Baraza la Mawaziri limepangwa na Kikwete! Tunashukuru kuwaondoa wote waliowekwa na Marehemu

Baraza la Mawaziri limepangwa na Kikwete! Tunashukuru kuwaondoa wote waliowekwa na Marehemu

FB_IMG_16409612196881869.jpg
 
Nimeona wizara mpya ya jinsia, wanawake na watu maalum imemegwa kutoka vizara ya afya.

Swali. Jinsia inatofauti gani wanawake( maana jinsia ziko mbili me na ke)
 
Back
Top Bottom