mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huko v8 zinapishana tu hyu kaingia hyu katoka....Tanga kwa Mandondo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko v8 zinapishana tu hyu kaingia hyu katoka....Tanga kwa Mandondo
Nchi ya drama zisizoishaKuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Acha kumwaga mboga!Kuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Inner source reportingKuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Ha ha ha haMiaka ya uchaguzi waganga wanapiga hela kuliko wauza ngada[emoji1787]
Mtasubiri sanaKuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
😅😅Miaka ya uchaguzi waganga wanapiga hela kuliko wauza ngada🤣
Ni ngumu kwa wakati huu wa bajeti atasubiri wamalize kuwasilisha bajeti zao bungeni lakini pia Makamba ni shareholder wa serikali ya awamu ya sita na Mbarawa ni makwetuKuna source yangu Muhimu wenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbali mbali
Je BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Nyie watu wa idara wa hii nchi ni wa ovyoo sana mambo kama haya mnayofanya mlishawahi kuona nchi gani inafanya ujinga huu.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Akimrudisha Dr Bashiru atakuwa kala bingo. Kwa nini? Ni kwa sababu Dr Bashiru ni kama alivyo Polepole, hao ni asset na ndiyo wanaoonekana na ku reflect Dkt Magufuli na falsafa zake. Akimleta ndani ya mfumo Dkt Bashiru maana yake ataua upinzani ktk kukipata kiti cha 2025 na pia Dkt Bashiru ni mwenye msimamo hata lamba asali ya Mama maana yake ata balanceKuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
tetesi hii ni sawa na ndoto za aliacha, hakuna kitu kama hichoMwigulu anabaki au anaondoka!?
Hakuna aliyewahi kutabiria Mabadiliko kwenye Serikali ya Mama Hadi Sasa..Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
.tetesi hii ni sawa na ndoto za aliacha, hakuna kitu kama hicho
Umerudi lini Toka Urusi?Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca