ndioi IPO kwenye
Control tower kumonitor nchi na ma rope wrote ni timu msoga,Sana sana anachowezwa kufanywa marope ni kuhamishwa wizara na sio kuwa fired. .
Screenshot_20230419-124449.jpg
Amekosea nini mapero
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom