Talented Land
Senior Member
- Feb 4, 2016
- 157
- 135
udanganywe kwanini bofya hapajamani mbn tunadanganya, kuweni serious basi ebooo
ndo nimeshangaa narudia tena kimenukahzo link za bongo zinazingua mkifungua watu watano kwa pamoja tu inagoma. hyo link ya Necta Imezidiwa mzigo jamaniii
Div IV points 31aliyoko hewan aniangalizie huyu mtoto S.2295/0094 kutoka MAIRIVA SEC SCHOOL
nishayaona, lazima dogo leo nikamlishe chips kuku kwa sana maana si kwa kunifurahisha hukuudanganywe kwanini bofya hapa
Bora aiseee watu walikuwa wanajidai sanaGPA keshatumbuliwa
Yapo kwa division
mkuu naomba uniangalizie hii apa s.3190/0055
S.1545/0061 naomba angalia uyu mtoto Rahaleo sec