Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wezi wa mtihani
imekaaje hii mtu ana D mbili na E moja alafu ana division TWO
Unaingia wanaitaj D mbiliJina lako lenyewe "wanjera" kwahiyo chuo utakisikia ITV tu.
Mwaka huu wameiba sana paper halali yao tuAisee kumbe walianza kuiba mitihani pole yao ...
DIV I 83
DIV II 68
DIV III 2
DIV IV 0
NATIONAWISE 5
LONG LIVE TABORA BOYS THE HEAD OF TANZANIA.
Sahaunimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
Kanywe sumuSina IMANI na matokeo haya
Hahaha du!Unaingia wanaitaj D mbili
naomba kuifahamu kwa undani hii shule 'KISIMIRI'
ndio somea ualimunimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
Kanywe sumu
Ninywe vipi sumu, uwe unajaribu kushugulisha ubongo wako usitumie bichwa kufugia nywele tu
Vipi maadui na rafiki zenu wanaume milambo???Nimefurahia sana mkuu
Japo kuna Kaliua na Urambo
Zimeboa sana
Unaingia mkuunimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
Advance hapakuwa pabaya, shida iko olevelNaona wakongwe wameanza kurudi katika chart Tabora boys Kibaha mzumbe Ilboru ndani ya kumi bora tulishawasahau shule ınayoongoza ya Kisimiri pia ni ya serikali. Tabora girls wapo namba 13, kilakala -20, msalato 21. Imekuaje shule za serikali zimeibuka ghafla baada ya kuingia Magufuli? Zilishapotezwa kabisa ladha yake