Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Safi mkuu nafurahi kuona unawajibu hawa watoto kitaalamu zaid

Kudos sana mkuu wa bodi
Sasa mkuu Kwa nini ashindwe kumpunzisha?? Ili Baraza livunjwe. Atafute PM mwingine. Why mnafanya kutowezekana.

Tulishuhudia hata speaker akiwakemea mawaziri. Wazwaz. So haishindakani ikiwa PM hafanyi vizuri
 
Huyo Bibi Tozo hana MAAJABU yoyote.

Hata akibadili BARAZA mara 200 litabaki vile vile, Kwasababu Watoto wa VIGOGO wanaovuruga HAWEZI kuwatoa.

Kwahiyo MAKAMBA, NAPE, MWIGULU, RIDHIWANI, MCHENGERWA wataendelea KUWEPO.
Ndiyo shida ya kutoa vyeo kwa kujuana, hakuna utendaji unaonekana wa Serikali kwa jamii.

Mwisho wa Siku Mwanachi haoni impact ya Kodi yake
 
Ndio maana nawaita wewe na wenzako Ni wapumbavu,Kama umeshikiwa akili bakia hivyo hivyo.
Kwahiyo Mkuu huoni tofauti ya Kalemani na February kwenye hiyo Wizara ya Nishati?

Au mwenzetu huu mgao wa umeme uliopo unanufaika nao Chief?
 
Hapo kwa February watu wanajiuliza mbona Wakati yupo Kalemani hakukuwa na mgao wa umeme na miradi ya REA kule Vijijini ilikuwa inakimbia?
Kuna scandal Moja hivi enzi za mwamvita na boff wake. Barua ikivuja from Vodacom..

Labda jamaa anapeleka huko. Maana mwamv alimwambia boyff asubiri kijana akishika wizara
 
Nadhani reshuffle ya kumtoa huyu kumuweka kule na huyu akae hapa sio kuvunja baraza as such.

Bila shaka Jakaya na Yusuf washapeleka wish list yao na Mama ataact accordingly. State capture!
 
Kuna scandal Moja hivi enzi za mwamvita na boff wake. Barua ikivuja from Vodacom..

Labda jamaa anapeleka huko. Maana mwamv alimwambia boyff asubiri kijana akishika wizara
Hiyo scandal sijaisikia chief, ukiweza tuwekee nasi tuisome hapa.

Ila Hawa jamaa inaonekana Kuna deal wameingia na Wafanyabiashara wa majenereta na Sola ili wawe wanapiga hela.

Yaani saivi ukiwa na ki stationary tu lazima ununue na jenereta ili uweze kufanya kazi, ukikosa Hilo jenereta watoto lazima walale njaa 😢
 
Hivi mkuu mfano Rais anaweza kumtumbua waziri mkuu na akavunja ubunge uchaguzi wa wabunge ukaitishwa upya?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nadhani inawezekana,lakn inatakiwa avunje bunge lote na nchi iludi kwenye uchaguzi mkuu, mpaka na yeye mh. Rais akagombee upya kitu ambacho kwa nchi kama Tanzania sidhani km kinaweza tokea.
 
Hiyo scandal sijaisikia chief, ukiweza tuwekee nasi tuisome hapa.

Ila Hawa jamaa inaonekana Kuna deal wameingia na Wafanyabiashara wa majenereta na Sola ili wawe wanapiga hela.

Yaani saivi ukiwa na ki stationary tu lazima ununue na jenereta ili uweze kufanya kazi, ukikosa Hilo jenereta watoto lazima walale njaa 😢
Kitambo Sana Sina hiyo.
 
Kwahiyo Mkuu huoni tofauti ya Kalemani na February kwenye hiyo Wizara ya Nishati?

Au mwenzetu huu mgao wa umeme uliopo unanufaika nao Chief?
Nachokuona mjinga na imeshikiliwa akili Ni Mambo yafuatayo

1.Waziri ndio ameleta ukame?

2.Pili Hakuna mda umeme uliwahi kuacha kukatika Nchi hii Hakuna,na sababu ziko wazi Ni za kitaalamu sio swala la Waziri.Tanesco wanasema wanahitaji Til.4 kubadili njia zote za usambazaji nk ili kuzuia kukatika katika.

3.Usikariri sio kila Mkoa Kuna mgao au shida ya umeme,mikoa ya Songwe,Rukwa,Katavi,Kagera na Kigoma,Mtwara Wala hakuna kukatika katika hovyo kwa umeme kwa sababu tunatumia umeme wa Nchi Jirani na ule wa kuzalishwa ndani ya Mkoa sionwa grid ya Taifa.
 
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri

Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma [emoji3][emoji3][emoji3]!
Mkeka wa Dec, wandewa matumbo jotrooo
 
Back
Top Bottom