Bambo ni msanii tena mzuri sana ni mbunifu kwa hicho anachofanya hakuna mwingine mwenye ubunifu huo alionao ni wa pekeyake
Katika kizazi chetu ametulea akiwa mchekeshaji mahiri sana
Naomba comment yako kwa wenye shida ya L badala ya r na r badala ya L
Nafikiri ni wazaramo na wakuria
Lakini watu wa mwanza wana matamshi ya aina yao pia
Na hawa ndiyo wako serious achana na huyo Bambo ambaye anaigiza
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Katika kizazi chetu ametulea akiwa mchekeshaji mahiri sana
Naomba comment yako kwa wenye shida ya L badala ya r na r badala ya L
Nafikiri ni wazaramo na wakuria
Lakini watu wa mwanza wana matamshi ya aina yao pia
Na hawa ndiyo wako serious achana na huyo Bambo ambaye anaigiza
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app