Baraza la Mawaziri limepangwa na Kikwete! Tunashukuru kuwaondoa wote waliowekwa na Marehemu

Nimeona wizara mpya ya jinsia, wanawake na watu maalum imemegwa kutoka vizara ya afya.

Swali. Jinsia inatofauti gani wanawake( maana jinsia ziko mbili me na ke)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…