Kabla sijaongea na huyu bwana mdogo hapa nyumbani naomba ufafanuzi.
Wakiandika neno REFERRED kwenye matokeo ndio kwamba wanamaanisha habari gani hawa NECTA?
Kabla sijaongea na huyu bwana mdogo hapa nyumbani naomba ufafanuzi.
Wakiandika neno REFERRED kwenye matokeo ndio kwamba wanamaanisha habari gani hawa NECTA?