Siyo lazima abadilishe wale ambao huwapendi wewe; kigezo atakachotumia siyo hicho, just in caseHuyo Bibi Tozo hana MAAJABU yoyote.
Hata akibadili BARAZA mara 200 litabaki vile vile, Kwasababu Watoto wa VIGOGO wanaovuruga HAWEZI kuwatoa.
Kwahiyo MAKAMBA, NAPE, MWIGULU, RIDHIWANI, MCHENGERWA wataendelea KUWEPO.
Majaliwa cjui Kama atabaki,Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri
Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.
NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Acha kutishia watu banaNaomba mheshimu Rais wa nchi. Tumia vema uhuru wako wa maoni ndugu# Uhuru wa maoni isiwe jinai.[emoji120][emoji120][emoji120]
Bashungwa au Gwajima Boy au Festo Sanga au Gambo nk wako wengi Sana.Whom do you think she can replace him with?
Kama sisi sote ni wabovu, basi hakuna haja ya kuwa tunaendelea muda mrefu na wabovu wale wale; lazima tuwe tunabadilishana baada ya muda fulani. Kuna haja gani ya kuendelea indefinetely?Wataochukua nafasi hizo watakua wazuri kuliko hao wanaotoka?
Bado alikuwa anataka set foothold ndani ya CCMKama alikuwa anajua ana watendaji wabovu kwenye serikali yake, siku zote alikuwa anasubiri nini kuwaondoa?
Au ndio alikuwa anasubiri huo mkutano wao wa NEC akatangazie huko?
She is not serious.
Anataka kusuka upya serikali, 👆kaa chini fikiria vizuri, PM hayuko salama 👀👈Sio kuvunjwa, labda kufanyiwa manadiliko, kuvunjwa ni endapo wazlri mkuu atapumzishwa!.
P
Na akifanya mchezo watakuja kumwangusha tu, Wacha awakumbatieKabisa. Hawa awachomoe awaache nje bila wizara. Bila ya hivyo haku atakachokuwa amekifanya
Muulize Ndugai...Tangu lini Samia akawa serious?
Hata hivyo majaliwa amekuwa akijituma Sana, kukinusuru chamaMkuu Pascal kuna mambo chini kwa chini kuwa Kiranja Mkuu kila akitoa maagizo kwa wachini wake hakuna utekelezaji kisa pale JUU.
Sababu kuu ya pale JUU ni kwamba anaona Kiranja Mkuu anajitafutia umaarufu kuelekea chaguzi zijazo. Sasa anataka kumuonyesha kuwa ana nguvu kuliko yeye.
Ndugai tu yeye mwenyewe hakuwa seriousMuulize Ndugai...
Kwa hiyo wakati wa ile miaka mitano bila mgao, Mkuu ulikuwa unakojolea MTERA kila siku?? Kwani wakati huo kulikuwa hakuna ukame??Mjinga Ni wewe,wizara ya Nishati itazalisha umeme kwa kutumia mkojo wako?
Kwa hiyo Wizara ndio ililta ukame? Achaga upumbavu afu usiehani Mikoa yote Kuna mgao.
Mwisho Ushaambiwa inahitaji til.4 umeme uache kukatika katika
Na ndiye anayetafutwa.Sio kuvunjwa, labda kufanyiwa manadiliko, kuvunjwa ni endapo wazlri mkuu atapumzishwa!.
P
Hakika kuna vitu watakuwa wamejifunza maana baraza hili chenga mingi yaani wanapiga kazi bora liende tuWataochukua nafasi hizo watakua wazuri kuliko hao wanaotoka?
Wewe Ni mpumbavuKwa hiyo wakati wa ile miaka mitano bila mgao, Mkuu ulikuwa unakojolea MTERA kila siku?? Kwani wakati huo kulikuwa hakuna ukame??
Uwezo mdogoKama alikuwa anajua ana watendaji wabovu kwenye serikali yake, siku zote alikuwa anasubiri nini kuwaondoa?
Au ndio alikuwa anasubiri huo mkutano wao wa NEC akatangazie huko?
She is not serious.
Anayeamini kulishonashona Baraza la mawaziri mara kwa mara kunaleta ufanisi atujuze hapa.Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la Mawaziri
Kwa mjibu wa Samia kuna watendaji ni wabovu ndani ya Serikali yake.
NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma [emoji3][emoji3][emoji3]!
Mpumbavu na Mjinga ni wewe........unadhani sisi ni watu wa kulishwa matango pori?????Wewe Ni mpumbavu