Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Kweli ukiwa unakula hutakiwi kuongea.

Unaongea kuhusu hiyo Mikoa utasema Tanzania ni kisiwa, aliyekupa hizo taarifa mwambie arejee Tena Site. Hiyo Mikoa bado ina mgao Chief, wengine tumewekeza hiyo Mikoa na kufanya vibiashara vyetu huko.

Anyways, ngoja tusubirie Ukame uishe ili huo Mgao uishe na sisi tuache kutumia haya majenereta yetu
Acha kupotosha wewe,Basi umewekeza na unaishi peke yako huko ndio maana unasema Kuna mgao..
 
Avunje tu Baraza la Mawaziri, PM atoke tu maana sioni anachofanya na makamu wake. Pili Simbachawene na wenzie wenye kubweteka kama yeye watolewe
Wataochukua nafasi hizo watakua wazuri kuliko hao wanaotoka?
 
Acha kupotosha wewe,Basi umewekeza na unaishi peke yako huko ndio maana unasema Kuna mgao..
Naomba nikulipe perdiem ya siku 2 na nauli ya ndege kuja na kurudi uje ushuhudie ninachosema.

Anyways, tunasubiri mvua zinyeshe ili mabwawa yajae Maji walau huu mgao wa umeme uishe kabisa.

Kiu yetu ni kuona tunapunguza gharama za uendeshaji kwa kutumia umeme wa Grid ya Taifa na sio haya majenereta ambayo uendeshaji wake umekuwa wa gharama as unajua Diesel/Petrol zipo Juu
 
Kwanini unaondoa option ya kuvunjwa?

Inawezekana Raisi akavunja kabisa Baraza la mawaziri ili aanze upya. Kama atafanya hivyo atakuwa amefanya jambo sahihi.
Impossible, majaliwa ni PM aliefit vizuri sana pale,,
 
Huyo Bibi Tozo hana MAAJABU yoyote.

Hata akibadili BARAZA mara 200 litabaki vile vile, Kwasababu Watoto wa VIGOGO wanaovuruga HAWEZI kuwatoa.

Kwahiyo MAKAMBA, NAPE, MWIGULU, RIDHIWANI, MCHENGERWA wataendelea KUWEPO.
Hao uliowataja ni wachapakazi wazuri,, taja wengine
 
Sasa mkuu Kwa nini ashindwe kumpunzisha?? Ili Baraza livunjwe. Atafute PM mwingine. Why mnafanya kutowezekana.

Tulishuhudia hata speaker akiwakemea mawaziri. Wazwaz. So haishindakani ikiwa PM hafanyi vizuri
Majaliwa yupo yupo sana mkuu,, hakuna mtu wa kumu outperform kwa sasa
 
Wabongo wapigaji hata aje nani,, shida ya hii nchi ni viongozi wa chini, kuanzi VEO hadi wakurugenzi na makatibu wakuu,, hawa ndo wanahitaji kuondolewa wote,, mawaziri wako vizuri tu
Viongozi wa chini hawana jeuri ya kupiga Kama wa Juu hawapigi
 
Nitafurahi sana akimtoa wa kwanza kabisa kwa herufi kubwa NAMBA MOJA NI MWIGURU NCHEMBA out bila wizara na JANUARY MAKAMBA out bila wizara. Anitolee kwanza hizi mitu mbili.
 
Sioni kama italeta nafuu yeyote labda kama atambadiri February na Daktari wa Uchumi.

Wizara zenye shida ni mbili tu, Nishati pamoja na Fedha. Huko kwingine naona hakuna shida Sana.
Kabisa. Hawa awachomoe awaache nje bila wizara. Bila ya hivyo haku atakachokuwa amekifanya
 
Nitafurahi sana akimtoa wa kwanza kabisa kwa herufi kubwa NAMBA MOJA NI MWIGURU NCHEMBA out bila wizara na JANUARY MAKAMBA out bila wizara. Anitolee kwanza hizi mitu mbili.
Hao ndo mwiba wa upinzani,, wakitoka hao chadema watakua na cakewalk kuelekea magogoni😆
 
Bora umempa Elimu na sijuwi Kama ataelewa kwa uharaka,Ngoja nimsubiri maana badala ya kukubali anaweza kuja kuporomosha matusi
Hiyo yote ya nini kwa alivyoandika tu kila mmoja humu ameshajua ni mabadiriko. Miccm akili zenu hata hili nalo unaliona la kusahihisha hapo unaona umeupiga mwingi
 
Ili asimchome Katibu Mkuu wake lazima amtengee fungu lake kwenye kila mradi au tenda..
Mfano mdogo, watu wanadai makamba hafai, kisa ni mgao wa umeme sana sana,
Sasa hebu fikiria kwa akili yako unadhani makamba anapenda mgao uwepo ili kazi yake iharibike?,
Watendaji wa chini wanaweza kujivuta vuta ili kumharibia na hakuna kitu atafanya, 😄
 
Back
Top Bottom