Baraza la Mawaziri wakaa kikao kujadili Miswada na Sera mbalimbali

Baraza la Mawaziri wakaa kikao kujadili Miswada na Sera mbalimbali

Shining Light

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2024
Posts
406
Reaction score
523
Cabinet ya Kenya imeekaa kikao cha kujadiliana kuhusu mipango ya Sheria na mipango pamoja ya sera tofauti tofauti ili kuboresha hali ya Uchumi, kimefanyika Ikulu ya Nairobi na kikao cha kawaida cha tatu cha mwaka 2024.

Mbali na Uchumi kimejadili na kutathmini maendeleo yaliyofikiwa katika utekelezaji wa mipango muhimu kama ilivyoelezwa katika Mpango wa Utawala BETA( the bottom up Economic Transoforamtion Agenda).

photo_2024-03-08_09-22-51.jpg

photo_2024-03-08_09-22-53.jpg

photo_2024-03-08_09-22-56.jpg

photo_2024-03-08_09-22-59.jpg

photo_2024-03-08_09-23-01.jpg
 
Back
Top Bottom