Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Naona wakongwe wameanza kurudi katika chart Tabora boys Kibaha mzumbe Ilboru ndani ya kumi bora tulishawasahau shule ınayoongoza ya Kisimiri pia ni ya serikali. Tabora girls wapo namba 13, kilakala -20, msalato 21. Imekuaje shule za serikali zimeibuka ghafla baada ya kuingia Magufuli? Zilishapotezwa kabisa ladha yake
Advance hapakuwa pabaya, shida iko olevel
 
Back
Top Bottom