Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

Status
Not open for further replies.
Akimrudisha Dr Bashiru atakuwa kala bingo. Kwa nini? Ni kwa sababu Dr Bashiru ni kama alivyo Polepole, hao ni asset na ndiyo wanaoonekana na ku reflect Dkt Magufuli na falsafa zake. Akimleta ndani ya mfumo Dkt Bashiru maana yake ataua upinzani ktk kukipata kiti cha 2025 na pia Dkt Bashiru ni mwenye msimamo hata lamba asali ya Mama maana yake ata balance
Binafsi natamani watu kama kina Bashiru (Team JPM) aendelea kuwaacha nje ya mfumo, aendelee tu na akina Makamba et al, kuna kitu nataka kujifunza.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli yanayoendelea bungeni yanasikitisha sana.

Natamani Watanzania waamke kutoka usingizi wa pono tuwavue UWAZIRI mawaziri wote kudadeki.

Yaani jinsi Ndalichako alivyotetea KIKOKOTOO na Jenista Mhagama alivyotetea ajira ambayo ilikuwa hoja ya Esther Matiko INAUMIZA SANA.
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca

Mkuu britanicca heshima kwako.
Kwanini umetumika kumzuia au kumchelewesha Mh. Raisi kufanya mabadiliko ya Baraza Mawaziri kwa wakati ili kuleta tija kwenye taifa letu? Mkuu britanicca kwa ninavyokufahamu kupitia mabandiko yako ni dhahiri wahusika uliowataja wamekutumia uvujishe siri za kilichopo "pipeline" ILI wabadiliko yasifanyike?

Pole kwa usaliti wako kwa Taifa la Tanzania
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
2025 maandalizi mapema
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Mawaziri aliwateua mwenyewe, anayo kila haki kuwabadilisha aonavyo na wakati umfaao.
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca

Kufanyiwa mabadiliko hivi karibuni, hivi karibuni ndio lini? Maana siku hizi umekuwa na uzushi wa kitoto sana.
 
Tatizo sio kubadilisha watu tatizo ni kudeal na mfumo

Hizi nguvu angezitumia kuboresha Sheria na kuleta katiba mpya

Watanzania ni wale wale tu wote weziwezi na wajanja wajanja!!

Nchi ya watu wa hovyo!!!.
Watu wale wale, Chama kile like na wezi ni wale wale!
 
Mkuu britanicca heshima kwako.
Kwanini umetumika kumzuia au kumchelewesha Mh. Raisi kufanya mabadiliko ya Baraza Mawaziri kwa wakati ili kuleta tija kwenye taifa letu? Mkuu britanicca kwa ninavyokufahamu kupitia mabandiko yako ni dhahiri wahusika uliowataja wamekutumia uvujishe siri za kilichopo "pipeline" ILI wabadiliko yasifanyike?

Pole kwa usaliti wako kwa Taifa la Tanzania
Haya mkuu wangu hayakwepeki Sikukuu hizi zikiisha zinaweza acha mtu analia,

Japo kuna wanaomwambia Mama asubiri bajeti ipite ndo afanye Mabadiliko.

Britanicca
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Hiv zile za "niko kwenye kamati ya uteuzi,Jina lako linasemwa semwa.unaweza kujiongeza ili lithibitishwe"
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Afanye asifanye ndo itabadilisha nini
 
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa

Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa

Na wakurugenzi mbalimbali

Je, BASHIRU anarejea kivingine ?

Tu subiri week hii na ijayo


Britanicca
Kama Samia hatakuwa amejifunza,itakuwa bad luck for her.Ushauri wangu kwake wa bure ni huu:anybody affiliated to Kikwete in any way or form ni fisadi in some way,aachane naye,watu wazuri wapo.Kwa bahati mbaya sana,nadiriki kusema amezunguukwa na wahuni na mafisadi,watu ambao nia yao ni kumharibia na kuiibia nchi.

Inasikitisha kwamba watu wazuri Samia amewasukumia mbali kwa sababu ya ushauri mbovu.Watu kama Bashiru na Karamagi ni assets kwa Taifa letu, they should come back,chuki binafsi na majungu hayatatusaidia sana Kama nchi.Ujinga kama Sukuma gang etc.should not be tolerated,there is nothing like Sukuma gang.Hao wenye notions hizo ndio wezi nchini mwetu na wanaoleta uhasama miongoni mwa Watanzania,wasivumiliwe.
 
Kubadilisha waziri 1 inagharimu kiasi gani cha pesa za walipa kodi? kumtoa maana yake ulikosea kumuweka. sasa gharama alipe nani?
Tuleteeni katiba mpya turekebishe uzembe huu wa kuteua kimakosa kwa kuangalia juu juu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom